Kuna aina ya watu hufanya aina fulani ya makosa ambayo yanakua yamekiuka sheria ya nchi mbali mbali duniani.
Makosa hayo ni kama kubaka, kuingilia watu kinyume na maumbile, kuingilia watoto wadogo na kadhalika....baadhi ya nchi zina sheria ambazo ukifanya makosa hayo basi adhabu yako ni kuondolewa nguvu za kiume, nchi hizi ni kama ulaya, canada na nchi za kiarabu.
Lakini pia baadhi ya wanaume ambao wanakua na matatizo ya akili au mtindio wa ubongo hupewa dawa hizi ili kuepusha hatari ya kubaka watu.
dawa hii ni ipi?
Kitaalamu dawa hii inaitwa cyproterone acetate, dawa hii hufanya kazi ya kupunguza nguvu za kiume, kupunguza msisimko kisha kuondoa nguvu za kiume kabisa.
Nguvu za kiume hupungua ndani ya wiki ya kwanza na baada ya wiki tatu nguvu za kiume zinakua zimeisha kabisa.
Dawa hizi hupatikana kwa mfumo wa sindano na vidonge na mara nyingi watuhumiwa huchowa sindano.
matumizi mabovu ya dawa hizi.
Mwanamke mmoja aliripotiwa kumewekea mwanaume dawa hizi kwenye kinywaji chake, hii ni baada ya kutumia pesa za mwanaume huyu usiku mzima akiwa na rafiki zake wa kike na baadae waliporudi nyumbani, mwanaume yule alishindwa kushiriki kabisa tendo la ndoa.
Wanawake wengi na makahaba ambao huwatumia wanaume kifedha, hupenda kuwawekea wanaume dawa hii ili washindwe kushiriki nao tendo la ndoa.
Bahati nzuri dawa za kumeza huacha kufanya kazi zikiacha kutumika na kurudisha hali ya kawaida.
STAY ALIVE
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
0653095635/0769846183
Makosa hayo ni kama kubaka, kuingilia watu kinyume na maumbile, kuingilia watoto wadogo na kadhalika....baadhi ya nchi zina sheria ambazo ukifanya makosa hayo basi adhabu yako ni kuondolewa nguvu za kiume, nchi hizi ni kama ulaya, canada na nchi za kiarabu.
Lakini pia baadhi ya wanaume ambao wanakua na matatizo ya akili au mtindio wa ubongo hupewa dawa hizi ili kuepusha hatari ya kubaka watu.
dawa hii ni ipi?
Kitaalamu dawa hii inaitwa cyproterone acetate, dawa hii hufanya kazi ya kupunguza nguvu za kiume, kupunguza msisimko kisha kuondoa nguvu za kiume kabisa.
Nguvu za kiume hupungua ndani ya wiki ya kwanza na baada ya wiki tatu nguvu za kiume zinakua zimeisha kabisa.
Dawa hizi hupatikana kwa mfumo wa sindano na vidonge na mara nyingi watuhumiwa huchowa sindano.
matumizi mabovu ya dawa hizi.
Mwanamke mmoja aliripotiwa kumewekea mwanaume dawa hizi kwenye kinywaji chake, hii ni baada ya kutumia pesa za mwanaume huyu usiku mzima akiwa na rafiki zake wa kike na baadae waliporudi nyumbani, mwanaume yule alishindwa kushiriki kabisa tendo la ndoa.
Wanawake wengi na makahaba ambao huwatumia wanaume kifedha, hupenda kuwawekea wanaume dawa hii ili washindwe kushiriki nao tendo la ndoa.
Bahati nzuri dawa za kumeza huacha kufanya kazi zikiacha kutumika na kurudisha hali ya kawaida.
STAY ALIVE
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
0653095635/0769846183
0 maoni:
Chapisha Maoni