Kwa upande wa fedha, mwili wako una gharama kubwa kuliko unavyofikiria...watu wanaweza kulipa mabilioni ya pesa tu kununua sehemu ya mwili wako.
mara nyingi watu hutoa sehemu zao za mwili kuwapa wengine bure kabisa kiubinadamu lakini kuna wengine huamua kuuza kwa faida.
nchi zilizoendelea kama marekani, uingereza, ujerumani, canada na kadhalika biashara hii inafanyika sana.
na kama unataka kujua thamani ya viungo mbalimbali vya mwili wako basi soma hapa.
mbegu za kiume; mbegu za kiume ni mali sana, huuzwa mpaka shilingi laki tatu za kitanzania kwa kupeleka sample moja ambayo ni kama milioni moja na laki mbili hivi kwa mwezi.
vigezo vya kuchangia mbegu; umri kwaniza miaka 20 mpaka 39, urefu wa futi tano na nchi saba kwenda juu, uweze kupeleka mbegu angalau mara nne kwa mwezi ndani kwa miezi sita au mwaka mfulululizo, usikae mbali na kituo cha kutoa mbegu, utoe historia ya ukoo wako na uwe umemaliza degree moja ya chuo kikuu.
plasma; kama ushawahi kushuhudia damu inaganda na kujitenga sehemu mbili yaani maji maji na na sehemu ya damu iliyoganda.
sasa ili sehemu ya majimaji ndio inaitwa plasama, plasma hutumika kutibu magonjwa mbalimbali yakiwemo magonjwa ya kuvuja damu sana kitaakamu kama haemophilia.
sample moja ya damu unaweza kulipwa kwanzia elfu sitini mpaka laki moja na ishirini.
nywele; sasa hivi nywele za binadamu zina soko sana duniani kote na zinauzwa kwa bei kubwa sana.
kama ukiweza kutunza nywele zako zikawa ndefu sana bila kuwekewe kemikali ambazo zinaweza kuharibu ubora wake basi unaweza kuuza kwanzia milion mbili kwenda juu.
yai la mwanamke; yai la mwanamke mara nyingi hutolewa moja kila mwezi ili liweze kurutubishwa kwa ajili ya kupata mtoto.
kutokana na na shughuli ambayo mwanamke anaipitia ili yai liweze kutoka yaani ikiwemo kuchomwa sindano za homoni na kazi ya kulitoa yai husika.
yai moja huuzwa shilingi milioni 17.
kizazi chako; kupitia njia ya kitaalamu kama surrogacy yaani mwanamke anawekewa yai la mwanamke mwingine ambalo limerutubishwa ili ambebee mimba mwanamke mwenzake na akishajifungua anawakabidhi wazazi halisi wa mtoto.
inasemekana mchezaji maarufu christian ronaldo alifanya kitu kama hicho ndio maana mama wa mtoto wake hafahamiki, lakini pia msanii maarufu kanye west na mke wake wamefanya kitu kama hicho.
Gharama ya kufanya hivyo ni shilingi milion hamsini mpaka mia moja za kitanzania,
uboho[bone marow]; baadhi ya majimbo nchini marekani hua ni kosa kufanya biashara hii lakini
kulingana na uhitaji mkubwa biashara hii hufanyika hasa kwa wagonjwa wa saratani ya damu na siko seli.
shughuli ya kutoa uboho huu huambatana na maumivu makali sana lakini ukifanikiwa kutoa unaweza kulipwa mpaka milioni kumi kwa mpigo.
ngozi yako; watu maarufu au wenye ushawishi fulani katika jamii wanaweza kuuza sehemu ya ngozi zao zipakwe tatoo kwa ajili ya kutangaza biashara fulani.
mwanamke mmoja mchezaji kwenye kasino kubwa nchini marekani alilipwa milioni 20 kwa kuchora tattoo ya kampuni moja nchini humo lakini pia mtaalamu mmoja wa computer nchini humo alilipwa milioni 70 kwa kazi hiyo hiyo.
majaribio ya mwili wako mzima; watafiti mbalimbali duniani kabla ya kuzitoa dawa zao kwa ajili ya matumizi ya watu mbalimbali kwanza hupenda zijaribiwe.
kazi ya kujaribu dawa hizi ili kujua zinafaa au hazifai kwa matumizi huweza kufanywa na watu ambao hujitoa na kulipwa angalau milioni mbili kwa kila dawa wanayopewa kumeza.
figo; kitaalamu binadamu anaweza kuishi na figo moja tu, japokua atahitaji kua makini na mfumo wa maisha yake ili asiweze kuharibu hiyo figo iliyobaki.
nchini marekani figo inaweza kuuzwa mpaka shilingi milioni 550 zakitanzania.
moyo na maini: hivi ni ambavyo unaweza kuuza lakini pesa wakala watu waliobaki wewe ukiwa umekufa ni moyo ambao ni bilion mbili za kitanzania ukifuatiwa na maini ambayo ni bilioni moja ya kitanzania,
STAY ALIVE
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
0769846183/0653095635
mara nyingi watu hutoa sehemu zao za mwili kuwapa wengine bure kabisa kiubinadamu lakini kuna wengine huamua kuuza kwa faida.
