Ripoti ya shirika la afya duniani(WHO) mwaka 2014 inaonyesha kwamba kila baada ya sekunde 40 kuna mtu anajiua duniani, Tanzania ikiwa moja ya vinara wa shida hii.
Watu wakikuta mtu amening'inia kwenye mti huamini kwamba amejinyonga, wakikuta mtu kafa kwa majeraha huamini kwamba amechomwa visu na wakikuta mtu na jeraha la risasi huamini kwamba ampepigwa risasi...SIO KWELI.
Mauaji sehemu mbalimbali duniani hutegemea sana aina ya nchi huka marekani wakiongoza kwa kujipiga risasi sababu ya upatikanaji wa bunduki kirahisi, uingereza kujichoma visu sababu ya uhaba wa bunduki na afrika kujinyonga....
Zifuatazo ni njia ambazo zinaweza kukwambia kama mtu amejiua au amuawa.
makundi ya vidonda; kwa mtu aliyejiua kwa kujichoma kisu mara nyingi anakua anajikata huku akiwa ametulia kabisa na huenda amejipa na dawa za kuondoa maumivu hivyo utakuta vidonda vyake vimekatwa kwa kujipanga na kwa kueleweka lakini mtu aliyevamiwa kwa visu majeraha yake yanakua hayaeleweki kwani huchomwa huku akijaribu kupambana na muuaji.
maeneo yenye vidonda; mtu akijichoma kisu mara nyingi hulenga maeneo ambayo anaweza kuyafikia kama mkononi, tumboni na mguuni lakini ukikuta mtu ana majeraha mgongoni, kifuani na maeneo ambayo mkono wake haufiki kirahisi basi huyo ameuwa.
uelekeo wa vidonda; mtu ambaye anatumia mkono wa kulia lazima atajikata kutoka kushoto kwenda kulia, na atajikata kwanzia juu kwenda chini lakini pia mtu mwenye mkono wa kushoto hukata kwanzia kulia kwenda kushoto... hi ni tofauti na mtu aliyechomwa visu kwani havina uelekeo maalumu.
alama za kusitasita; kujikata na kisu kuna maumivu makali sana, mtu ambaye anajikata kuna sehemu utaona alijaribu kujikata lakini akashindwa na kuhamia sehemu nyingine tofauti na mtu aliyechomwa kwani hakuna kusitasita.
urefu wa vidonda kwenda ndani; mtu akijiua kwa kujichoma kisu basi utakuta kisu hakijaingia sana ndani kutokana na maumivu makali amabayo alikua anasikia tofauti na yule aliyeshambuliwa na maadui.
sehemu na idadi ya risasi na zilizopigwa; mtu akijipiga risasi basi hawezi kujipiga zaidi ya moja lakini pia kama alikua mashoto basi atajipiga upande wa kushoto wa kichwa na kama alikua anatumia mkono wa kulia atajipiga upande wa kulia wa kichwa lakini pia kuna maeneo ambayo kulingana na mkono anaotumia ndio itakua rahisi kuyapiga kama tumbo, kichwa na kifua.
ukikuta mtu amepigwa risasi zaidi ya moja, kajipiga maeneo ambayo mkono wake hauwezi kulenga basi ujue ameuawa.
mazingira ya kujinyonga; mara nyingi watu wanaojinyonga wenyewe hawachukui maamuzi ya ghafla, lazima kuna mambo hayakua sawa kwa muda mrefu na huenda muhusika alikua ameomba msaada sehemu.
Hata kama imetokea akajinyonga ghafla lazima ataacha ujumbe wa kutoa malalamiko yake.
ukikuta mtu amejinyonga bila kuacha ujumbe, au ujumbe sio mwandiko wake, au tayari ana majeraha basi kuna watu walimnyonga halafu wakatengeneza mazingira ionekane amejinyonga.
Mwisho; Sio vizuri kuamua kumzika mtu tu baada ya kukuta amekufa, ni vizuri kutoa taarifa polisi kabla ya kumgusa ili waje waaangalie mazingira ya kifo.Kule kuna madaktari bingwa wataalamu wa hizi kazi.
