Corona virus ni ugonjwa ambao ulionekana mara ya kwanza mwaka 1960 lakini ulikua ugonjwa wa kawaida kama mafua tu, lakini desemba mwaka 2019 wakati shirika la afya duniani linatangaza hali ya hatari basi watafiti walikua wamegundua aina nyingine ya kirusi hicho ambacho kilikua ni hatari sana kiasi cha kusababisha kifo.
Ugonjwa ulipewa jina jipya COVID-19, Ulisambaa haraka sana nchini china hata kwenda nchi jirani kama japan, south korea, uingereza, marekani, italia na kadhalika.
Mpaka sasa hivi ugonjwa huu umeua Zaidi ya watu 2000 nchini china huku wengine Zaidi ya 70000 wakiwa wagonjwa.
Nchi za afrika imekua ngumu sana kwa ugonjwa huu kufika sababu ya hali ya joto ambayo haipatani na virusi hivyo.
dalili za ugonjwa huu.
dalili za ugonjwa huu hutokea siku ya 2 mpaka 14 baada ya kuambukizwa virusi hivi na huanza kama mafua ya kawaida kisha mgonjwa hupata homa, kikohozi na kushindwa kupumua.
maambukizi
ugonjwa huu huambukizwa kwa hewa yaani kukohoa na kupiga chafya lakini pia kugusa vitu ambavyo mgonjwa amegusa kama kitasa cha mlango, kikombe na kadhalika na ndio maana wagonjwa hutengwa ili kuzuia kuambukiza wengine.
vipimo
vipimo vya damu huweza kuchukuliwa na mjibu hutoka ndani ya siku moja.
matibabu
hakuna dawa wala chanjo ya ugonjwa huu, kinachotibiwa ni dalili za ugonjwa huu mpaka mgonjwa atakapo pata nafuu, mgonjwa hupewa dawa za homa kupunguza joto, oxygen kama anapumua kwa shida na kuongezewa maji mengi kwa dripi.
jinsi ya kuzuia ugonjwa
Ugonjwa ulipewa jina jipya COVID-19, Ulisambaa haraka sana nchini china hata kwenda nchi jirani kama japan, south korea, uingereza, marekani, italia na kadhalika.
Mpaka sasa hivi ugonjwa huu umeua Zaidi ya watu 2000 nchini china huku wengine Zaidi ya 70000 wakiwa wagonjwa.
Nchi za afrika imekua ngumu sana kwa ugonjwa huu kufika sababu ya hali ya joto ambayo haipatani na virusi hivyo.
dalili za ugonjwa huu.
dalili za ugonjwa huu hutokea siku ya 2 mpaka 14 baada ya kuambukizwa virusi hivi na huanza kama mafua ya kawaida kisha mgonjwa hupata homa, kikohozi na kushindwa kupumua.
maambukizi
ugonjwa huu huambukizwa kwa hewa yaani kukohoa na kupiga chafya lakini pia kugusa vitu ambavyo mgonjwa amegusa kama kitasa cha mlango, kikombe na kadhalika na ndio maana wagonjwa hutengwa ili kuzuia kuambukiza wengine.
vipimo
vipimo vya damu huweza kuchukuliwa na mjibu hutoka ndani ya siku moja.
matibabu
hakuna dawa wala chanjo ya ugonjwa huu, kinachotibiwa ni dalili za ugonjwa huu mpaka mgonjwa atakapo pata nafuu, mgonjwa hupewa dawa za homa kupunguza joto, oxygen kama anapumua kwa shida na kuongezewa maji mengi kwa dripi.
jinsi ya kuzuia ugonjwa
- Nawa mikono kwa maji safi na salama
- usiguse pua, mdomo na macho
- kaa mbali na wagonjwa.
chanzo cha kifo
watu wengi wanaokufa ni wazee sababu ya kinga ndogo ya mwili na watu wenye magonjwa yanayoshusha kinga ya mwili kama wagonjwa wa saratani na ukimwi.
Ugonjwa huu husababisha kushindwa kupumua, kichomi cha mapafu au pneumonia na kupungua uwezo wa damu kuzunguka mwilini kitaalamu kama shock na hichi ndio chanzo cha kifo.
STAY ALIVE
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
0653095635/0769846183