pamoja na elimu mbalimbali ambazo zimekua zikitolewa na wachapishaji mbalimbali wa makala za afya hapa nchini kuhusu siku za hatari za kubeba mimba bado ni changamoto kwa watu wengi kuelewa hesabu hizo zinavyonda lakini pia baadhi ya watu mizunguko yao inabadilika sana mpaka inawachanganya hawajui nini cha kufanya.
ovulation prediction kit ni nini?
hiki ni kipimo kilichogunduliwa kwa ajili ya kumuonyesha mwanamke anayetaka kupata ujauzito kwamba siku zake za hatari sasa zimefika, kipimo hichi hupima kiasi cha homoni inayoitwa lutenising hormone ambayo huongezeka masaa 12 mpaka 36 kabla ya siku za hatari kuanza hivyo kwa uhakika zaidi mwanamke anaweza kuanza kushiriki tendo la ndoa siku zote hizo mfululizo ili kuongeza nafasi ya kupata mimba.
kipimo hichi hutumika kupima mkojo kama vile mtu anavyopima mimba lakini pia vipo vya kupima mate, kwenye mate hupima kiasi cha chumvi ambacho huongezeka wakati homoni hizi zimeongezeka mwilini.
ovulation kit zinafanya kazi vipi?
kipimo hichi hupima kuongezeka kwa homoni kwa jina la lutenising hormone ambayo kwa hali ya kawaida hua ipo kwenye mwili wa binadamu kwa kiasi kidogo lakini siku za hatari zikikaribia homoni hiyo huongezeka ghafla kwenye mkojo na damu.
unakua kwenye uwezekano mkubwa sana wa kupata mimba kwanzia masaa 12 mpaka 36 baada ya kipimo hicho kusoma positive yaani homoni zako zimepanda hivyo siku zako za hatari karibia zinaanza..ni vema kushiriki tendo la ndoa angalau siku tatu mpaka tano mfululizo ili kujihakikishia zaidi uwezekano wa kubeba mimba.
je zinawafaa watu wa aina gani hizi ovulation kit?
hizi huwafaa wanawake ambao wanataka kupata mimba ambao
ovulation prediction kit ni nini?
hiki ni kipimo kilichogunduliwa kwa ajili ya kumuonyesha mwanamke anayetaka kupata ujauzito kwamba siku zake za hatari sasa zimefika, kipimo hichi hupima kiasi cha homoni inayoitwa lutenising hormone ambayo huongezeka masaa 12 mpaka 36 kabla ya siku za hatari kuanza hivyo kwa uhakika zaidi mwanamke anaweza kuanza kushiriki tendo la ndoa siku zote hizo mfululizo ili kuongeza nafasi ya kupata mimba.
kipimo hichi hutumika kupima mkojo kama vile mtu anavyopima mimba lakini pia vipo vya kupima mate, kwenye mate hupima kiasi cha chumvi ambacho huongezeka wakati homoni hizi zimeongezeka mwilini.
ovulation kit zinafanya kazi vipi?
kipimo hichi hupima kuongezeka kwa homoni kwa jina la lutenising hormone ambayo kwa hali ya kawaida hua ipo kwenye mwili wa binadamu kwa kiasi kidogo lakini siku za hatari zikikaribia homoni hiyo huongezeka ghafla kwenye mkojo na damu.
unakua kwenye uwezekano mkubwa sana wa kupata mimba kwanzia masaa 12 mpaka 36 baada ya kipimo hicho kusoma positive yaani homoni zako zimepanda hivyo siku zako za hatari karibia zinaanza..ni vema kushiriki tendo la ndoa angalau siku tatu mpaka tano mfululizo ili kujihakikishia zaidi uwezekano wa kubeba mimba.
je zinawafaa watu wa aina gani hizi ovulation kit?
hizi huwafaa wanawake ambao wanataka kupata mimba ambao
- mizunguko yao haieleweki yaani sio rahisi kupiga hesabu na kujua siku zao za hatari ni zipi.
