Moja ya makala zilizopita
niliwahi kuongelea namna ya kupata mtoto wa kiume na jinsi ya kujua siku za
mwanamke za hatari za kubeba mimba ni zipi lakini watu wengi wamekua
wakinipigia simu kwamba hawakuelewa.
Leo ntarudia maada hii na naomba
msomaji usome kwa makini sana.
Siku za hatari za mwanamke ni
zipi?
Hizi ni siku ambazo mwanamke
akishiriki ngono bila kutumia kinga anapata ujauzito bila wasiwasi wowote labda
kama ana matatizo yanayomfanya asibebe mimba au mwanaume wake ana matatizo.
Utazijuaje siku hizo?
Kwanza kabisa ili ujue siku zako
za hatari lazima ujue idadi ya siku za mzunguko wako. Kuna aina tatu za mzunguko..
mzunguko mrefu ambao unachukua siku 35, mzunguko mfupi unaochukua siku 25 na
ule wa kawaida unaochukua siku 28 na ndio mzunguko ambao watu wengi wanao.
Unajuaje mzunguko wako?
Hesabu siku tangu siku ile ya
kwanza uliyoona siku zako za hedhi mpaka siku moja kabla ya kuona siku zako za
hedhi zinazofuata. Unashauriwa uchukue miezi mitatu mpaka sita ukihesabu ili ue na uhakika
kwamba mzunguko wa tarehe zako haubadiliki, kama umeshahesabu siku za nyuma kabla
ya kusoma makala hii ni vizuri pia. Mfano umeanza kuona siku zako tarehe moja
mwezi wa nne alafu ziko zako zingine ukaziona tarehe 29 mwezi wa nne, chukua 29
toa 1 utapata 28.. maana yake wewe unamzunguko wa siku 28.
Je siku za hatari ni zipi?
siku ya hatari ni siku ya 14 kabla ya kuona hedhi inayofuata na sio siku ya 14 baada ya kuona hedhi iliyopita na hapa ndio watu wengi wanachanganya na kupata mimba.
siku ya hatari ni siku ya 14 kabla ya kuona hedhi inayofuata na sio siku ya 14 baada ya kuona hedhi iliyopita na hapa ndio watu wengi wanachanganya na kupata mimba.
Mfano kama mzunguko wako ni siku wa kawaida siku 28, chukua 28 toa 14 utapata 14. Hivyo siku
yako ya hatari ni siku ya 14, lakini kwa kua mbegu ya kiume inaweza
kuishi mpaka siku tano na yai la kike linaweza kuishi mpaka masaa 24 ndani ya mfuko wa uzazi basi siku
nne kabla na siku moja baada ya siku ya 14 ni hatari hivyo siku za hatari ni ni siku ya
10,11,12,13,14 na 15.
Kama mzunguko wako ni mrefu labda siku 36 basi chukua 36 toa 14
utapata 22. Hivyo siku ya 22 ni hatari na zingine ni 18,19,20,21,22 na 23.
Kama mzunguko wako ni mfupi, mfano mzunguko wa siku 21, sasa ukichukua
21 ukatoa 14 unapata 7 yaani siku ya saba ni siku yai linashuka hivyo ni hatari kwa huyu mtu.hivyo siku zingine za hatari ni 3,4,5,6,7[mtoto wa kiume] na 8.
kama mzunguko wako ni wa kawaida yaani siku 28 sasa chukua 28 toa 14 unapata 14 yaani siku ya 14 ndio hatari zingine ni siku ya 10,11,12,13,14,15
kama mzunguko wako ni wa kawaida yaani siku 28 sasa chukua 28 toa 14 unapata 14 yaani siku ya 14 ndio hatari zingine ni siku ya 10,11,12,13,14,15
Dalili kwamba uko kwenye siku za
hatari ni zipi?
Kuongezeka kwa joto kidogo, tumbo
kuuma kidogo, na ute mweupe kutoka sehemu za siri..
mwisho: maelezo hayo hapo juu
yanaweza kusaidia kupanga uzazi, kuchagua jinsia ya mtoto au kutafuta mtoto. Lakini pia tarehe zote nilizoweka mabano ambazo ndio tarehe yai linashuka ndio za mtoto wa kiume zingine zote zilizobaki ni za watoto wa kike. kama mzunguko wako wa hedhi unabadilika badilika soma hapa http://www.sirizaafyabora.info/2015/06/jinsi-ya-kuhesabu-ziku-za-hatari-za.html
STAY ALIVE
MAWASILIANO 0653095635/0769846183[tuma meseji tafadhali]
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
mke wangu anapata siku zake tarehe 10, zamani ilikuwa tarehe 14, sasa ni kumi, je hili ni tatizo, pia siku gani kwake ni hatari kupata ujauzito
JibuFutaHilo cyo tatizo ila kubadilika kwa siku zake kuna tokana na vyakula anavyo tumia pamoja na kaz anazo fanya pia kama ana magonjwa ya mara kwa mara hii pia ni sababu kubwa ya mzunguko.kubadilika
FutaMchumba wangu alikuwa akipata tarehe 20,juzi kapata tarehe 15.Je Ni siku zipi nzuri kupata mtoto?
JibuFutaMaoni haya yameondolewa na mwandishi.
JibuFutaKwa hiyo kama ulipata tarehe nane ukasex tarehe 17 kama mzunguko ni Sikh 28 in mimba inatokea
JibuFutaSwali langu ni kwamba inawezekana mwanamke kuwa na siku tofauti za kuwa katika kipindi cha kuvuja damu{bleed}? Au kwa maana kwamba mwezi uliopita alivuja damu kwa muda wa siku tatu halafu mwezi uliofuatia akavuja siku tano na mabadiliko hayo yanaletwa na nini?
JibuFutaKwa mfano nimeingia tarehe 17jan mwezi february 18 mzunguko wangu utakuwa ni wasiku ngapi na nizip tarehe sahihi za kushika mimba maana napata shida kidogo tafadhal doc.
JibuFutaKama nimekutana na Mke wangu siku ya hatari na nikatoa nje kabla ya kufika kileleni, Je kuna uwezekana wa kupata mimba?
JibuFutaKama nimekutana na Mke wangu siku ya hatari na nikatoa nje kabla ya kufika kileleni, Je kuna uwezekana wa kupata mimba?
JibuFutaKa mwez uliopita nikipata hedh trh13 af mwez ujao trh8apo unakuwani mzunguko wa siku ngapi na trhe za hatar in zip
JibuFutaHapo utachukua hyo 13+?.=30 hvyo utachukua 17 +7 utapata 24hvyo mzunguko wako utakuwa n siku 24
FutaKa mwez uliopita nikipata hedh trh13 af mwez ujao trh8apo unakuwani mzunguko wa siku ngapi na trhe za hatar in zip
JibuFutaMaoni haya yameondolewa na mwandishi.
JibuFutaKwaiyo watu ambao mzunguko wao Sio mfupi awawezi kupata mtoto wa kit me
JibuFutaKwa mfano mtu mzunguko wake ni siku 26 siku zake ya zatari ambazo anaweza kupata ujauzito ni zip?
JibuFutaBaadhi ya maswali yanajirudia wandugu sio kila mtu ujibiwe kwa kutajwa jina unacho ambhwa hesabu mzunguko wako kwanza kwa mda wa miezi mitatu. alafu urudi kusoma maelezo ya mtaalamu kuanzia mwanzo uajielewa.
JibuFutaJaman nimefanya mapz na mwenzangu,akiwa katika siku zake je mimba itaingi
JibuFutaPoint mkuu
JibuFutaMkuu nimekupata vizuri sana asant kwa ufafanuzi ngoja tuifanyiee kazi tutafute watoto
JibuFutamimi ni mama mwenye umri wa miaka 43 ni mama wa familya miaka 5 sipendelei tena kupata mtoto kwa mara ya mwisho nimezaa mapacha wenye umri wa miak 2 uzazi wangu wa mpngo ni kalenda lkn mara hii mzunguko wangu umekuwa na siku 22 badala 26 inakuwaje na nifanyeje
JibuFutashery dula
FutaKama mtu umenifanya tarehe 21 February na ukuja kufnya 12 march kuna uwezekano wa kupata mimba
JibuFutampenz wangu aliingia piriod trh 28 baada ya siku tano akuona dam nikafanya nae mapenx piriod ikarud tena kama siku nne tatiz nn hapo
JibuFutamimi huona period tarehe 30 hadi 4 siku hatari ni gani
JibuFuta