data:post.body Juni 2015 ~ SIRI ZA AFYA BORA...
  • Karibu kwenye blog ya SIRI ZA AFYA BORA ujifunze mbinu bora za afya ili uweze kuwa na afya bora.

Recent Posts

ZIFAHAMU KWA UNDANI DAWA ZILIZOTHIBITIKA KUTIBU TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI KWA WANAUME.[PRE MATURE EJACULATION}



                                                                                         

 
Tatizo la kuwahi kufika kileleni kwa wanaume ndani ya muda mfupi ndio linaloongoza kwa matatizo ya wanaume kitaalamu kama male sexual dysfuctions…tatizo hili linachukua asilimia 95% ya matatizo ya kiume katika kujamiina na kushindwa kuwafikisha wapenzi wao kileleni..naomba niseme tatizo la kuwahi kufika kileleni kwa wanaume sio ugonjwa kama wengi wanavyodhani ila ni hali ya kawaida kimaumbile yaani kama ufupi na urefu. huwezi ukajiita mgonjwa kwa sababu wewe ni mfupi lakini kwasababu ufupi watu hawaupendi ndio maana watu wanajitahidi kuvaa viatu virefu kila siku ili waonekane warefu… sawa na kuwahi kufika kileleni sio ugonjwa ila kwasababu unakufanya usimfikishe mwenzako kileleni inakua ni tatizo kwako lakini sio ugonjwa wewe ndio umeumbwa hivyo kwani kuna wengine hawana hilo tatizo.

Matibabu ya tatizo hili niliwahi kuzungumzia kwamba njia zinazoweza kukusaidia kapona kabisa tatizo hili ni njia za ambazo sio za dawa japokua dawa inakusaidia mwanzoni kama wewe unafika mapema mno, kama hukuona hiyo makala ya jinsi ya kujizuia isome hii hapa....KAMA WEWE MWANAUME UNA TATIZO LA KUFIKA KILELENI HARAKA KABLA MPENZI WAKO HAJARIDHIKA SOMA HAP
Lakini leo ntaenda kuzungumzia dawa ambazo zimethibitika kufanya hii kazi kwa kupunguza msisimko mkali na kufanya hata mtu aliyekua akienda kwa dakika moja kufika dakika kumi na moja na zaidi kama njia nilizotaja zilimshinda kutumia..

Watu wengi hudhani hawana nguvu za kiume kwasababu tu eti akishafika kileleni hawezi kuendelea, ngoja nikuibie siri moja..wanaume wote ukishafika kileleni mara ya kwanza lazima uume ulale yaani hiyo ni kawaida kabisa na ukisikia mtu anasema yeye hua anaunganisha bila kusinyaa kidogo huyo ni muongo mkubwa kwani hiyo ni hali ya kawaida wala sio ya kuogopa.

Tatizo ni nini?
 Watu wengi wanaona hii ni shida kwasababu anafika kileleni kabla mwenzake hajaridhika kisha akigundua mwanamke hajaridhika anapaniki na kutaka kujilazimisha kusimamisha uume  ndipo hali inazidi kua mbaya zaidi. Kitu cha msingi cha kujua ni kwamba usifike kileleni kabla mwenzako hajafika ila ukiona mwenzako kafika na ameridhika basi na wewe malizia ili mpuzike wote angalau kwa dakika kumi mpaka ishirini kabla ya kuendelea wote mkiwa mmeridhika. Hapo utafurahia maisha ya mapenzi lakini ukiwa unajiwahi kila siku kama kuku mpenzi utamuona mchungu.

HEBU TUZIANGALIE DAWA HIZI KWA MAKUNDI..

Dawa za ganzi za kupaka mfano lidocaine cream.
                                        

 hii ni dawa ya ngazi ambayo hupakwa sehemu zenye maumivu kupunguza maumivu..huko kwa wenzetu zipo nzuri sana ambazo wanazitumia wakati wa kujichora tattoo bila maumivu.
Dawa hii hupunguza msisimko mkali kwenye uume kwa kuleta ganzi kidogo na kufanya mtu achelewe kufika kileleni hata dakika 15 na zaidi.
Jinsi ya kutumia; paka kiasi cha lidocaine kwenye kichwa cha uume dakika kumi na tano mpaka nusu saa kabla ya kukutana na mpenzi wako hii itapunguza msisimko na kuchelewa sana kufika kileleni
.
Angalizo: Ukipaka dawa hii lazima uvae condom kwani ukiingia bila condom utamfanya na mwanamke apate hiyo ganzi kidogo achelewe kufika na mzigo mzito utakua juu yako.
Tube moja ya lidocaine cream kabisa inatosha kama kuanzia baada ya mwezi unaweza endelea na njia za asili nilizoonyesha kwenye link hapo juu au kuendelea na dawa mpaka utakapoona unaweza kuendelea bila dawa.

Dawa za kutibu mgandamizo mkubwa wa mawazo mfano paroxetine
                                                           

; dawa hizi hutumika sana kwa watu wenye msongo sana wa mawazo lakini zimegundulika kusaidia sana mtu kufika kileleni hadi dakika 15 saa na zaidi mfano paroxetine. Jinsi ya kutumia, meza kidonge kimoja cha paroxetine masaa manne mpaka sita kabla ya kukutana na mwanamke na utaona mabadiliko makubwa. Dawa hii haiihitaji kuvaa au kutovaa condom na vidonge 30 vinatosha kuanzia baada ya mwezi unaweza  endelea na njia asili nilizokunyesha kwenye link hapo juu au kuendelea na vidonge mpaka utakapoona uko vizuri bila vidonge.

Dawa za maumivu mfano vicodin;
                                   

Hizi ni dawa zinazotibu aina Fulani ya maumivu makali, utafiti ulofanyika umegundua kwamba pamoja na kutibu maumivu makali dawa hii ina uwezo wa kuzuia mtu kufika kileleni kwa zaidi ya dakika kumi na zaidi.
Matumizi yake; meza vidonge viwili vya vicodin masaa saa moja au mawili mpaka matatu kabla ya tendo la ndoa na itakuchukua mda mrefu sana kufika kileleni na utafurahia maisha yako ya kimahusiano na vidonge 50 vinatosha kabisa kama dozi ya kuanzia na  baada ya mwezi endelea na njia za asili nilizotaja kwenye hiyo link hapo juu au endelea na vidonge mpka utakapokua tayari na kuendelea bila vidonge.

Onyo; kama wewe ni mnywaji wa pombe usiguse kabisa dawa hii ni hatari ikichanganyikana na pombe huweza kuleta madhara makubwa sana ya kiafya ikiwemo kupoteza fahamu na degedege.

Mwisho: kama una dukuduku unaweza kuingia mtandaoni  google dawa hizo mfano ’paroxetine for pre mature ejaculation’ili ujiridhishe kabla ya kununua. Uzuri wa fani hii hakuna siri kila kitu kipo wazi na ukitaka unahakikisha mtandaoni.  dawa zote nilizotaja hapo juu zinapatikana kwenye maduka ya madawa na zimethibitishwa na madaktari bingwa wa fani hiyo kufanya hiyo kazi..  lakini dawa hizi ni adimu sana na ghali [sio chini ya elfu hamsini kwa dose ya kutosha mtu mmoja] kuzipata yaani unaweza usizipate kabisa lakini zipo. Lakini ukikosa kabisa wasiliana na sisi tunaweza kujua jinsi ya kukusaidia hata ukiwa mkoani..

Wakati mwingine sio kila dawa inafanya kazi kwa mtu Fulani, unaweza ukakuta dawa moja kati ya hizo ndio ikakufaa zaidi kuliko zote hivyo kama ukinunua moja isikufae vizuri jaribu nyingine.
Kumbuka dawa hizi hazitumiki milele na milele ni za muda tu hivyo nakushauri uzitumie huku unajiweka sawa na zile njia za asili nilizokuonyesha kwenye link hapo juu kwani ukiziweza  zile njia
umemaliza kazi. nakutakia maisha mapya baada ya somo hili.

                                                     STAY ALIVE

                       DR. KALEGAMYE HINYUYE MLONDO.

                        MAWASILIANO 0653095635/0769846183

JINSI YA KUONGEZA UREFU NA UNENE WA UUME KWA MAZOEZI.



                                                                       
                                  
Unaweza kua umepata mshtuko kuona makala hii kwasababu niliwahi kuandika makala kupinga watu wanaodai wana dawa za kuongeza unene na urefu wa uume na kuongeza nguvu za kiume kwenye moja ya makala zangu zilizopita, lakini msimamo wangu bado ni ulele kwamba hakuna dawa wala uchawi wa kuongeza maumbile ya uume japokua kuna dawa zakuongeza nguvu za kiume kutoka viwandani na zinafanya kazi hizo za kienyeji siwezi kuziongelea kwani hawa watu hawakubali kushindwa hata dawa ya ukimwi watakwambia ipo…

kuna njia mbili tu za kuongeza uume yaani upasuaji ambapo ligament kuu mbili za zinazoshika uume  uume na mfupa wa nyonga hukatwa na na kufanya sehemu ya ndani ya uume {ambayo ni kama sentimita sita kwa ndani} kutoka nje lakini njia hii ni hatari kwani hupona na kuacha makovu, makovu ambayo baadae yatauvuta uume ndani na uonekane mdogo zaidi lakini pia uume hukosa balance na kuchomoka nje na kupinda wakati mwingine.

Njia nyingine ambayo kwa sasa imefanyiwa utafiti duniani na madaktari bingwa wa mambo ya sehemu za siri yaani urologist na sexiologist ni ya kufanyisha mazoezi ligament hizo mpaka ziongezeke urefu na kuongezeka unene bila madhara hata kidogo.

Unaweza kua umeshachanganywa na matangazo mengi ya kwenye mtandao ambayo hujitapa yanaweza kufanya hiyo kazi kwa vidonge au waganga wa ndani ya nchi ambao kila siku wanakula pesa nyingi sana kwa kazi hiyo ya kitapeli ambayo haina ushahidi. Sasa kama na wewe umeshandanganyika sana tulia usome kwa makini ukweli ulipo na mzoezi yanvyofanya kazi.
Unaweza kua ushawahi kuyafanya mazoezi haya lakini hukufanikiwa kwa sababu hukufuata utaratibu hatua kwa hatua kama kitabu kinavyoelekeza.

Je unafanyaje mazoezi haya?
Unaweza ukawa bado unaona ni kitu ambacho hakiwezekani.. lakini ngoja nikwambie kitu kimoja ambacho ulikua hukijui.kama unavyoona misuli ya mtu mwembamba inabeba chuma mpaka inakua inajaa na kua mikubwa. Misuli yote ya mwili wa binadamu ikifanyiwa mazoezi inabadilika ukubwa wake kitaalamu tunaita muscle hypertrophy…mazoezi haya hayahitaji vifaa vyovyote zaidi va viganja vyako.[ hivyo mtu asiyeyaweza labda awe hana viganja au hana uume}

Kuna aina kuu mbili za mazoezi haya..
Mazoezi ya kuongeza urefu wa uume na mazoezi ya kuongeza unene wa uume..

  • Mazoezi ya kuongeza urefu yanahusisha ligament kuu mbili yani fundiform ligament na suspensory ligament kwa kuvuta ligament hizo kitaalamu kama stretching exercises.
  • Mazoezi ya kuongeza unene wa uume ambayo yanahusisha kuongeza damu nyingi kwenye sehemu za uume mpaka sehemu ya ziada iongezeke ili kuhifadhi damu hiyo na ndio unene wenyewe.

tofauti ya mazoezi haya na mengine ya mwili ni nini?
 Ukibeba chuma kwa muda Fulani mwili utajaa sana lakini ukiacha mwili unaweza rudia hali yake ya zamani japokua mwili hautaisha kabisa kwani kama wewe ni mwana mazoezi ukimuona mtu aliyewahi kubeba vyuma zamani utamgundua tu kwani ile ramani ya misuli hua haipotei…lakini ukifanya mazoezi haya kuna mishipa midogo midogo sana ya damu itapasuka kuipisha mikubwa na mishipa hiyo mipya haitapotea milele yaani ukubwa utakaopata hautabadilika tena hata ukiacha.

Je mazoezi haya yanafanya kazi kweli?
Hapa ndipo sehemu kuu ya kuzingatia kuliko zote hautaziona hata kidogo. Nasema hivi kwasababu najua naongea na wanaume sasa hivi kwamba sisi wote ni mashahidi yaani ili ubebe vyuma mpaka kifua kionekane lazima moyo wa kwenga gym uwe nao na ninajua wengi wenu mlishaanza gym mkaenda wiki moja mkaacha ila wale wavumilivu ndio mabaunsa mpaka leo. , ukifanya mazoezi haya kwa muda wa miezi mitatu mpaka sita ukiwa na nia ya kweli kutoka moyoni sio kwamba utaongezeka unene tu bali uume utakua na nguvu kama simba na afya tele. Kiufupi hakuna njia ya uhakika na isyo na madhara kama hii, sio kwamba najisifia kwani hata usiponiamini imeshafanyiwa utafiti na ikakubalika kutumika duniani.

Hebu tuangalie historia, ushahidi na utafiti uliofanywa na madaktari wa kwanza kugundua njia hii..
CHARTHAM METHOD
Mwaka 1970 daktari mmoja aliyekua bingwa ya mambo ya afya kujamiina yaani specialist in sexual health aliyekua ameandika vitabu kadhaa kuhusu mambo ya afya ya uzazi kwa wanaume na wanawake aliamua kufanya utafiti kuhakikisha mbinu hii iliyokua inaitwa chartham method kabla watu hawajaanza kuitumia.

Daktari huyu alichukua wanaume 32 na kuwafanyisha mazoezi haya kwa muda wa mwezi mitatu na alibaki mdomo wazi kwani utafiti huu ulikua na mafanikio ya asilimia 87.5% yaani wanaume 28 waliongezeka urefu wa uume kwa sentimita 3.5 na unene wa sentimita 3 wakati nyeti zao zikiwa zimesimama huku wawili wakiacha na wengine wawili kutopata mafanikio. Hiyo ilikua miezi mitatu huenda wangefika mezi sita wangekua zaidi ya hapo.

SYNEXUS AND HARRISON
Miaka michache iliyopita utafiti huu ulirudiwa na synexus and harisson clinical research ukiwahusisha wanaume 50 ambako wanaume wote hamsini nyeti zao ziliongezeka kwa urefu wa sentimita 4.5 na unene wa sentimita 4 kwa miezi mitatu tu, yaani zaidi ya utafiti uliopita kwani huu ulifanikiwa kwa asilimia mia moja.
Mazoezi haya yalifanyika kwa dakika 22, siku tano kwa wiki kwa muda wa miezi mitatu.

UTAFITI WANGU MWENYEWE KAMA DAKTARI WA BINADAMU.
Nilipomaliza chuo cha udaktari mwaka 2013 niliendelea kukutana na mabishano makali na madaktari wenzangu kuhusu hoja hii. Nikaona haina haja ya kuendelea kuumiza kichwa kwani moja ya kazi kubwa ya daktari ni kufanya utafiti hivyo nikajitosa kwenye utafiti huo kama daktari,  hivyo mwaka 2014 kwanzia  mwezi wa kwanza niliamua kufanya utafiti huu kwa kutumia wanaume kumi tu kwa muda wa miezi sita. Haikua kazi rahisi kwani ilibidi wafanye kazi hii kwa gharama zangu kwani ilibidi niwasimamie na wafanye kama navyotaka mimi.

Baada ya miezi sita matokeo yale yalinifanya nikubali mazoezi haya yanafanya kazi japokua kuna watatu waliacha njiani wale saba waliomaliza mpaka mwisho waliongezeka kwa sentimita 4 mpaka 6 urefu kila mtu na unene wa sentimita 4 mpaka  4.5..yaani baada ya utafiti huu wao ndio walionishukuru wakidai kwamba nimeokoa ndoa zao kwani mwanzoni walikua wazito sana kukubali kushiriki.

Baada ya hapo ndipo nilipokaa chini na kuanza kuandaa kitabu hichi kwanzia mwezi wa saba mwaka jana na kukikamilisha mwezi wa tano mwaka huu. Kitabu hichi sio kirefu sana ila kilinitaka akili nyingi na kuandika vitu vyenye ushahidi wa kweli sio kukurupuka tu, kwani unapofanya kitu kinachohusiana na maisha ya binadamu hasa eneo hilo lazima uwe makini sana.
Ni kweli watu wanatofautiana sana kimaumbile yaani kuna wengine wanawahi sana kupata matokeo na wengine wanachelewa kidogo lakini mwisho wa siku hakuna anyeambulia patupu.