STAY ALIVE
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
0769846183/0653095635
Watu wakikuta mtu amening'inia kwenye mti huamini kwamba amejinyonga, wakikuta mtu kafa kwa majeraha huamini kwamba amechomwa visu na wakikuta mtu na jeraha la risasi huamini kwamba ampepigwa risasi...SIO KWELI.
Mauaji sehemu mbalimbali duniani hutegemea sana aina ya nchi huka marekani wakiongoza kwa kujipiga risasi sababu ya upatikanaji wa bunduki kirahisi, uingereza kujichoma visu sababu ya uhaba wa bunduki na afrika kujinyonga....
Zifuatazo ni njia ambazo zinaweza kukwambia kama mtu amejiua au amuawa.
makundi ya vidonda; kwa mtu aliyejiua kwa kujichoma kisu mara nyingi anakua anajikata huku akiwa ametulia kabisa na huenda amejipa na dawa za kuondoa maumivu hivyo utakuta vidonda vyake vimekatwa kwa kujipanga na kwa kueleweka lakini mtu aliyevamiwa kwa visu majeraha yake yanakua hayaeleweki kwani huchomwa huku akijaribu kupambana na muuaji.
maeneo yenye vidonda; mtu akijichoma kisu mara nyingi hulenga maeneo ambayo anaweza kuyafikia kama mkononi, tumboni na mguuni lakini ukikuta mtu ana majeraha mgongoni, kifuani na maeneo ambayo mkono wake haufiki kirahisi basi huyo ameuwa.
uelekeo wa vidonda; mtu ambaye anatumia mkono wa kulia lazima atajikata kutoka kushoto kwenda kulia, na atajikata kwanzia juu kwenda chini lakini pia mtu mwenye mkono wa kushoto hukata kwanzia kulia kwenda kushoto... hi ni tofauti na mtu aliyechomwa visu kwani havina uelekeo maalumu.
alama za kusitasita; kujikata na kisu kuna maumivu makali sana, mtu ambaye anajikata kuna sehemu utaona alijaribu kujikata lakini akashindwa na kuhamia sehemu nyingine tofauti na mtu aliyechomwa kwani hakuna kusitasita.
urefu wa vidonda kwenda ndani; mtu akijiua kwa kujichoma kisu basi utakuta kisu hakijaingia sana ndani kutokana na maumivu makali amabayo alikua anasikia tofauti na yule aliyeshambuliwa na maadui.
sehemu na idadi ya risasi na zilizopigwa; mtu akijipiga risasi basi hawezi kujipiga zaidi ya moja lakini pia kama alikua mashoto basi atajipiga upande wa kushoto wa kichwa na kama alikua anatumia mkono wa kulia atajipiga upande wa kulia wa kichwa lakini pia kuna maeneo ambayo kulingana na mkono anaotumia ndio itakua rahisi kuyapiga kama tumbo, kichwa na kifua.
ukikuta mtu amepigwa risasi zaidi ya moja, kajipiga maeneo ambayo mkono wake hauwezi kulenga basi ujue ameuawa.
mazingira ya kujinyonga; mara nyingi watu wanaojinyonga wenyewe hawachukui maamuzi ya ghafla, lazima kuna mambo hayakua sawa kwa muda mrefu na huenda muhusika alikua ameomba msaada sehemu.
Hata kama imetokea akajinyonga ghafla lazima ataacha ujumbe wa kutoa malalamiko yake.
ukikuta mtu amejinyonga bila kuacha ujumbe, au ujumbe sio mwandiko wake, au tayari ana majeraha basi kuna watu walimnyonga halafu wakatengeneza mazingira ionekane amejinyonga.
Mwisho; Sio vizuri kuamua kumzika mtu tu baada ya kukuta amekufa, ni vizuri kutoa taarifa polisi kabla ya kumgusa ili waje waaangalie mazingira ya kifo.Kule kuna madaktari bingwa wataalamu wa hizi kazi.
STAY ALIVE
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
0769846183/0653095635
0 maoni:
Chapisha Maoni