Kukua kwa kasi ya utandawazi kumeleta maendeleo makubwa ya
kijamii, kiuchumi na kisiasa. Pamoja na hayo yote kuna mambo ya ambayo waafrika
tumeyaiga nikiimanisha ambayo sio jadi yetu pia ni hatari kiafya hapa
nikimaanisha kulambana sehemu za siri kabla ya ngono bila kujua madhara makubwa
yasababishwayo na tabia hiyo.
Leo hii kuna watu hawaridhiki na kufanya ngono bila kulamba
au kulambwa sehemu hizo za siri lakini leo naomba nikupe madhara makuu ya
kushiriki aina hii ya ngono..
Kansa ya koo: kirusi ambacho kinasababisha kansa ya mlango
wa uzazi kwa mwanamke huweza kuambukizwa na kushambulia koo la chakula na
kusababisha kansa ya koo, ambayo ziku
zote husababisha kifo kwani haina matibabu ya kuponya kabisa.
Magonjwa ya zinaa; haya ni kama gonorea, kaswende na herpes
simplex ambayo huanza kwa kushambulia mdomo na yamekutwa kwa watu wengi sana
ambao hushiriki sana aina hii ya ngono .
Magonjwa ya ini; virusi vinavyosababisha ugonjwa wa ini
maarufu kama hepatitis B huweza kuambukizwa kwa njia hii ya kulamba sehemu za
siri, huu ni ugonjwa hatari ambao husababisha kansa ya maini mwishoni.
Ugonjwa hatari wa ukimwi: japokua tafiti zinasema sio rahisi
kuathirika na ugonjwa wa ukimwi kwa njia ya kulamba sehemu za siri ila
uwezekano upo wa kupata ukimwi kwa kupitia maji maji ya ukeni au ya uume na michubuko
ya mdomoni ya mlambaji.
Magonjwa ya kinywa; bacteria wengi wanaopatikana kwenye
sehemu za siri huweza kushambulia sehemu ya wazi ya jino na kusababisha kuoza kwa
jino na maumivu makali sana ya meno
Mwisho; haya ni baadhi ya magonjwa yanayofahamika mpaka sasa
hivi yatokanayo na aina hii ya ngono…mengine bado yanafanyiwa utafiti sehemu
mbalimbali. Onyo; usijaribu au kuiga mambo usiyoyajua kwani unajihatarishia
afya yako wewe na mwenzi wako.tembelea blog yetu ya kingereza hapa www.vibesinc.ga
Mawasiliano;
0653095635\0769846183
STAY
ALIVE………
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO