Pamoja kwamba mihogo ni zao la tatu duniani kwa ajili ya chakula cha aina ya wanga huku likiwa na virutubisho vingine kama madini, vitamin A,B na C lakini ni moja ya mazao hatari sana kwa binadamu.
Tarehe 10 mwezi wa tatu mwaka 2005 watoto 27 walifariki nchini ufilipino huku wengine 100 wakinusurika baada ya kula mihogo.
Watoto hao walikula mihogo ya kukaangwa wakati wa chakula cha asubuhi baada ya kununuliwa kwa mtu wa mtaani aliyekua anatembeza.
Wakati wa vita ya pili ya dunia wajapani wengi walikimbilia brazili kutafuta maisha mazuri, kutokana na ugumu wa maisha huko walipewa ardhi yenye ukame hivyo walipanda mihogo ili kuweza kuishi.
Historia inaonyesha ni watatu tu ndio waliobaki baada ya vita ya pili ya dunia kuisha baada ya kuishi kwa kutumia chakula hicho, wengi walikufa kwa sumu ya mihogo.
Sehemu zingine duniani ambazo watu hula mihogo kama afrika na sehemu zingine hua inatokea ghafla tu na kuua watu kadhaa na mara nyingi hapa Tanzania vifo husababishwa kwa kuliwa kwa majani ya mihogo maaruufu kama kisamvu.
Familia kadhaa nchini Tanzania zimewahi kufa kwa kula kisamvu tu ambacho pia hua na kemikali hiyo hasa kisipoiva vizuri.
Kwasasa baadhi ya serikali duniani kama japan zilishapiga marufuku matumizi ya mihogo na majani yake yote kama chakula.
nini chanzo cha sumu kwenye mihogo?
Mihogo ina kemikali moja kwa jina ya linamarin, mara nyingi muhogo ukiliwa mbichi kemikali hii hubadilishwa kwenye tumbo la binadamu na kua sumu kwa jina la cyanide.
Hizi ni moja ya sumu hatari zaidi duniani ambayo inaua ndani ya sekunde chache sana.
Kitaalamu ni kipande kidogo tu cha muhogo kina dozi ya kutosha kumuondoa mtu.
unaweza kuutambua muhogo wenye sumu?
Sio rahisi kuutambua, japokua tafiti zinaonyesha muhogo mchungu una sumu zaidi kuliko ule mtamu.
Pamoja na mbinu mbali mbali za kuloeka mihogo na kupunguza sumu zake bado wataalamu wana amini mihogo ina sumu zingine ambazo hata kama hazikuui basi zinakuumiza taratibu kwenye mfumo wa ubongo, maini na figo ndio maana baadhi ya nchu duniani ziliamua kupiga marufuku zao hilo kwani kuna vyakula vingi mbadala kama wali, ugali, viazi na ngano.
STAY ALIVE
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
0769846183/0653095635
Tarehe 10 mwezi wa tatu mwaka 2005 watoto 27 walifariki nchini ufilipino huku wengine 100 wakinusurika baada ya kula mihogo.
Watoto hao walikula mihogo ya kukaangwa wakati wa chakula cha asubuhi baada ya kununuliwa kwa mtu wa mtaani aliyekua anatembeza.
Historia inaonyesha ni watatu tu ndio waliobaki baada ya vita ya pili ya dunia kuisha baada ya kuishi kwa kutumia chakula hicho, wengi walikufa kwa sumu ya mihogo.
Sehemu zingine duniani ambazo watu hula mihogo kama afrika na sehemu zingine hua inatokea ghafla tu na kuua watu kadhaa na mara nyingi hapa Tanzania vifo husababishwa kwa kuliwa kwa majani ya mihogo maaruufu kama kisamvu.
Familia kadhaa nchini Tanzania zimewahi kufa kwa kula kisamvu tu ambacho pia hua na kemikali hiyo hasa kisipoiva vizuri.
Kwasasa baadhi ya serikali duniani kama japan zilishapiga marufuku matumizi ya mihogo na majani yake yote kama chakula.
nini chanzo cha sumu kwenye mihogo?
Mihogo ina kemikali moja kwa jina ya linamarin, mara nyingi muhogo ukiliwa mbichi kemikali hii hubadilishwa kwenye tumbo la binadamu na kua sumu kwa jina la cyanide.
Hizi ni moja ya sumu hatari zaidi duniani ambayo inaua ndani ya sekunde chache sana.
Kitaalamu ni kipande kidogo tu cha muhogo kina dozi ya kutosha kumuondoa mtu.
unaweza kuutambua muhogo wenye sumu?
Sio rahisi kuutambua, japokua tafiti zinaonyesha muhogo mchungu una sumu zaidi kuliko ule mtamu.
Pamoja na mbinu mbali mbali za kuloeka mihogo na kupunguza sumu zake bado wataalamu wana amini mihogo ina sumu zingine ambazo hata kama hazikuui basi zinakuumiza taratibu kwenye mfumo wa ubongo, maini na figo ndio maana baadhi ya nchu duniani ziliamua kupiga marufuku zao hilo kwani kuna vyakula vingi mbadala kama wali, ugali, viazi na ngano.
STAY ALIVE
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
0769846183/0653095635
Very Informative!!
JibuFutaTunaielimishaje jamii yetu hasa watuwanaotumia sana mihogo kama chakula hasa mihogo mibichi
JibuFuta