Wakati mwingine katika maisha watu hufanya maamuzi ambayo huja kuyajutia baadae, moja ya maamuzi hayo ni kuchora tattoo ambayo baadae unaweza kujuta kwasababu huenda uliweka jina la mpenzi wako wa zamani au ulichora tattoo nyingi sana kiasi kwamba sasa zinakuathiri kupata baadhi ya fursa ambazo zinajitokeza.
Tattoo kikawaida hua haitoki lakini kutokana na ongezeko la watu ambao wanahitaji kuziondoa tattoo zao basi kuna njia mbalimbali ambazo zimeanzishwa za kuondoa tattoo japokua nyingi ni gharama sana au zinauma sana kama ifuatavyo.
laser; hii ni njia ya kutumia aina fulani ya mionzi kuondoa michoro ya tattoo kwenye ngozi, njia hii inauma na ni gharama sana kutumia.
huchukua muda mrefu kufuta kulingana na ukubwa wa tattoo yako lakini sio kazi ya siku moja hivyo utakua unaenda kila baada ya muda fulani.
gharama ni kama laki mbili na nusu kwa saa.
kufunika na tatoo nyingine; wakati mwingine tattoo sio tatizo kwako lakini maneno uliyoandika ndio yanakukwaza.
Unaweza kuchora tattoo nyingine na kuifunika kwa maneno mengine ile tattoo ya kwanza ili iweze kupoteza maana yake ya zamani.
mafuta ya kutoa tattoo; kuna mafuta yamegunduliwa ya kuondoa tattoo lakini yanachukua muda mrefu sana kuifuta na ni gharama kutumia.
Uzuri wa mafuta haya hayana gharama sana lakini lazima uwe mvumilivu kwani itachukua muda mrefu na gharama kubwa.
ukiagiza mtandaoni chupa moja ni shilingi laki tatu.(amazon)
upasuaji; hii ni njia ya haraka ya kuondoa tattoo bila maumivu lakini gharama yake iko juu kidogo, ninachofanyika ni kwamba ngozi moja ya mwili wako hutumika kufunika sehemu ya ngozi ambayo imepakwa tattoo.
kuisugua tattoo na chumvi; hii ni njia ambayo sio gharama ambayo unaisugua tattoo yako na chumvi kama mtu anayefanya scrubbing lakini kua makini usijiumize.
inachukua muda mrefu na baadhi ya madhara yake ni kuharibu muonekano wa ngozi.
limao: limao ni rahisi sana kupata kwenye mazingira yetu ya nyumbani, sio gharama kutumia lakini inataka uvumilivu na muda.
chukua maji ya uvuguvugu kisha osha sehemu yenye tattoo,baada ya hapo chukua limao na sugua sehemu yenye tatoo na usubiri mpaka pakauke.
baada ya hapo unaweza kuosha tena kwa maji ya uvuguvugu, fanya hivyo angalau mara moja kila siku.
asali;moja ya vitu bora kabisa kutumia kuondoa tattoo kwenye ngozi ni matumizi ya asali, jinsi ya kutumia;chukua kimiminika cha aloe vera, changanya na asali, maziwa ya mgando, na chumvi.
kisha changanya kimiminika hiki paka kwenye tattoo na uache mpaka ikauke.
kabla ya kupaka hakikisha umepaosha na maji ya uvuguvugu.
cream za kuondoa tattoo; kulingana na uhitaj mkubwa wa watu wengi kutaka kuondoa tattoo sasa hivi kuna makampuni mengi sana ya kutengeneza tattoo hizi, hivyo unaweza kuagiza tattoo mtandaoni kupitia amazon na ukazitumia kuondoa tattoo zako. bonyeza hapa kuagiza.https://amzn.to/3vfeQpU
STAY ALIVE
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
0769846183/0653095635
Tattoo kikawaida hua haitoki lakini kutokana na ongezeko la watu ambao wanahitaji kuziondoa tattoo zao basi kuna njia mbalimbali ambazo zimeanzishwa za kuondoa tattoo japokua nyingi ni gharama sana au zinauma sana kama ifuatavyo.
laser; hii ni njia ya kutumia aina fulani ya mionzi kuondoa michoro ya tattoo kwenye ngozi, njia hii inauma na ni gharama sana kutumia.
huchukua muda mrefu kufuta kulingana na ukubwa wa tattoo yako lakini sio kazi ya siku moja hivyo utakua unaenda kila baada ya muda fulani.
gharama ni kama laki mbili na nusu kwa saa.
kufunika na tatoo nyingine; wakati mwingine tattoo sio tatizo kwako lakini maneno uliyoandika ndio yanakukwaza.
Unaweza kuchora tattoo nyingine na kuifunika kwa maneno mengine ile tattoo ya kwanza ili iweze kupoteza maana yake ya zamani.
mafuta ya kutoa tattoo; kuna mafuta yamegunduliwa ya kuondoa tattoo lakini yanachukua muda mrefu sana kuifuta na ni gharama kutumia.
Uzuri wa mafuta haya hayana gharama sana lakini lazima uwe mvumilivu kwani itachukua muda mrefu na gharama kubwa.
ukiagiza mtandaoni chupa moja ni shilingi laki tatu.(amazon)
upasuaji; hii ni njia ya haraka ya kuondoa tattoo bila maumivu lakini gharama yake iko juu kidogo, ninachofanyika ni kwamba ngozi moja ya mwili wako hutumika kufunika sehemu ya ngozi ambayo imepakwa tattoo.
kuisugua tattoo na chumvi; hii ni njia ambayo sio gharama ambayo unaisugua tattoo yako na chumvi kama mtu anayefanya scrubbing lakini kua makini usijiumize.
inachukua muda mrefu na baadhi ya madhara yake ni kuharibu muonekano wa ngozi.
limao: limao ni rahisi sana kupata kwenye mazingira yetu ya nyumbani, sio gharama kutumia lakini inataka uvumilivu na muda.
chukua maji ya uvuguvugu kisha osha sehemu yenye tattoo,baada ya hapo chukua limao na sugua sehemu yenye tatoo na usubiri mpaka pakauke.
baada ya hapo unaweza kuosha tena kwa maji ya uvuguvugu, fanya hivyo angalau mara moja kila siku.
asali;moja ya vitu bora kabisa kutumia kuondoa tattoo kwenye ngozi ni matumizi ya asali, jinsi ya kutumia;chukua kimiminika cha aloe vera, changanya na asali, maziwa ya mgando, na chumvi.
kisha changanya kimiminika hiki paka kwenye tattoo na uache mpaka ikauke.
kabla ya kupaka hakikisha umepaosha na maji ya uvuguvugu.
cream za kuondoa tattoo; kulingana na uhitaj mkubwa wa watu wengi kutaka kuondoa tattoo sasa hivi kuna makampuni mengi sana ya kutengeneza tattoo hizi, hivyo unaweza kuagiza tattoo mtandaoni kupitia amazon na ukazitumia kuondoa tattoo zako. bonyeza hapa kuagiza.https://amzn.to/3vfeQpU
STAY ALIVE
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
0769846183/0653095635
0 maoni:
Chapisha Maoni