Euthanasia ni nini?
Huu ni utaratibu ambao unamruhusu mgonjwa ambaye ameugua kwa muda mrefu ugonjwa ambao hautibiki na sasa amechoka anataka aondolewe maumivu yake na apumzike kwa kifo.mfano ukimwi, saratani, au kopooza.
sio utaratibu halali kwa nchi zote dunia lakini nchi nyingi za ulaya pamoja na baadhi ya majimbo ya marekani wanaruhusu utaratibu huu.
Historia
Euthanasia ilianza kutumika zamani sana nchini ugiriki na roma, mmea wa conium ambao ulikua na sumu kali sana ulitumika kuwahisha vifo vya watu wengi ambao walihitaji huduma hii.
utaratibu huu ulisapotiwa na socretes na pilato miaka ya zamani sana na kuonekana moja ua utaratibu bora zaidi wa kuzuia mateso ya wagonjwa ambao mara nyingi hukaa kitandani kusubiri kifo.
baadhi ya nchi zimepinga sana utaratibu huu kwa misingi ya kidini na misingi ya haki za binadamu.
Nchini Tanzania hakuna utaratibu huu, hivyo kisheria kitu kama hii hairusiwi.
Aina za authanasia
kuna aina kuu mbili za utaratibu huu
active eunathasia; hii na aina ambayo dawa ya kuua ambayo ina sumu kali sana hutolewa kwa mgonjwa, lakini dawa hii inaua taratibu bila maumivu.
passive eunathasia; huu ni utaratibu ambao mgonjwa hapewi sumu lakini matibabu ambayo alikua anapewa yanasitishwa mfano mashine ya kupumua inatolewa na dawa zote alizokua anapewa zinasimamishwa.
dawa zinazotumika kufanya euthanasia.
watu maarufu waliokubali kufa kwa euthanasia.
Piergiorgio welbly: Huyu jamaa alikua muandika mashairi maarufu nchini Italia, aligunduliwa na ugonjwa wa mascular dystrophy akiwa na miaka 17, ugonjwa ambao ulimfanya apooze na kushindwa kupumua mwenyewe.
mwaka 2006 alipewa haki ya kufa kwa eunathasia baada ya kuteseka kwa muda mrefu lakini kanisa lilimpinga sana na kumyima mazishi ya kikanisa.
Karen Ann; Akiwa na miaka 22 alianguka mlangoni kwao baada ya kutoka kwenye sherehe ambapo alikunywa pombe na baadhi ya madawa ya kulevya.
Alipopelekwa hospitali ilionekana ubongo wake ulikua umeshaharibika sana kitaalamu kama brain dead.
wazazi wake waliomba atolewe vifaa vinavyomsaidia kuishi lakini alifariki rasmi miaka kumi baadae.
Hugo clouds; huyu alikua kiongozi wa filamu na muandishi wa vitabu huko Ubeligiji ambaye alitikisa sana na kupata tuzo nyingi sana kipindi cha uhai wake.
aliugua ugonjwa wa kusahau sana kitaalamu kama alzheimer's disease ambapo mgonjwa anaweza akasahau mpaka wazazi wake.
Hali ilivyokua mbaya sana aliomba kufa ili afe na heshima yake.
vinayak damodar; huyu alikua mwanasiasa wa kihindi ambaye alikua mmoja wa wapambanaji wa uhuru.
miaka mingi baadae aliugua ugonjwa ambao haukutajwa na alitakiwa kumeza dawa kila siku, baadae
alikataa dawa na chakula mpaka akafariki.
Terri Schiavo; ni moja kati ya wamarekani maarufu amabao walioPATA huduma hii,.
mwaka 1990 alipata mshituko wa moyo ambao uliharibu sana ubongo wake, alikaa hospitali miaka kumi ndipo mme wake akamsaidia kupata kifo kisheria.
Huu ni utaratibu ambao unamruhusu mgonjwa ambaye ameugua kwa muda mrefu ugonjwa ambao hautibiki na sasa amechoka anataka aondolewe maumivu yake na apumzike kwa kifo.mfano ukimwi, saratani, au kopooza.
sio utaratibu halali kwa nchi zote dunia lakini nchi nyingi za ulaya pamoja na baadhi ya majimbo ya marekani wanaruhusu utaratibu huu.
