historia ya dunia naonyesha kwamba hapo mwanzo binadamu alikula chakula ambacho kikitokana na mimea tu na kuishi miaka mingi sana, lakini hapo baadae binadamu alianza kula chakula kitokanacho na wanyama na hapo ndio ilikua mwanzo wa kuanza kupata magonjwa ambayo hapo mwanzo alikua hayapati na kupungua kwa umri wa kuishi.
viwanda vya maziwa na wawekezaji wakubwa wa biashara hii, huitangaza sana na kudai kwamba maziwa ni chanzo kikuu cha madini ya kashiamu mwilini hivyo watu wanywe sana, angalau glass tatu kwa siku lakini hakuna ambaye anasema madhara yake faida ya biashara hii ni kubwa sana na hata ukisema hauta sikika.
lakini ukweli uliopo kuhusu maziwa ni tofauti huo unaohubiriwa kwani pamoja kwamba maziwa yana kashiamu, bado kashiamu hiyo ni ngumu kumeng'enywa na mwilini ukilinganisha na ile ya mimea na huambatana na madhara makubwa ya kiafya ambayo ukiyaangalia kwa undani hutaona sababu ya kuondelea kunywa maziwa kwani unaweza kupata kashiamu hiyo kwenye vyakula vingine vya kawaida.
maziwa ya wanyama wote tunayokunywa yana madhara yafuatayo...
ugonjwa wa kisukari; madaktari wote wanafahamu na vitabu vyote vimeandika kwamba moja ya sababu ya kuugua kisukari hasa kwa watoto wadogo ni uwepo wa proteni ya casein kwenye maziwa ambayo hufanya walinzi wa mwili kuushambulia mwili wenyewe kimakosa kwa kudhani kwamba unapambana na adui.
moja ya viungo vinavyoshambuliwa ni kongosho ambalo baadae hushindwa kutengeneza homoni ya insulini kwa ajili ya kushusha au kuweka sukari ya binadamu kwenye hali ya kawaida.
kuvunjika kwa mifupa; tafiti moja iliyofanyika nchini sweeden imeonyesha kwamba wanawake wanaokunywa maziwa sana wana hatari ya kuvunjika mifupa ukilinganisha na hawa wengine ambao hawanywi au wanaokunywa kidogo.
lactose intolerance; maziwa yana sukari ambayo inaitwa lactose, ili uweze kunywa maziwa haya lazima uwe na kemikali au enzyme inayoitwa lactase mwilini mwako kwa ajili ya kumengenya maziwa haya..
baadhi ya watu hawana kabisa kemikali hii au huweza kua ndogo hata ukubwani na kukuletea matatizo kama kuharisha, tumbo kuvimba na kichefuchefu...hata hivyo maziwa ni moja ya vyakula vinavyo ongoza kwa aleji duniani.
kiwango kikubwa cha lehemu au cholestrol; mtaalamu mmoja wa afya aliwahi kusema kwamba maziwa ni nyama ambayo iko kwenye mfumo wa kimiminika na kwamba matatizo mengi yatokanayo na nyama ndio hayohayo yataokanayo na maziwa.
glasi moja ya maziwa in miligram 33 na lehemu au cholestrol ambazo ni hatari kiafya zikiwa nyingi mwilini.
saratani ya ovari; tafiti zingine nchini sweeden zimeonyesha kua wanawake wanaotumia glass mpaka nne za maziwa kwa siku wameugua zaidi saratani hiyo kuliko wanaokunywa kidogo au ambao hawanywi kabisa.
saratani hii haina dalili sana na mara nyingi hugunduliwa hatua za mwisho.
kunenepa sana; tafiti zinaonyesha kwamba unavyokunywa maziwa mengi zaidi ndio jinsi unavyozidi kunenepa sana.
tafiti hizi zilifanyiwa kazi kwa watoto na kugundua kwamba watoto waliokunywa maziwa mengi walinenepa sana na hata walioshauriwa wasinywe soda bali wanywe maziwa basi waliendelea kunenepa vile vile.
kushindwa kwa dawa za antibayotiki; ngombe wengi huchomwa antibayotiki kali na nyingi ili wasiugue magonjwa mbalimbali.
antibayotiki hizo huliwa na binadamu kwenye maziwa na kufanya ziuozoee mwili wa binadamu...katika hali hii mtu akiugua ugonjwa basi zile dawa ambazo tayari amezinywa kwenye maziwa hazitamsaidia.
kuongezeka kwa chunusi za ngozi; tafiti zinaonyesha kwamba utumiaji wa maziwa umeambatana sana kuugua kwa chunusi kwa wanawake na wanaume hasa wale ambao wanavunja ungo.
saratani ya tezi dume; tafiti zinaonyesha kuwepo kwa mahusiano makubwa kati ya unywaji wa maziwa na saratani ya tezi dume... hata wagonjwa wa saratani ya tezi dume ambao walipunguza maziwa kwenye chakula chao walionekana kupata nafuu.
magonjwa ya wanyama; binadamu ndio mnyama pekee ambaye anakunywa maziwa ya mnyama mwingine mpaka ukubwani.
ukiangalia wanyama wote kama mbwa, mbuzi, ngombe, simba na kadhalika hakuna mnyama ambaye anakunywa maziwa ya mwenzake.
hata ndama mwenyewe kuna umri anafika anaacha kunywa maziwa kwani maziwa ni maalumu kwa ajili ya kumkuza tu, na ndio maana baada ya miaka miwili tu ngombe anakua ashakua mkubwa sana.
magonjwa mengi ambayo ngombe anaugua yanaweza kupita kwenye maziwa..jamii ya bacteria wanaosababisha kifua kikuu kitaalamu kama myobacterium bovis hupatikana kwenye maziwa ya ngombe na ni hatari sana kwa binadamu.
