maumbile ya binadamu yanategemea sana genetics yaani alivyorithi kutoka kwa wazazi wake, lakini pia hutegemea sana chakula anachokula na mazoezi anayofanya.kua na makalio makubwa kwa sasa ni kama fasheni kimuonekano mbele ya jamii lakini pia makalio hayo mtu anaweza kuzaliwa nayo au akafanya jitihada za mazoezi akayapata kama jinsi wanaume wanavyozaliwa na vifua na mikono midogo lakini wanafanya mazoezi mpaka wanakua mabaunsa.
mazoezi haya sio kwa ajili wenye makalio madogo tu hata wale wenye makalio makubwa yanawafaa kwani kuna sababu mbalimbali ambazo zinaweza kumfanya mtu mwenye makalio makubwa aanze kua na makalio madogo au yasiyokua na shape nzuri. sababu hizo ni kukaa kwenye kiti kwa muda mrefu hasa kazi za ofisini, umri unavyobadilika kuna homoni muhimu zinazokufanya ue na shepu nzuri zinapungua lakini pia ukiwa binti mdogo mwili unahifadhi mafuta kwenye makalio lakini unavyozidi kukua mwili unaanza kuhifadhi tumboni na hapo ndio utagundua wanawake wanavyozidi kua wakubwa hata kama hawajazaa lakini wanaanza kuota vitambi na kupungua ukubwa wa makalio.
kwenye nchi zilizoendelea wanawake huyatumia sana mazoezi haya kua na makalio makubwa na yenye shepu nzuri.
je kuna njia nyingine za kuongeza makalio?
kuna njia kama tatu za kuongeza makalio ambazo zinatumika kwa dunia ya sasa...njia ya upasuaji, njia ya dawa na njia ya mazoezi...njia za dawa na mazoezi ni hatari sana kwa afya ya watumiaji kwani zina madhara makubwa sana kiafya na kuna watu wengi sana wameuawa na njia hizi, si hivyo tu njia hizo haziruhusiwi nchini kwetu lakini njia za mazoezi ni salama sana kwani hukujenga kiafya pia.
ni rahisi kufanikiwa kwa mazoezi?
kufanikiwa inawezekana sana lakini sio rahisi hivyo lazima uwe na bidii ya kufanya mazoezi na kufuata maelekezo yote kama inavyotakiwa. watu wengi hawana nidhamu ya chochote wanachokifanya na hujikuta wanafanya mazoezi kwa wiki mbiki au tatu na kuacha japokua mazoezi sio magumu sana.
kuna mfano hai wa watu wanaofanya mazoezi haya?
nchi zilizoendelea hii ndio moja ya njia kuu za akina dada kujiweka katika shepu nzuri na kuna mifano ya watu maarufu wa nje kwenye muziki na sanaa waliotumia njia hizi kujiweka fiti na kua katika shepu nzuri mfano alicia keys, beyonce, jennifer lopez, angelina julie, mariah carey na wengine wengi ndio maana unakuta mtu kama jennifer lopez kwa sasa anakaribia miaka 50 lakini hajapoteza ukubwa wa makalio yake kama watu wengine.
mafanikio yanachukua muda gani?
ukianza mazoezi angalau ndani ya miezi mitatu mpaka sita utaona mabadiliko makubwa na haimaanishi ukishafanikiwa ndio uache hapana, mazoezi haya yanatakiwa yawe sehemu ya maisha yako kama jinsi kula kulivyo sehemu ya maisha yako. mfano hai ni mwanaumwe mwenye mwili mzuri wa mazoezi lakini akiicha na mwili wake hupotea.
mazoezi yanawafaa akina nani?
mazoezi haya huwafaa wanawake wote wenye makalio makubwa na ambao hawana kwani huyafanya yale makubwa kua katika shepu nzuri na haya madogo kukua na kua katika shepu nzuri bila kujali mabadiliko ya umri.
vipi kuhusu mazoezi ya kubana uke?
uke wa mwanamke huweza kuwa mkubwa zaidi kwa sababu mbalimbali kama kuzaa kawaida au kwa upasuaji, kunenepa sana, umri kua mkubwa, kulala na wanaume wengi na kadhalika. hali hii husababisasha wanawake wa aina hii kushindwa kufika kileleni kwani uume unakua haufiki sehemu husika za mishipa ya fahamu au watahitaji uume mkubwa zaidi kuweza kufika kileleni.
mazoezi haya yaligunduliwa na dr.kegel mwaka 1952 na kuandika ripoti kwamba wanawake waliofanya mazoezi haya waliridhika kirahisi sana kwenye tendo la ndoa kuliko wale wasiofanya na matokeo yalianza kuonekana mwezi mpaka miezi mitatu baada ya kuanza mazoezi.
msuli kitaalamu kwa jina la pubococcygeus musle hufanyishwa mazoezi na faida ya zoezi hili sio kubana uke tu bali husaidia wenye matatizo ya kushindwa kuzuia mkojo hasa baada ya kujifungua.
chakula gani kiliwe wakati wa mazoezi?
kuna vyakula maalumu vimeelezewa kwenye kitabu hichi ambavyo ni muhimu sana katika mafanikio ya mazoezi haya yote mawili kwani sio chakula chochote tu kinaweza kukusaidia. mfumo wa sasa wa maisha umewafanya watu wale vibaya na kuota sana vitambi. kumbuka hata kama una makalio makubwa kiasi gani, ukiwa na kitambi shepu yako inaharibika sana.
kitabu hiki kinapatikana vipi?
kitabu hichi kina mchanganyiko wa mazoezi ya kukuza makalio na kubana uke, vyakula vya kutumia kipindi hicho cha mazoezi na jinsi ya kubaki kwenye shepu, kitabu hiki kipo kwa mfumo wa soft copy yaani kinatumwa kwenye email au watsapp na kama ukihitaji cha kawaida unaweza kuprint mwenyewe stationery baada ya kutumiwa. bei ya kila kitabu ni 20000 na pesa hiyo itatumwa kwenye namba itakayowekwa mwisho wa makala hii na unaweza kuwasiliana kwa email yetu hii kalegamyehinyuye@gmail.com
angalizo; mazoezi haya yanataka moyo wa uvumilivu na wengi watakao nunua kitabu hichi watafanya kwa muda mfupi na kuacha japokua mzoezi sio magumu sana ila wengi watajifanya wametingwa na majukumu wakati zoezi ni nusu saa tu kwa siku tena siku 21 kwa mwezi...hivyo kama unaona sio mvumilivu usipoteze fedha zako, nunua kitabu ukiwa umedhamiria kufanikiwa katika hilo.
STAY ALIVE
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
MAWASILIANO 0653095635/0769846183
0 maoni:
Chapisha Maoni