Kumekua na mlipuko mkubwa sana ya magonjwa ambayo sio ya kuambukizwa, yakiambatana na unene, uzito uliopitiliza, magonjwa ya moyo, sukari na presha.
magonjwa yote hayo tunafahamu yanasababishwa na mfumo wa maisha yaani aina ya vyakula na ukosefu wa mazoezi.
kwa miaka mingi makampuni ya juisi yamekua yakijitapa kwamba wanatengeneza kitu kizuri cha afya kitu ambacho kimethibitika kutokua na ukweli hata kidogo kulingana na matokeo ambayo tumekua tukiyaona mtaani lakini pia hata juisi zinazotengenezwa nyumbani haziendani na jinsi mwili wa binadamu ulivyoumbwa maana yake hazifai kwa watumiaji kama ifuatavyo.
kukosa nyuzi nyuzi au fibre; Lengo la kula chakula chochote ni kupata aina fulani ya sukari kwa jina la glucose na virutubisho ili uweze kuishi na kufanya kazi...ukiangalia vyakula vyote ambavyo viko kwenye hali ya asili, utakuta ladha au utamu wake unaambatana na maganda au nyuzi nyuzi fulani.
Yaani sukari iliyoko ndani ya ugali, wali, mihogo, ndizi, viazi na kadhalika hauipati moja kwa moja ni mpaka ule vyakula hivyo.
lakini pia maembe yana nyuzi zake ndani, machungwa , machenza na malimao yana nyanda zake ndani, ndizi mbivu zina nyuzi nyuzi ndani, apple na mapera huwez kuyala bila kutafuna maganda yake, na kadhalika.
maana yake ni kwamba sukari ambayo iko ndani ya vyakula au matunda hayo inatakiwa iingie na maganda yake tumboni ili mwili uweze kuchukua sukari na virutubisho taratibu lakini vinapochujwa na kua juisi maana yake ukinywa juisi tu sukari inapanda ghafla mwilini hapo hapo kwa kiasi kikubwa sana.
unaweza usione madhara yake hapo hapo lakini baada ya miaka kadhaa utapata majibu ya kisukari, unene na magonjwa ya pressure.
sukari nyingi sana kwenye juisi; sukari ni sumu au madawa ya kulevya ambayo yamehalalishwa, juisi za viwandani zina sukari nyingi sana ambayo haifai kabisa kwenye mwili wa binadamu.
utakuta chupa moja tu ina vijiko 10 mpaka 20 vya sukari, juisi za kutengenezwa nyumbani pamoja kua zina sukari kutoka kwenye matunda yenyewe lakini bado nyingine huongezwa ambavyo vinakuletea uteja wa kutaka kunywa kila siku lakini pia inachosha kongosho yako ambayo inatakiwa kutoa homoni za kupambana na sukari kila siku.
lakini pia sukari hii ikiingia mwilini hubadilishwa kua mafuta na kuongeza matatizo mengine hasa ya moyo.
watu wengi bado wanaamini unene unatokana na ulaji wa mafuta kitu ambacho sio ukweli, unene mkubwa unaletwa na vyakula vya sukari na wanga, kwa maana nyingine mtu anayekula kuku, nyama ya ngombe, kitimoto na na samaki kila siku hawezi kunenepa kama anayekunywa juisi tu kila siku.
mwisho; pamoja ya kwamba juisi zina virutubisho,sukari yake inangia mwilini kwa njia ambayo sio salama.
Ni vizuri kama wewe ni mdau au mpenzi wa matunda fulani basi yanunue uyale kama yalivyo bila kukamua chochote.
Kwanza utakula machache kama inavyotakiwa lakini pia sukari itangia bila kuakuathiri kabisa.
STAY ALIVE
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
0653095635/0653095635
magonjwa yote hayo tunafahamu yanasababishwa na mfumo wa maisha yaani aina ya vyakula na ukosefu wa mazoezi.
kwa miaka mingi makampuni ya juisi yamekua yakijitapa kwamba wanatengeneza kitu kizuri cha afya kitu ambacho kimethibitika kutokua na ukweli hata kidogo kulingana na matokeo ambayo tumekua tukiyaona mtaani lakini pia hata juisi zinazotengenezwa nyumbani haziendani na jinsi mwili wa binadamu ulivyoumbwa maana yake hazifai kwa watumiaji kama ifuatavyo.
kukosa nyuzi nyuzi au fibre; Lengo la kula chakula chochote ni kupata aina fulani ya sukari kwa jina la glucose na virutubisho ili uweze kuishi na kufanya kazi...ukiangalia vyakula vyote ambavyo viko kwenye hali ya asili, utakuta ladha au utamu wake unaambatana na maganda au nyuzi nyuzi fulani.
Yaani sukari iliyoko ndani ya ugali, wali, mihogo, ndizi, viazi na kadhalika hauipati moja kwa moja ni mpaka ule vyakula hivyo.
lakini pia maembe yana nyuzi zake ndani, machungwa , machenza na malimao yana nyanda zake ndani, ndizi mbivu zina nyuzi nyuzi ndani, apple na mapera huwez kuyala bila kutafuna maganda yake, na kadhalika.
maana yake ni kwamba sukari ambayo iko ndani ya vyakula au matunda hayo inatakiwa iingie na maganda yake tumboni ili mwili uweze kuchukua sukari na virutubisho taratibu lakini vinapochujwa na kua juisi maana yake ukinywa juisi tu sukari inapanda ghafla mwilini hapo hapo kwa kiasi kikubwa sana.
unaweza usione madhara yake hapo hapo lakini baada ya miaka kadhaa utapata majibu ya kisukari, unene na magonjwa ya pressure.
sukari nyingi sana kwenye juisi; sukari ni sumu au madawa ya kulevya ambayo yamehalalishwa, juisi za viwandani zina sukari nyingi sana ambayo haifai kabisa kwenye mwili wa binadamu.
utakuta chupa moja tu ina vijiko 10 mpaka 20 vya sukari, juisi za kutengenezwa nyumbani pamoja kua zina sukari kutoka kwenye matunda yenyewe lakini bado nyingine huongezwa ambavyo vinakuletea uteja wa kutaka kunywa kila siku lakini pia inachosha kongosho yako ambayo inatakiwa kutoa homoni za kupambana na sukari kila siku.
lakini pia sukari hii ikiingia mwilini hubadilishwa kua mafuta na kuongeza matatizo mengine hasa ya moyo.
watu wengi bado wanaamini unene unatokana na ulaji wa mafuta kitu ambacho sio ukweli, unene mkubwa unaletwa na vyakula vya sukari na wanga, kwa maana nyingine mtu anayekula kuku, nyama ya ngombe, kitimoto na na samaki kila siku hawezi kunenepa kama anayekunywa juisi tu kila siku.
mwisho; pamoja ya kwamba juisi zina virutubisho,sukari yake inangia mwilini kwa njia ambayo sio salama.
Ni vizuri kama wewe ni mdau au mpenzi wa matunda fulani basi yanunue uyale kama yalivyo bila kukamua chochote.
Kwanza utakula machache kama inavyotakiwa lakini pia sukari itangia bila kuakuathiri kabisa.
STAY ALIVE
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
0653095635/0653095635
Ni kweli kabisa Dr. Zidi kutuelisha. Naomba hii article whatsapp 0715886834.
JibuFutaasante sana doctor, ngoja nikutumie.
JibuFuta