STAY ALIVE
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO.
0653095635/0769846183
viwanda vya maziwa na wawekezaji wakubwa wa biashara hii, huitangaza sana na kudai kwamba maziwa ni chanzo kikuu cha madini ya kashiamu mwilini hivyo watu wanywe sana, angalau glass tatu kwa siku lakini hakuna ambaye anasema madhara yake faida ya biashara hii ni kubwa sana na hata ukisema hauta sikika.
lakini ukweli uliopo kuhusu maziwa ni tofauti huo unaohubiriwa kwani pamoja kwamba maziwa yana kashiamu, bado kashiamu hiyo ni ngumu kumeng'enywa na mwilini ukilinganisha na ile ya mimea na huambatana na madhara makubwa ya kiafya ambayo ukiyaangalia kwa undani hutaona sababu ya kuondelea kunywa maziwa kwani unaweza kupata kashiamu hiyo kwenye vyakula vingine vya kawaida.
maziwa ya wanyama wote tunayokunywa yana madhara yafuatayo...
ugonjwa wa kisukari; madaktari wote wanafahamu na vitabu vyote vimeandika kwamba moja ya sababu ya kuugua kisukari hasa kwa watoto wadogo ni uwepo wa proteni ya casein kwenye maziwa ambayo hufanya walinzi wa mwili kuushambulia mwili wenyewe kimakosa kwa kudhani kwamba unapambana na adui.
moja ya viungo vinavyoshambuliwa ni kongosho ambalo baadae hushindwa kutengeneza homoni ya insulini kwa ajili ya kushusha au kuweka sukari ya binadamu kwenye hali ya kawaida.
kuvunjika kwa mifupa; tafiti moja iliyofanyika nchini sweeden imeonyesha kwamba wanawake wanaokunywa maziwa sana wana hatari ya kuvunjika mifupa ukilinganisha na hawa wengine ambao hawanywi au wanaokunywa kidogo.
lactose intolerance; maziwa yana sukari ambayo inaitwa lactose, ili uweze kunywa maziwa haya lazima uwe na kemikali au enzyme inayoitwa lactase mwilini mwako kwa ajili ya kumengenya maziwa haya..
baadhi ya watu hawana kabisa kemikali hii au huweza kua ndogo hata ukubwani na kukuletea matatizo kama kuharisha, tumbo kuvimba na kichefuchefu...hata hivyo maziwa ni moja ya vyakula vinavyo ongoza kwa aleji duniani.
kiwango kikubwa cha lehemu au cholestrol; mtaalamu mmoja wa afya aliwahi kusema kwamba maziwa ni nyama ambayo iko kwenye mfumo wa kimiminika na kwamba matatizo mengi yatokanayo na nyama ndio hayohayo yataokanayo na maziwa.
glasi moja ya maziwa in miligram 33 na lehemu au cholestrol ambazo ni hatari kiafya zikiwa nyingi mwilini.
saratani ya ovari; tafiti zingine nchini sweeden zimeonyesha kua wanawake wanaotumia glass mpaka nne za maziwa kwa siku wameugua zaidi saratani hiyo kuliko wanaokunywa kidogo au ambao hawanywi kabisa.
saratani hii haina dalili sana na mara nyingi hugunduliwa hatua za mwisho.
kunenepa sana; tafiti zinaonyesha kwamba unavyokunywa maziwa mengi zaidi ndio jinsi unavyozidi kunenepa sana.
tafiti hizi zilifanyiwa kazi kwa watoto na kugundua kwamba watoto waliokunywa maziwa mengi walinenepa sana na hata walioshauriwa wasinywe soda bali wanywe maziwa basi waliendelea kunenepa vile vile.
kushindwa kwa dawa za antibayotiki; ngombe wengi huchomwa antibayotiki kali na nyingi ili wasiugue magonjwa mbalimbali.
antibayotiki hizo huliwa na binadamu kwenye maziwa na kufanya ziuozoee mwili wa binadamu...katika hali hii mtu akiugua ugonjwa basi zile dawa ambazo tayari amezinywa kwenye maziwa hazitamsaidia.
kuongezeka kwa chunusi za ngozi; tafiti zinaonyesha kwamba utumiaji wa maziwa umeambatana sana kuugua kwa chunusi kwa wanawake na wanaume hasa wale ambao wanavunja ungo.
saratani ya tezi dume; tafiti zinaonyesha kuwepo kwa mahusiano makubwa kati ya unywaji wa maziwa na saratani ya tezi dume... hata wagonjwa wa saratani ya tezi dume ambao walipunguza maziwa kwenye chakula chao walionekana kupata nafuu.
magonjwa ya wanyama; binadamu ndio mnyama pekee ambaye anakunywa maziwa ya mnyama mwingine mpaka ukubwani.
ukiangalia wanyama wote kama mbwa, mbuzi, ngombe, simba na kadhalika hakuna mnyama ambaye anakunywa maziwa ya mwenzake.
hata ndama mwenyewe kuna umri anafika anaacha kunywa maziwa kwani maziwa ni maalumu kwa ajili ya kumkuza tu, na ndio maana baada ya miaka miwili tu ngombe anakua ashakua mkubwa sana.
magonjwa mengi ambayo ngombe anaugua yanaweza kupita kwenye maziwa..jamii ya bacteria wanaosababisha kifua kikuu kitaalamu kama myobacterium bovis hupatikana kwenye maziwa ya ngombe na ni hatari sana kwa binadamu.
STAY ALIVE
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO.
0653095635/0769846183