nchi zilizoendelea kama marekani, uingereza, ujerumani, canada na kadhalika biashara hii inafanyika sana.
na kama unataka kujua thamani ya viungo mbalimbali vya mwili wako basi soma hapa.
mbegu za kiume; mbegu za kiume ni mali sana, huuzwa mpaka shilingi laki tatu za kitanzania kwa kupeleka sample moja ambayo ni kama milioni moja na laki mbili hivi kwa mwezi.
vigezo vya kuchangia mbegu; umri kwaniza miaka 20 mpaka 39, urefu wa futi tano na nchi saba kwenda juu, uweze kupeleka mbegu angalau mara nne kwa mwezi ndani kwa miezi sita au mwaka mfulululizo, usikae mbali na kituo cha kutoa mbegu, utoe historia ya ukoo wako na uwe umemaliza degree moja ya chuo kikuu.
plasma; kama ushawahi kushuhudia damu inaganda na kujitenga sehemu mbili yaani maji maji na na sehemu ya damu iliyoganda.
sasa ili sehemu ya majimaji ndio inaitwa plasama, plasma hutumika kutibu magonjwa mbalimbali yakiwemo magonjwa ya kuvuja damu sana kitaakamu kama haemophilia.
sample moja ya damu unaweza kulipwa kwanzia elfu sitini mpaka laki moja na ishirini.
nywele; sasa hivi nywele za binadamu zina soko sana duniani kote na zinauzwa kwa bei kubwa sana.
kama ukiweza kutunza nywele zako zikawa ndefu sana bila kuwekewe kemikali ambazo zinaweza kuharibu ubora wake basi unaweza kuuza kwanzia milion mbili kwenda juu.
yai la mwanamke; yai la mwanamke mara nyingi hutolewa moja kila mwezi ili liweze kurutubishwa kwa ajili ya kupata mtoto.
kutokana na na shughuli ambayo mwanamke anaipitia ili yai liweze kutoka yaani ikiwemo kuchomwa sindano za homoni na kazi ya kulitoa yai husika.
yai moja huuzwa shilingi milioni 17.
kizazi chako; kupitia njia ya kitaalamu kama surrogacy yaani mwanamke anawekewa yai la mwanamke mwingine ambalo limerutubishwa ili ambebee mimba mwanamke mwenzake na akishajifungua anawakabidhi wazazi halisi wa mtoto.
inasemekana mchezaji maarufu christian ronaldo alifanya kitu kama hicho ndio maana mama wa mtoto wake hafahamiki, lakini pia msanii maarufu kanye west na mke wake wamefanya kitu kama hicho.
Gharama ya kufanya hivyo ni shilingi milion hamsini mpaka mia moja za kitanzania,
uboho[bone marow]; baadhi ya majimbo nchini marekani hua ni kosa kufanya biashara hii lakini
kulingana na uhitaji mkubwa biashara hii hufanyika hasa kwa wagonjwa wa saratani ya damu na siko seli.
shughuli ya kutoa uboho huu huambatana na maumivu makali sana lakini ukifanikiwa kutoa unaweza kulipwa mpaka milioni kumi kwa mpigo.
ngozi yako; watu maarufu au wenye ushawishi fulani katika jamii wanaweza kuuza sehemu ya ngozi zao zipakwe tatoo kwa ajili ya kutangaza biashara fulani.
mwanamke mmoja mchezaji kwenye kasino kubwa nchini marekani alilipwa milioni 20 kwa kuchora tattoo ya kampuni moja nchini humo lakini pia mtaalamu mmoja wa computer nchini humo alilipwa milioni 70 kwa kazi hiyo hiyo.
majaribio ya mwili wako mzima; watafiti mbalimbali duniani kabla ya kuzitoa dawa zao kwa ajili ya matumizi ya watu mbalimbali kwanza hupenda zijaribiwe.
kazi ya kujaribu dawa hizi ili kujua zinafaa au hazifai kwa matumizi huweza kufanywa na watu ambao hujitoa na kulipwa angalau milioni mbili kwa kila dawa wanayopewa kumeza.
figo; kitaalamu binadamu anaweza kuishi na figo moja tu, japokua atahitaji kua makini na mfumo wa maisha yake ili asiweze kuharibu hiyo figo iliyobaki.
nchini marekani figo inaweza kuuzwa mpaka shilingi milioni 550 zakitanzania.
moyo na maini: hivi ni ambavyo unaweza kuuza lakini pesa wakala watu waliobaki wewe ukiwa umekufa ni moyo ambao ni bilion mbili za kitanzania ukifuatiwa na maini ambayo ni bilioni moja ya kitanzania,
STAY ALIVE
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
0769846183/0653095635
0 maoni:
Chapisha Maoni