- umetafuta mimba muda mrefu hupati na hata ukipimwa unaambiwa huna shida yeyote.
- uko bize sana na kazi kiasi kwamba huwez kutulia na kufuatilia siku zako.
- mme wako au mpenzi wako muda mwingi hauko naye hivyo sio rahisi kulala naye mara kwa mara
- unataka mtoto haraka.
ovulation kit inatumikaje?
ulimaliza kuona siku zako za hedhi, chukua kipimo kimoja kila siku kisha kikojolee au chukua mkojo kwenye chupa ndogo kisha tumbukiza kama vile unavyopima mimba kisha angalia majibu, endelea kupima kila siku mpaka uone hedhi nyingine, kama siku zako za hatari zifika kipimo kitaonyesha mistari miwili kama siku zako hazijafika kipimo kitaonyesha mstari mmoja, kutokana na matatizo mbalimbali ya uzazi unaweza usione siku zako za hatari mwezi huo hivyo unaweza kuendelea kujaribu miezi mingine lakini asilimia kubwa siku zao huziona baada ya kutumia kwa mzunguko mmoja tu.
kumbuka, kipimo hichi kinatakiwa kisomwe ndani ya dakika kumi, na muda wa kupima ni saa nne asubuhi mpaka saa mbili usiku, usipime haraka baada ya kuamka kwani homoni hizi huchelewa kuongezeka mwilini baada ya kuamka, usinywe maji mengi sana kabla ya kipimo kwani mkojo utakua mwepesi sana na kushindwa kusoma majibu.
uhakika ni kiasi gani?
vipimo hivi vina uhakika zaidi ya asilimia mia moja kwamba siku zako za hatari zimeanza na unaweza kupata ujauzito muda wowote kwanzia siku hiyo.
changamoto ni zipi?
kipimo hiki kinaweza kusoma majibu ya uongo kama una magonjwa ya kizazi ambayo yanaongeza kiasi cha homoni hiyo mwilini, kama una miaka zaidi ya 40, kama unameza dawa za kutafuta kubeba ujauzito hivyo inabidi uache kwanza kumeza, matatizo ya uzazi ambayo kipimo kinaweza kuonyesha yai limeshuka lakini njia imeziba na yai halijatoka.
faida ni zipi?
hii ni moja ya njia ya haraka sana ya kubeba mimba kwa watu ambao wametafuta mtoto muda mrefu kwani mwanaume hupata nafasi ya kujiandaa na kusubiri siku ya hatari ili kumwaga mbegu zilizokomaa ndani ya mwanamke tofauti na kujaribu kila siku ambapo kunamfanya mwanaume amwage mbegu ambazo hazijakomaa.
faida ni zipi?
hii ni moja ya njia ya haraka sana ya kubeba mimba kwa watu ambao wametafuta mtoto muda mrefu kwani mwanaume hupata nafasi ya kujiandaa na kusubiri siku ya hatari ili kumwaga mbegu zilizokomaa ndani ya mwanamke tofauti na kujaribu kila siku ambapo kunamfanya mwanaume amwage mbegu ambazo hazijakomaa.
naweza kuzipata wapi kipimo hichi cha ovulation kit?
vipimo hivi ni adimu kidogo hasa nchini kwetu tanzania lakini kama unaishi nje ya nchi unaweza kuvipata kirahisi lakini pia wewe unayeishi hapa nchini unaweza kuwasiliana nasi kwa ajili ya kuvipata.visit our english language blog here http://secretsofgoodhealth258.blogspot.com/
STAY ALIVE
DR KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
0653095635/0769846183
vipimo hivi ni adimu kidogo hasa nchini kwetu tanzania lakini kama unaishi nje ya nchi unaweza kuvipata kirahisi lakini pia wewe unayeishi hapa nchini unaweza kuwasiliana nasi kwa ajili ya kuvipata.visit our english language blog here http://secretsofgoodhealth258.blogspot.com/
STAY ALIVE
DR KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
0653095635/0769846183