Moja ya changamoto kubwa wakati wa kutafuta dawa ya ukimwi ni kubadilika badilika kwa kirusi hicho kwenye mifumo na maumbo mbalimbali.
Wanasayansi nchini marekani wamegundua kirusi kipya cha ukimwi kwa mara ya kwanza baada ya miaka 20.
Kirusi hicho ni sehemu ya familia ya kile kirusi cha zamani ambacho kimeathiri na kuua wengi duniani kote kwa ujumla kitaalamu kwa jina la HIV-1 Group M.
M ikisimama kwa maana ya major kwani imeathiri watu wengi sana duniani kote kwa ujumla.
Sampuli za damu ambazo zimekutwa na virusi hivi vya ukimwi zilichukuliwa nchini congo kati ya mwaka 1980 mpaka 2001.
“Bahati nzuri utafiti huu unaonyesha kwamba dawa zilizopo zina uwezo wa kutumika kutibu kirusi hiki lakini hakuna uhakika kama vipimo vinavyotumika kwa sasa vina uwezo wa kuwatambua wagonjwa wenye virusi hivi’.Anasema Dr.Antony Fauci kiongozi kitengo cha magonjwa ya kuambukiza nchini Marekani.
‘Ugunduzi wa kirusi hiki unatukumbusha kwamba kumaliza ugonjwa wa ukimwi bado tunahitaji teknolojia ya hali ya juu kuvielewa virusi hivi’, anasema Dr Marry Rodgers.
Kitengo cha kupambana na kuzuia na magonjwa maarufu kama CDC nchini marekani kinaamini kwamba kuna zaidi ya wagonjwa milioni 40 walioathirika na ugonjwa huu duniani kote huku zaidi ya wagonjwa milioni moja wakiishi marekani na 14% duniani kote hawajua kama ni waathirika.
STAY ALIVE
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
0653095635/0769846183
Wanasayansi nchini marekani wamegundua kirusi kipya cha ukimwi kwa mara ya kwanza baada ya miaka 20.
Kirusi hicho ni sehemu ya familia ya kile kirusi cha zamani ambacho kimeathiri na kuua wengi duniani kote kwa ujumla kitaalamu kwa jina la HIV-1 Group M.
M ikisimama kwa maana ya major kwani imeathiri watu wengi sana duniani kote kwa ujumla.
Sampuli za damu ambazo zimekutwa na virusi hivi vya ukimwi zilichukuliwa nchini congo kati ya mwaka 1980 mpaka 2001.
“Bahati nzuri utafiti huu unaonyesha kwamba dawa zilizopo zina uwezo wa kutumika kutibu kirusi hiki lakini hakuna uhakika kama vipimo vinavyotumika kwa sasa vina uwezo wa kuwatambua wagonjwa wenye virusi hivi’.Anasema Dr.Antony Fauci kiongozi kitengo cha magonjwa ya kuambukiza nchini Marekani.
‘Ugunduzi wa kirusi hiki unatukumbusha kwamba kumaliza ugonjwa wa ukimwi bado tunahitaji teknolojia ya hali ya juu kuvielewa virusi hivi’, anasema Dr Marry Rodgers.
Kitengo cha kupambana na kuzuia na magonjwa maarufu kama CDC nchini marekani kinaamini kwamba kuna zaidi ya wagonjwa milioni 40 walioathirika na ugonjwa huu duniani kote huku zaidi ya wagonjwa milioni moja wakiishi marekani na 14% duniani kote hawajua kama ni waathirika.
STAY ALIVE
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
0653095635/0769846183
0 maoni:
Chapisha Maoni