chromosome Y ni vimelea vinavyohusika na kutoa jinsia ya kiume kwa viumbe vyote dunaini, yaani yenyewe ndio inafanya viumbe vya jinsia ya kiume kuendelea kuzaliwa na kuishi duniani.
lakini tafiti mpya zinaonyesha kwamba chromosome Y inapukutika au kupungua kwa kasi sana kiasi kwamba imeanza kuzua maswali ya uwepo wake miaka ya mbele.
makala iliyotolewa na chuo kikuu cha kent wiki iliyopita inasema kwamba japokua chromosome Y ndio inayohusika kuleta jinsia ya kiume sio muhimu kwa maisha ya binadamu ndio maana mwanamke anaishi na chromosome X bila shida yeyote.
binadamu wa kwanza alipoumbwa ukubwa au wingi wa chromsome X ambazo zinatoa mwanamke na chromosome Y ambazo zinatoa mwanamke zilikua zinalingana.
lakini muda unavyozidi kwenda chromosome Y za kiume zimekosa kitu kinaitwa genetic shuffling yaani kuzalishwa na kutengeneza upya chromosome Y.
hali hii imezifanya chromosome Y zianze kupungua na kubaki chromosome X za wanawake tu.
watafiti wanaongeza kwamba kama chromosome Y inayotoa jinsia za kiume ikiendelea kupungua kwa kasi hiyohiyo basi wanaume watapotea kabisa duniani baada ya miaka milioni nne na laki sita na kabla ya hapo wataendelea kupungua kwa kasi zaidi.
mtafiti Jenny Graves kutoaka chuo kikuu cha trobe huko Australia anasema panya aina ya spiny rats wanaopatiakana huko nchini japan wamepoteza kabisa chromosome Y na panya wote waliobaki ni wa kike kiasi kwamba kuzaliana kwao kumesimama na huenda wakapoea ulimwenguni.
teknolojia ya kutengeneza mbegu za kiume maabara ndio inategemewa kua tegemeo kubwa la panya hao kwa sasa.
STAY ALIVE
lakini tafiti mpya zinaonyesha kwamba chromosome Y inapukutika au kupungua kwa kasi sana kiasi kwamba imeanza kuzua maswali ya uwepo wake miaka ya mbele.
makala iliyotolewa na chuo kikuu cha kent wiki iliyopita inasema kwamba japokua chromosome Y ndio inayohusika kuleta jinsia ya kiume sio muhimu kwa maisha ya binadamu ndio maana mwanamke anaishi na chromosome X bila shida yeyote.
binadamu wa kwanza alipoumbwa ukubwa au wingi wa chromsome X ambazo zinatoa mwanamke na chromosome Y ambazo zinatoa mwanamke zilikua zinalingana.
lakini muda unavyozidi kwenda chromosome Y za kiume zimekosa kitu kinaitwa genetic shuffling yaani kuzalishwa na kutengeneza upya chromosome Y.
hali hii imezifanya chromosome Y zianze kupungua na kubaki chromosome X za wanawake tu.
watafiti wanaongeza kwamba kama chromosome Y inayotoa jinsia za kiume ikiendelea kupungua kwa kasi hiyohiyo basi wanaume watapotea kabisa duniani baada ya miaka milioni nne na laki sita na kabla ya hapo wataendelea kupungua kwa kasi zaidi.
mtafiti Jenny Graves kutoaka chuo kikuu cha trobe huko Australia anasema panya aina ya spiny rats wanaopatiakana huko nchini japan wamepoteza kabisa chromosome Y na panya wote waliobaki ni wa kike kiasi kwamba kuzaliana kwao kumesimama na huenda wakapoea ulimwenguni.
teknolojia ya kutengeneza mbegu za kiume maabara ndio inategemewa kua tegemeo kubwa la panya hao kwa sasa.
STAY ALIVE
0 maoni:
Chapisha Maoni