TATIZO LA KUTOKUA NA UVUMILIVU..
Mazoezi haya yanatakiwa yafanyike mara nne mpaka tano kwa wiki sio chini ya miezi mitatu kwa kufuata kama nilivyoelekeza, wasomaji wengi hapa wanaona ni kawaida ila huenda wengi wenu mtaacha kabla ya muda huo.
Kupata dakika 20 mpaka 30 za kujifungia sehemu peke yako bila kubugudhiwa inaweza kua ngumu sana labda ufanye usiku sana au asubuhi mapema kabla watu hawajaamka labda kama unaishi peke yako.
Kumbuka katika kila mwanaume aliyefanikiwa kuna wengine walikata tamaa na kuacha ndio maana nilitoa mfano wa kubeba chuma hapo mwanzoni kwani mimi pia ni mshiriki wa mazoezi hayo ya kubeba vyuma yaani lazima uwe na moyo wa chuma.
 Mazoezi haya yanawezekana kwani kuna ambao tayari wamefanikiwa kwa mazoezi haya ya kuongeza maumbile, unene wa uume na nguvu za kiume.

CHAKULA
Wakati unafanya mazoezi haya jitahidi kula vyakula vya protini hata mara nne kwa siku kwani ndio mzizi mkuu wa ukuaji wa binadamu  yaani nyama, samaki, karanga,maziwa, korosho,dagaa na kadhalika…

MUDA WA MAZOEZI NA KUONGEZEKA KWA MAUMBILE..

  • Utaona mabadiliko ya nguvu za kiume wiki chache baada ya kuanza mazoezi haya na uume utaonekana mkubwa hata ukiwa umelala.
  • Mwezi wa kwanza tegemea kuongezeka uume kwa sentimita 1.5 na unene wa sentimita 1.5
  • Mwezi wa tatu tegemea kupata  sentimita 4 mpaka 6  za urefu na sentimita  3 mpaka 3.5 za unene.
  • Miezi sita utaongezeka zaidi ya hapo.
  • Urefu huo ni kutokana na data za  asilimia kubwa ya watu waliyoyafanya japokua kuna ambao watawahi zaidi kufanikiwa na wengine kuchelewa kidogo.

MWISHO; kitabu hichi kitauzwa kwa shilingi elfu ihamsini tu [50000] ambayo italipwa m pesa au tigo pesa kwa namba hizi mbili 0653095635 tigo 0769846183 vodacom kwa  wanaohitaji . Ukishalipa utatuma email yako kwenye namba hizo au nitumie email yako  moja kwa moja kwenye email yangu kalegamyehinyuye@gmail.com afu ntakutumia kitabu kikiwa kwenye mfumo wa soft copy au watsapp.

Kumbuka: usipoteze fedha zako kama hauko tayari kufanya mazoezi hayo kwa moyo wote  kwani mimi sio mganga wa kienyeji na utaishia kulaumu kama hauko tayari kujitoa, kumbuka gharama iliyotajwa hapo ni ya thamani ya maarifa na faida utakayopata sio kwa ajili ya karatasi za kitabu. no pain no gain.,,
                                             

                                  DR.  KALEGAMYE HINYUYE MLONDO

                                   MAWASILIANO 0653095635/0769846183

                                                            STAY ALIVE






MFAHAMU MGONJWA WA KWANZA KUPONA UKIMWI DUNIANI KWA NJIA YA UPASUAJI...



                                                                           

Unaweza ukahisi ni maigizo au stori za kusadikika lakini kwa mara ya kwanza mwaka 2008, daktari gero hutter  alimfanyia oparesheni  mgonjwa timothy ray brown ya kubadilisha  vimelea vya mifupa vinavyotengeneza damu mwilini kitaalamu kama bone marrow baada ya kuugua kansa ya damu kwa mda mrefu {leukemia] pamoja na ukimwikwa pamoja , mgonjwa huyo alipata bone marrow zingine kutoka kwa baadhi ya watu ambao kinga zao za mwil zimeonyesha kukataa kabisa maambukizi ya ukimwi yaani hawawezi kuambukizwa hata iweje.

Tangu mwaka 1990 wanasayansi wamegundua watu wa kaskazini mwa ulaya ambao kinga za mwili zimekataa kabisa maambukizi ya ukimwi.

Mgonjwa huyo aliishangaza dunia baada ya kukutwa hana virusi vya ukimwi hata kidogo kwenye damu yake baada ya upasuaji huo, madaktari waliokua wakimuhudumia walihisi labda virusi wanaweza kua wamejificha kwenye ubongo, maini, na sehemu zingine za mwilini hivyo walichukua sehemu za maeneo hayo kupima{biopsy} lakini hawakukuta kirusi hata kimoja.

