Tafiti mpya zinaonyesha kwamba kadri umri unavyozidi kwenda mbele lazima kila mwanaume atakutana uso kwa uso na tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
Tafiti hii iliwekwa wazi mwaka 2003 kwenye jarida la issue of Annals of Internal Medicine, ilionyesha kwamba tatizo hili lipo sana kwa watu wazima sana ukilinganisha na umri mdogo na nguvu za kiume hupungua ghafla baada ya miaka 50 na kuendelea kupungua zaidi na zaidi.
kuishiwa nguvu za kiume ni nini?
kuishiwa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kuusimamisha uume wako vizuri na kwa muda mrefu ili kuweza kushiriki tendo la ndoa na kuridhika wewe na mpenzi wako.
mwanzoni madaktari walidhani ni tatizo la kisaikolojia tu na msongo wa mawazo lakini tafiti hizo zinaonyesha kwamba asilimia 90 ya wahannga ni zaidi ya miaka 50.
utafiti ulifanyika wa watu gani?
utafiti huu ulifanyika kwa wataalamu wa afya 31000 wenye umri wa miaka 53 mpaka 90 ambao walijitolea kufanyiwa utafiti huu na waliambiwa waseme nguvu zao za kiume kama ni nzuri, mbaya au mbaya sana.
lakini pia watafiti waliangalia vigezo vingine kama unywaji wa pombe, uvutaji wa sigara na mazoezi.
majibu ya utafiti yako vipi?
majibu yalionyeshwa kwamba asilimia kubwa ya wanaume zaidi ya miaka 50 walionyesha kupungukiwa nguvu za kiume huku asilimia kidogo sana ya watu wenye umri huu wakionyesha kua na nguvu zao za kiume kama kawaida.
wanaume wenye umri mkubwa ambao hufanya mazoezi, ambao sio wanene na kutovuta sigara walionekana kupungukiwa na hatari hii kwa asilimia 30.
nchini marekani tu zaidi ya watu milion 20 walionekana kuishiwa nguvu za kiume kitu ambacho hupunguza uwezo wa kujiamini kwa wanaume wengi.
STAY ALIVE
Tafiti hii iliwekwa wazi mwaka 2003 kwenye jarida la issue of Annals of Internal Medicine, ilionyesha kwamba tatizo hili lipo sana kwa watu wazima sana ukilinganisha na umri mdogo na nguvu za kiume hupungua ghafla baada ya miaka 50 na kuendelea kupungua zaidi na zaidi.
kuishiwa nguvu za kiume ni nini?
kuishiwa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kuusimamisha uume wako vizuri na kwa muda mrefu ili kuweza kushiriki tendo la ndoa na kuridhika wewe na mpenzi wako.
mwanzoni madaktari walidhani ni tatizo la kisaikolojia tu na msongo wa mawazo lakini tafiti hizo zinaonyesha kwamba asilimia 90 ya wahannga ni zaidi ya miaka 50.
utafiti ulifanyika wa watu gani?
utafiti huu ulifanyika kwa wataalamu wa afya 31000 wenye umri wa miaka 53 mpaka 90 ambao walijitolea kufanyiwa utafiti huu na waliambiwa waseme nguvu zao za kiume kama ni nzuri, mbaya au mbaya sana.
lakini pia watafiti waliangalia vigezo vingine kama unywaji wa pombe, uvutaji wa sigara na mazoezi.
majibu ya utafiti yako vipi?
majibu yalionyeshwa kwamba asilimia kubwa ya wanaume zaidi ya miaka 50 walionyesha kupungukiwa nguvu za kiume huku asilimia kidogo sana ya watu wenye umri huu wakionyesha kua na nguvu zao za kiume kama kawaida.
wanaume wenye umri mkubwa ambao hufanya mazoezi, ambao sio wanene na kutovuta sigara walionekana kupungukiwa na hatari hii kwa asilimia 30.
nchini marekani tu zaidi ya watu milion 20 walionekana kuishiwa nguvu za kiume kitu ambacho hupunguza uwezo wa kujiamini kwa wanaume wengi.
STAY ALIVE
0 maoni:
Chapisha Maoni