data:post.body 2015 ~ SIRI ZA AFYA BORA...
  • Karibu kwenye blog ya SIRI ZA AFYA BORA ujifunze mbinu bora za afya ili uweze kuwa na afya bora.

Recent Posts

HIZI NDIO NJIA TISA ZA KUFANIKIWA KWENYE MAZOEZI YA KUJAZA MIILI KWA WANAUME..

                                                                     

wanaume wengi wa umri wa miaka 18 mpaka 40 hupendelea sana kufanya mazoezi ya kubeba vyuma au kupiga push ups ili kua na miili mikakamavu, nguvu, kupunguza uzito na kua na miili inayovutia wenyewe wanaita SEXY BODY. sasa katika harakati zakupata miili hiyo kuna makosa mengi hua wanayafanya na wengine hushindwa kupata miili hiyo na kukata tamaa kabisa. lakini kuna mambo muhimu sana ya kuzingatia ukiamua kufanya mazoezi hao na kufanikiwa.
kua na malengo; mara nyingi watu wanaenda gym bila malengo yeyote, yaani hajui anaka aweje ndani ya muda gani hii huwafanya kupoteza uelekeo baada ya wiki moja tu ya kuanza mazoezi. jipangie kwamba nataka kua na kifua kipana au mikono iliyojaa au kukata tumbo ndani ya muda fulani na hakikisha muda ulioweka haya mambo yanawezekana.. kama unaenda gym ili ufanikiwe kwa muda wa wiki moja ujue unapoteza muda.
chagua kifaa na uzito sahihi;kutumia vifaa vya gharama sana au kwenda gym ya gharama kubwa sana haitakufanya upate mwili haraka ili uchaguzi mzuri wa mazoezi na vifaa. hakikisha uzito uliochagua basi unaweza kupiga mara 15 kwa raundi moja, kama unabebea chuma afu unapiga tano unashindwa basi hiyo sio size yako.
usifanye peke yako; ukianza gym hakikisha kuna mwalimu au mtu mzoefu ambaye atakua anakuelekeza uanzie wapi halafu uishie wapi..kuanza kufanya mazoezi mwenyewe utakua unayafanya vibaya. yaani kushika chuma vibaya, kufanya mazoezi vibaya na kukaa vibaya kwenye zoezi fulani. lakini pia mazoezi ya wengi huleta hamasa ya kuendelea kuliko kufanya peke yako nyumbani.
polepole ndio mwendo; mazoezi yote duniani yanafanyika kwa mwindo mkali kupata mafaniko lakini kwenye kubeba chuma ni tofauti kidogo kwani unatakiwa ufanye taratibu yaani kupandisha na kushusha sio haraka kama wanavyofanya wengi na kama umefanya utafiti utagundua ukifanya taratibu maumivu ndio yanakua makali zaidi na hiyo ni dalili nzuri.
pumzika: hakikisha unapata pumziko la angalau dakika tatu au nne pale unapohama kutoka kwenye zoezi moja kwenda lingine yaani kutoka kwenye zoezi la mkono kwenda kwenye kifua kwani utafiti unonyesha mapumziko yake ni muhimu sana kwa mafanikio.lakini mapumziko sio hayo tu ni vizuri kwenga gym angalau siku tano mfulululizo kwa wiki wanaoanza na kupumzika siku mbili kwa wiki.mapumziko yale yataleta faida kuliko kwenda kila siku.
kua na mpangilio mzuri wa mazoezi; ukienda gym afu ukatumia mashine zote kuna uwezeano mkubwa uko unapoteza muda.weka ratiba kwamba leo nafanya zoezi la mkono. fanya mazoezi yote ya kujaza mkono yanayopatikana pale afu mwishoni ndo unaweza kugusa kifua kidogo na tumbo kidogo. siku ya tumbo fanya mazoezi yote ya tumbo afu mwishoni ndio gusa kidogo na mengine. ukiyafanya yote kwa mpigo kwa kiwango kimoja, matokeo hautayaona.
chakula; umeshaona watu wanabeba chuma kila siku ila bado wana vitambi? au mtu ana bidii sana kwenye mazoezi lakini mafanikio hayaonekani? chakula ndio msingi wa kila kitu kwani mwili ule unaouona kwa baunsa ni chakula kitupu na ukimnyima hicho chakula kwa wiki moja tu utamshangaa atakavyoisha.vyakula vinavyojaza mwili yaani nyama na mifupa ni aina ya protini kama nyama, samaki,dagaa, karanga, korosho, maziwa na kadhalika lakini ukifanya mazoezi haya huku unakula sana ugali,wali,ndizi,mihogo,viazi na kadhalika utaambulia kitambi tu.sijasema usivile hivo ila kula kidogo.
                                                          