“matokeo yanaonyesha mgonjwa huyu amepona ukimwi kabisa’  jarida la journal blood liliandika…. “kwa matokeo haya naweza kusema tumefanikiwa kutibu ukimwi kwa mara ya kwanza duniani” liliongezea jarida hilo.

Lakini njia hiyo haiwezi kuwatibu ukimwi watu wengine kwani ni hatari sana na uwezekano wa kufa wakati wa uparesheni hiyo ni asilimia ishirini, na oparesheni ililenga kutibu kansa na sio ukimwi hivyo madaktari duniani walikataa njia hiyo ambayo kama ingetumika kwa wagonjwa wote huenda ukimwi ungetokomea kabisa duniani.

Mpaka sasa hivi waathirika wa ukimwi duniani ni milioni 33 na ugonjwa huu umeua watu zaidi ya  milioni 25 tangu ulipogunduliwa miaka ya 1980. Ni dawa za ARV  tu ndio zinawasaidia kurefusha maisha lakini hakuna chanjo ya ugonjwa huu mpaka sasa.
                                         tembelea blog yetu ya kingereza hapa www.vibesinc.ga
                                                     STAY ALIVE 
                      DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO

                       MAWASILIANO 0653095635\0769846183

HAYA NDIO MADHARA MATANO YA KUTOPATA KIFUNGUA KINYWA ASUBUHI...



                                                                 

Kifungua kinywa ni nini? Hichi ni chakula kinacholiwa asubuhi mara nyingi kabla watu hawajaanza mizunguko ya kila siku.
Lakini kuna watu kwao imekua utaratibu kutokunywa chai kwa kusingizia ugumu wa maisha, kua bize sana, au kutozoea kunywa chai asubuhi.

Tabia hii ya kutotumia kifungua kinywa inaambatana na madhara hatari ya kiafya na kimahusiano na watu wanaokuzunguka…hebu angalia madhara haya makuu yakutokunywa chai.

Kuongezeka uzito na kua mnene: watu wengi wanajidanganya kwa kuacha kunywa chai asubuhi wakidhani wanapunguza uzito lakini wanaongezeka uzito zaidi kwa sababu kuu mbili, kwanza watakula chakula kingi baadae njaa ikiwa kali sana kwa kudokoa dokoa wakati wa kazi, wakati chakula hicho wangekila asubuhi kabla ya kazi kingetumika vizuri na mwili kushusha uzito. Sababu ya pili ni kwamba unaposhinda njaa mwili unahisi kwamba uko kwenye shida ya chakula hivyo chakula kingi utakachokula baadae mwili unakiweka kama mafuta kisije kutumika baadae shida ya chakula ikizidi.

Mzunguko wa hedhi usioleweka: gazeti moja nchini marekani kwa jina la appetite lilifanya utafiti na kugundua wanafunzi wengi wa chuo ambao hawanywi chai asubuhi husumbuliwa sana na maumivu kipindi cha siku zao, kukosa hedhi kabisa, lakini pia walisumbuliwa na kupata choo ngumu.

Kuwa na hasira sana: hili liko wazi watu wengi wakiwa na njaa wanakua na hasira sana na wanaweza kutaniwa kidogo tu na kua wakali sana, hii inasababishwa na msongo wa mawazo wanaoupata kipindi hiki na mwili kutoa aina ya homoni inayoitwa adrenaline inayomfanya mtu awe na hasira zaidi.

Kushindwa kufanya kazi kwa umakini;  mtu asipokunywa chai asubuhi kuna muda unafika hawezi kufanya kazi kwa makini kwaani ubongo unakua umepungukiwa nguvu yaani glucose hivyo huanza kutokwa jasho na kutetemeka sana.

Mwisho: napenda kuwashauri wapunguza uzito wote ambao mmeachwa kuchwa chai mkidhani mtapungua kwamba mnajidnganya, hakuna kitu kama hicho.. njia pekee ya kupunguza uzito ni kula chakula kidogo kila mlo hata mara sita kwa siku  hii hufanya mwili kufanyakazi haraka na kupunguza uzito{metabolism} kuliko kuruka mlo na kulipa kisasi jioni au kula milo mikubwa ya nguvu..tembelea blog yetu ya kingereza hapa www.vibesinc.ga
                                              STAY ALIVE   

                          DR .KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
         
                                          MAWASILIANO

                                      0769846183/0653095635....