Historia
Euthanasia ilianza kutumika zamani sana nchini ugiriki na roma, mmea wa conium ambao ulikua na sumu kali sana ulitumika kuwahisha vifo vya watu wengi ambao walihitaji huduma hii.
utaratibu huu ulisapotiwa na socretes na pilato miaka ya zamani sana na kuonekana moja ua utaratibu bora zaidi wa kuzuia mateso ya wagonjwa ambao mara nyingi hukaa kitandani kusubiri kifo.
baadhi ya nchi zimepinga sana utaratibu huu kwa misingi ya kidini na misingi ya haki za binadamu.
Nchini Tanzania hakuna utaratibu huu, hivyo kisheria kitu kama hii hairusiwi.
Aina za authanasia
kuna aina kuu mbili za utaratibu huu
active eunathasia; hii na aina ambayo dawa ya kuua ambayo ina sumu kali sana hutolewa kwa mgonjwa, lakini dawa hii inaua taratibu bila maumivu.
passive eunathasia; huu ni utaratibu ambao mgonjwa hapewi sumu lakini matibabu ambayo alikua anapewa yanasitishwa mfano mashine ya kupumua inatolewa na dawa zote alizokua anapewa zinasimamishwa.
dawa zinazotumika kufanya euthanasia.
- sodium theopental; hii ni dawa ya usingizi ambayo inatumika hata kwenye hospitali za kawaida, lakini hapa hutolewa kwa dozi kubwa sana kumfanya mgonjwa alale usingizi ndani ya sekunde 30, pia dawa hii pia hupunguza uwezo wa kupumua wa mgonjwa.
- pancuronium bromide; hii ni dawa ya pili kutolewa ambayo hufanya kazi kwenye mishipa ya fahamu na kumfanya mgonjwa kupooza na kushindwa hata kuinua kidole, dawa hii hufanya kazi mwili mzima hasa kwenye kifua na kumfanya mgonjwa ashindwe kupumua.
- pottasium chloride; hii ni dawa ya mwisho kutolewa ambayo huongeza sana kiasa cha madini ya potashiamu kwenye damu na kusababisha moyo kusimama kitaalamu kama cardiac arrest, kifo huweza kutokea kwenye dawa ya pili au dawa ya tatu.
watu maarufu waliokubali kufa kwa euthanasia.
Piergiorgio welbly: Huyu jamaa alikua muandika mashairi maarufu nchini Italia, aligunduliwa na ugonjwa wa mascular dystrophy akiwa na miaka 17, ugonjwa ambao ulimfanya apooze na kushindwa kupumua mwenyewe.
mwaka 2006 alipewa haki ya kufa kwa eunathasia baada ya kuteseka kwa muda mrefu lakini kanisa lilimpinga sana na kumyima mazishi ya kikanisa.
Karen Ann; Akiwa na miaka 22 alianguka mlangoni kwao baada ya kutoka kwenye sherehe ambapo alikunywa pombe na baadhi ya madawa ya kulevya.
Alipopelekwa hospitali ilionekana ubongo wake ulikua umeshaharibika sana kitaalamu kama brain dead.
wazazi wake waliomba atolewe vifaa vinavyomsaidia kuishi lakini alifariki rasmi miaka kumi baadae.
Hugo clouds; huyu alikua kiongozi wa filamu na muandishi wa vitabu huko Ubeligiji ambaye alitikisa sana na kupata tuzo nyingi sana kipindi cha uhai wake.
aliugua ugonjwa wa kusahau sana kitaalamu kama alzheimer's disease ambapo mgonjwa anaweza akasahau mpaka wazazi wake.
Hali ilivyokua mbaya sana aliomba kufa ili afe na heshima yake.
vinayak damodar; huyu alikua mwanasiasa wa kihindi ambaye alikua mmoja wa wapambanaji wa uhuru.
miaka mingi baadae aliugua ugonjwa ambao haukutajwa na alitakiwa kumeza dawa kila siku, baadae
alikataa dawa na chakula mpaka akafariki.
Terri Schiavo; ni moja kati ya wamarekani maarufu amabao walioPATA huduma hii,.
mwaka 1990 alipata mshituko wa moyo ambao uliharibu sana ubongo wake, alikaa hospitali miaka kumi ndipo mme wake akamsaidia kupata kifo kisheria.
STAY ALIVE.
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
0769846183/0653095635
0 maoni:
Chapisha Maoni