virutubisho; kuna virutubisho vinauzwa kitaalamu wanaita protein shake, mchnganyiko huo unakua na protein nyingi sana kuliko ile inayopatikana kwenye chakula cha kawaida na mara nyingi hua kwa mfumo wa unga, hivyo mtumiaji huchota unga ule na kuchanganya kwenye maziwa. matokeo yake hua ni mazuri sana sana.unaweza kununua virutubisho hivi mtandaoni kwa kubonyeza link hii https://amzn.to/346OURi
                                                                    
usikate tamaa; hii ni point ya mwisho na ya msingi sana, kiufupi ukikata tamaa kwenye kitu chochote ndoto zako zimekua zimeishia hapo,  mafanikio yeyote huletetwa na uvumilivu mkubwa wa muda mrefu ambao mwisho wake utakuletea majibu.
                                             

                                                                   STAY ALIVE

                                          DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
                                      MAWASILIANO;0653095635/0769846183




YAFAHAMU MADHARA MAKUU MATATU YA KUTUMIA PAFYUMU, DEODERANT NA SPRAY MWILINI.

                                                                  
                                                                 
mtu mmoja rafiki yangu sana, nilisoma naye sekondari miaka ya nyuma kidogo aliwahi kunipigia simu na kuniuliza madhara ya kutumia haya marashi ya kunukia kama perfum, deodorant, body spray na kadhalika. alinigusa sana kwani ni moja ya janga kubwa kwenye jamii ambalo halifahamiki na leo naenda kutumbua jipu hili mapema kabisa ili utumie ukijua..marashi haya yanaleta matatizo magonjwa yafuatayo kutokana na kemikali ya aluminium iliyoko ndani ya aina nyingi za marashi kama ifuatavyo...
kansa ya matiti: utafiti uiofanyika hivi karibuni umegundua kwamba kansa nyingi za matiti yaani kwa wanaume na kwa wananawake zinatokea upande wa juu wa titi kwa nje, karibu kabisa na pale unapopaka marashi yako.. utafiti huu uliongeza kwamba kemikali hizi ikiwemo aluminium huzuia harufu kwa kuziba matundu ya jasho na kufanya mwili ushindwe kutoa uchafu wake, lakini pia kemikali hizi mara nyingi huingia kwenye damu wakati mtu amenyoa na kuacha michubuko kwenye ngozi ya kwapa,  kemikali hizi zikiwa ndani ya damu huingiliana na DNA na HOMONI za mwili na kuzaa kansa.
ugonjwa wa alzeheimers; huu ni ugonjwa unaoshambulia ubongo hasa kipindi cha uzee, mgonjwa hupata hali ya kusahau kia kitu mpaka jina lake wakati mwingine. utafiti uliofanyika nchini marekani ulikuta watu hawa wakiwa na kiasi kikubwa sana cha kemikali ya aluminium kichwani ambazo kwa hali ya kawaida iligundulika wagonjwa hao walizitoa kwenye marashi yao ambayo wakipaka kwa maisha yao yote.
ugonjwa wa figo; ugunduzi huu ulifanyika miaka ya nyuma kidogo ambapo wagonjwa wengi wenye shida ya figo hua wana kiasi kikubwa sana cha phosphorus kwenye damu zao na matokeo yao walianza kupewa alumimium hydroxide kupunguza kiasi cha phosphorus mwilini, lakini baadae wakagundua aluminium ile ilikua haitoki mwilini vizuri hivyo ikaamuliwa na shirika la viwangovya  dawa na chakula marekani, kwamba marashi yote yenye aluminium yawekwe wazi ili watu hawa wasitumie.lakini je? unafikiri wewe ambaye kwa sasa ni mzima hupati madhara yeyote ya figo kwenye aluminium zilizoko kwenye marashi yako?
mwisho; sijaandika maka hii ili watu waanze kunuka. hapana, kuna njia za asili za kuzuia harufu ya kikwapa kwa kutumia vitu asili au kutumia marashi yaliyotengenezwa bila kemikali hizi..zipo kampuni zinatoa marashi yasiyokua na kemikali hizi japokua hapa kwetu ni adimu sana. kampuni nayoifahamu yenye bidhaa hizi ni kampuni ya FOREVER LIVING ambao bidhaa zao wanazitengeneza kiasili na kuweka mmea wa aloe vera. kampuni hii ina wasambazaji mikoa mbalimbali unaweza onana nao na kutumia marashi yao ili kua salama au ukatafuta vyanzo vingine unavyoviamini.
                                      DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
                                                0653095635/0769846183

HIZI NDIO NJIA KUU NNE ZA KUONDOA MICHIZIRI YA KWENYE NGOZI...

                                                                 
                                           
michirizi ya ngozi ni nini?
hizi ni alama ambazo huonekana kwenye ngozi baada ya kuchanika kwa moja ya ngozi ya ndani kitaalamukama dermis. michirizi hii hutokea mara nyingi baaada ya mbadiliko ya mwili ya ghafla kama kunenepa, kunyenyua vyuma chuma, kubeba mimba na kadhalika. alama zake hazina madhara kiafya lakini hazipendwi na watu ambao wanapenda mambo ya urembo hasa wasichana hivyo leo tutaenda kuzungumzia kwa kifupi matibabu ya hali hiyo kama ifuatavyo.

tumia mmea wa aloe vera; mmea huu unapatikana maeneo mengi sana nchini na umekua ukitumiwa na jamii mbalimbali tangu zamani kutibu magonjwa mbalimbali kama vidonda, ngozi,tumbo na kadhalika na umethibitika kusaidia watu wengi waliotumia mmea huu.

jinsi ya kutumia..
kata ganda la mmea wa alo evera na chukua maji yake ya ndani kisha paka sehemu iliyoathirika na uache kwa dakika 15 kisha osha na maji lakini pia kama uko sehemu ambayo mmea huu haupatikani au hutaki usumbufu huu basi tumia losheni yenye aloevera ili upake kama mafuta. losheni nyingi zinakua na asilimia kidogo za aloevera hivyo napendekeza lotion za kampuni za FOREVER LIVING kwani losheni zao hua na aloevera kwa zaidi ya asilimia themanini, ikiongoza kama kampuni inayotoa bidhaa bora zaidi za aloe vera duniani, huku zikichanganywa na vitamin nzuri kwa ngozi kama vitamin A, vitamin E, na vitamin C, hivyo ukipata lotion hii unakua unapaka sehemu iliyoathirika kila siku mpaka uone mabadiliko au unaweza kupaka mwili mzima kama mafuta yako ya kawaida tu.

Hakikisha unatibu ngozi yako kutokea ndani: kunywa maji mengi sana ili kuusafisha mwili angalau lita tatu kwa siku hii itafanya mwili kuondoa sumu nyingi sana mwilini ambazo husababisha kua na matatizo ya ngozi kama chunusi,vipele na kadhalika lakini itaiboresha sana ngozi yako kua laini sana na kusaidia kuondoa michirizi. niliwahi kusema watu hua wanafikiri watu wanaoishi dar wana ngozi laini sana sababu ya joto lakini si kweli, ngozi zao ni laini kwasababu wanakunywa maji mengi sana.                                         


jitahidi kula vyakula vya asili; vyakula vingi vinavyotengenezwa kiwandani kama soda, biskuti,chocolate na kadhalika sio vizuri kwa afya ya ngozi ya binadamu, lakini sio kiwandani tu lakini vyakula vya haraka na kukaangwa yaani fast food kama maandazi, chapati, sambusa, chipsi, vitumbua, baga, piza na vingine vingi sio vyakula vizuri na huharibu mifumo mingi ya binadamu ikiwemo ngozi. tumia vyakula asili kama wali, ugali, samaki,maharage,njegere,mihogo,viazi, matunda, mboga za majani na vingine vingi na vitakusaidia sana.
                                                               


shiriki mazoezi; mazoezi ni matibabu ya magonjwa yote duniani kwani huupa mwili afya njema na kutibu mifumo yote ya mwili kama ngozi, moyo, upumuaji, mfumo wa chakula na kadhalika. hii itakufanya upate matokeo mazuri haraka kuliko mtu anayepaka tu bila mazoezi japokua wote mwisho  wa siku watafanikiwa. unaweza kufanya mazoezi ya kutembea, kuruka kamba, kufanya kazi nzito na kadhalika.
                                                         
                                                                      STAY ALIVE





                                          DR KALEGAMYE HINYUYE MLONDO 
                                        MAWASILIANO O653095635\0769846183


                                    
                                    


HIVI NDIO UGONJWA WA KIPINDUPINDU UNAVYOUA HARAKA SANA.

                                                                           

ugonjwa wa kipindupindu ni ugonjwa unaoua ndani ya muda mfupi sana kama mtu asipopata matibabu haraka, tafiti za shirika la umoja wa mataifa duniani zinaonyesha kwamba kuna wagonjwa milioni moja na laki nne kila mwaka wa kipindupindu na kati ya hao wagonjwa laki moja na elfu arobaini na mbili hufa kila mwaka duniani kote.
zaidi ya asilimia themanini ya wagonjwa huweza kutibiwa kwa kupewa oral rehydration therap[0RS] ya kunywa tu.

ugonjwa huu ukoje?
huu ni ugonjwa wa kuharisha unaosababishwa na bakteria anayefahamika kitaalamu kama vibrio cholerae kwasababu ya kunywa maji au kula chakula chenye bakteria huyu. baada ya kula au kunywa chakula au maji yenye bacteria hao huchukua saa mbili mpaka siku tatu tu kuanza kwa dalili za ugonjwa huu.

dalili za ugonjwa huu ni zipi?
kuna hatua kuu tatu za dalili za ugonjwa huu.
hatua ya kwanza;
mgonjwa huanza kuharisha kinyesi cha kawaida lakini baadae kinyesi hubadilika na kuanza kuharisha vitu kama mchele hivi.
mgonjwa huanza kutapika sana matapishi ya kawaida lakini baadae hua kama mchele hivi lakini baadae tumbo na miguu huanza kuuma sana kutokana na madini anayokua ampoteza mwilini.
hatua ya pili;
mgonjwa huanguka na kupoteza nguvu kabisa kwasababu ya kupoteza maji mengi sana mwilini, mwili huwa wa baridi na ngozi hukauka sana, presha hushuka sana na mapigo ya moyo kukimbia sana. hatua hii mgonjwa huweza kupoteza maisha kwa kwa shock na moyo kusimama.
hatua ya tatu;
hichi ni kipindi ambacho mtu huweza kupona baada ya kupata matibabu, kuharisha na kutapika hupungua sana na mgonjwa  hupata nguvu.

matibabu; 
matibabu ya ugonjwa huu ni rahisi sana kwani mtu huweza kupona kwa kunywa maji ya ORS peke yake na kupona kabisa lakini wagonjwa waliozidiwa sana hupewa mai kwa kupitia mishipa ya damu yaani dripu lakini pia wagonjwa hupewa dawa za kuua bakteria huyo. lakini matibabu haya hufanyika hospitali tu na sio nyumbani..

jinsi ya kuzuia ugonjwa huu.
kwa kipindi cha mlipuko wa ugonjwa huu ni vizuri kunywa maji safi na salama ya kuchemshwa na kula chakula kilichoandaliwa vizuri, ilitokea kuna mgonjwa ndani ya familia ni vizuri apelekwe hospitali mapema ili asiweze kuambukiza watu wengine.
ni hatari sana kula mahotelini kipindi cha mlipuko hasa vyakula ambavyo havipikwi kama kachumbari na matunda na kama kuna ulazima basi kaviandae nyumbani kwa usafi wa hali ya juu.
                                                              
                                           STAY ALIVE

                      DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO
                     MAWASILIANO 0653095635/0769846183







HIZI NI NJIA TANO BORA ZA KUJUA KAMA MTOTO ULIYEMZAA HANA TATIZO LA MTINDIO WA UBONGO.

                                                                    

baadhi ya watoto kwenye jamii zetu huzaliwa na mtindio wa ubongo yaani utakuta wazazi wanagundua kama mtoto hana akili nzuri au hawezi kufanya vitu fulani kama wenzake akishakua mtu mzima kabisa. mfano kushindwa kuongea, kutokwa mate mdomoni muda wote, kushindwa kutembea na kadhalika...kuna mambo mengi yanachangia kuzaliwa kwa watoto wa aina hii ikiwemo kuzaa umri mkubwa kwa wanawake,pombe na sigara kipindi cha ujauzito, magonjwa ya akili ya kurithi, matatizo yanayotokea katika ukuaji tumboni na kadhalika. leo tutaangalia njia kuu tano za kugundua kama mtoto wako ana akili nzuri na hana shida ya mtindio wa ubongo baada ya kuzaliwa.yani jinsi ya kumgundua kwa njia za kitaalamu kama ifuatavyo.

kushika kitu; hii huwepo mtoto anapozaliwa mpaka kufikisha miezi sita au saba, mtoto kipindi hiki ukimpa kitu chochote mfano kalamu lazima atakamata kwa nguvu bila kuachia lakini mtoto mwenye tatizo ukimpa kitu hataweza kushika na atabaki anakushangaa tu.
                                                              

kujaribu kutembea; dalili hii huonekana utotoni wakati wa kuzaliwa lakini lakini hua haina nguvu sana mpaka mtoto afikishe miezi sita mpaka mwaka mmoja. kipindi hiki ukimshika mtoto kama unataka kumtembeza atapiga hatua mwenyewe, hii ni dalili njema.
                                                         


kunyonya; wakati wa kuzaliwa mtoto akipewa ziwa la mama ananyonya mwenyewe bila kufundishwa kabisa, ikitokea mtoto anashindwa kunyonya siku ya kuzaliwa basi inawezekana anaumwa au ana mtindio wa ubongo na anashindwa kugundua vitu hivyo.
                                                       


parachute; hii hutokea hasa kwa watoto wenye angalau miezi sita mpaka mwaka mmoja, ukimbeba moto huyu afu ukamgeuza kichwa chini miguu juu kama unataka kumuangusha atanyoosha mikono kama anataka kuzuia ule muanguko.hii inaonyesha kwamba mtoto ni mzima.
                                                             


rooting; hii hutokea mtoto anapozaliwa mpaka miezi sita yaani kipindi hiki mtoto ukimgusa na kitu chochote kwenye shavu atageuka kufuata kitu hicho na mdomo akidhani labda ni ziwa la mama ili anyonye.dalili hii ni dalili nzuri na huonyesha kwamba mtoto ni mzima.
                                                                   



mwisho;kuna vitu vingi sana vya kuangalia kujua kama mtoto hana mtindio wa ubongo wakati wa kuzaliwa na anavyoendelea kukua lakini hivi ni baadhi tu ambavyo ni rahisi kuvijaribu hata ukiwa nyumbani. nakutakia afya njema wewe na familia yako.

                                                        STAY ALIVE

                                  DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO


                                MAWASILIANO 0653095635/0769846183
                               

ZIFAHAMU SABABU KUMI MUHIMU ZINAZO SABABISHA MIMBA KUHARIBIKA...

                                                                     
utafiti unaonyesha kati ya mimba 100 zinazobebwa ni 80 tu ndio zinafika kuzaliwa, yaani asilimia
 ishirini ya mimba zinazobebwa huharibika hata kabla ya kufika mezi watatu. kuna sababu nyingi zinazoweza sababisha mimba kutoka lakini leo nteanda kongelea zile muhimu ili kila mtu kama iko ndani ya uwezo wake aweze kuzuia pale anpopata mimba.

matatizo ya vimelea vya urithi: kawaida mbegu za mwanaume huchangia pea 23 za vimelea vya urithi yaani chromosomes na yai la kike hichangia vimelea 23 pia kwa ajili ya mtoto atakayezaliwa, lakini kwenye hali isiyo ya kawaida namba hiyo ikiongezeka au kushuka husababisha mimba kutoka ndani ya muda mfupi.

magonjwa; kuna magonjwa mengi endapo hayatatbiwa wa muda muafaka husababisha mimba kutoka muda wowote ule yaani inaweza kua mwanzoni au mwishoni.mfano. malaria, kisukari, pressure, kaswende, virusi vya ukimwi, U.T.I, toxplasmosis,rubella, na herpes simplex virus.

matatizo ya kizazi; kuna magonjwa mengi yanayoahiri kizazi moja kwa moja na huweza kuleta kutoa mimba kirahisi sana mfano wa magonjwa hayo ni uvimbe wa ndani ya kizazi,ulegevu wa mlango wa uzazi na kadhalika.

matumizi ya dawa; ukiwa mjamzito hutakiwi kutumia dawa yeyote bila kuandikiwa na daktari, kuna dawa nyingi sana zinaweza kutoa mimba mfano fragile, albendazole,misoprostol, dawa ya mseto ya malaria, doxycline, na nyingine nyingi.

utapiamlo;  mwanamke mwenye upingufu wa madini muhimu mwilini kama calcium, potassium na sodium lakini pia wanga, protini, vitamini na kadhalika. upungufu huu humfanya mwanamke ashindwe kubebeba mimba mpaka kujifungua na hata akijifungua huweza kuzaa mtoto mwenye mapungufu fulani ya kiakili.

matatizo ya homoni; mwanamke ana kiwango maalumu cha homoni za uzazi ambacho anatakiwa awe nacho ili mimba iweze kutungwa na kukua. kiwango hiki kikiwa juu sana au chini sana husababisha mimba kuharibika.

aina ya maisha ya mjamzito; matumizi ya pombe na sigara kipindi cha ujauzito ni hatari sana kwani huingilia mfumo wa homoni na uzazi na kusababisha mimba kuharibika.

umri mkubwa; kubebe mimba kwenye umri mkubwa huchangia sana mimba kuharibika kwani kipindi hiki viungo vya uzazi na mfumo wa homoni unakua umepungua nguvu sana hivyo mimba za ukubwani sana hasa zaidi ya miaka 35 hutoka kirahisi kuliko mimba za vijana wadogo.

mazingira ya kuishi; maeneo mengi karibu na viwanda au huduma za mionzi ya hopitali hua kuna mionzi hatari ambayo huweza kuingia kwa mama na kuharibu mtoto aliyeko tumboni lakini pia uwezo wa kuzaa huko mbele ya safari.

upungufu wa damu; kipindi cha ujauzito akina mama wengi hua na damu chini ya kiwango kutokana na mabadiliko ya kimaumbile, lakini upungufu huo ukizidi zaidi husababisha uchungu kuanza kabla muda na mimba kuharibika.

mwisho; kila mtu anahitaji mtoto katika kipindi fulani cha maisha yake hivyo ni vizuri kujilinda na vyanzo hivyo kabla na baada ya kupata ujauzito kwa kufuata ushauri wa kitaalamu kutoka kwa wataalamu wa afya na kukaa mbali na mazingira hatarishi ya kuharibu ujauzito. kwa maelezo zaidi bofya maneno hayo ya kijani kusoma

SECRETS OF GOOD HEALTH


                                                             STAY ALIVE

                DR. KALEGAMYE HINYUYE MLONDO 0769846183\0653095635


ZIFAHAMU NJIA KUU NNE ZA KUPATA MTOTO WA KIKE.

                                                                         

dunia inakwenda kasi sana siku hizi, kiasi kwamba imefika hatua mtu akizaliwa mwanaume sio lazima kwamba atakufa mwanaume. teknolojia imefika mbali sana kiasi kwamba watu wana maamuzi juu ya maisha yao, miili yao, watoto wao na machague mengi tofauti tofauti. moja ya maswali ambayo nimekua nikiulizwa sana ni jinsi ya kuchagua jinsia ya mtoto. nimeshawahi kuongelea jinsi ya kupata mtoto wa kiume leo ntaongelea wa kike. hivyo leo naenda kuongelea njia za kitaalamu zinazoweza kukufanya kuongeza uwezekano mkubwa wa kupata mtoto wa kike.

fanya mapenzi siku moja, mbili au tatu kabla ya siku ya yai kushuka: yai la mwanamke hua linashuka mara moja tu kwa mwezi kulingana na mzunguko wa mtu husika, mfano mzunguko wa siku 28 siku ya 14, mzunguko wa siku 30 siku ya 16, mzunguko wa siku 32 siku ya 18 na kadhalika. kufanya mapenzi siku hizi kutafanya mbegu za mtoto wa kiume ambazo siku zote hufika mapema kwenye kizazi, zikute yai la mama na kurutubisha hivyo kutoa mtoto wa kiume hivyo jinsi ya kupata mtoto wa kike hapa ni kufanya mapenzi siku mbili au tatu kabla ya hii siku hii ile mbegu za mtoto wa kiume ambazo huishi muda mfupi zife zibaki zile za mtoto wa kike.kama mzunguko wako haueleweki ni bora kuangalia kama kuna tatizo ili uweze kuusoma vizuri.unaweza kutumia virutubisho vya kufanya kazi hii kwanza.

mwanamke ajizuie usifike keleleni; uke wa mwanamke una tindikali nyingi sana ambazo huua kirahisi mbegu za jinsia ya kiume na kuacha zile za jinsia ya kike hivyo mwanamke akifika kileleni tindikali hiyo hupotea sababu ya maji mengi kumwagika na hii huweza kushindwa kuua mbegu za mtoto wa kiume.

fanya mapenzi mara kwa mara; mwanaume anayefanya mapenzi mara kwa mara anapunguza ukomavu wa mbegu zake hivyo anakua kwenye nafasi nzuri ya kutengeneza mbegu ambazo zinatoa mtoto wa kike kuliko mtoto wa kiume ambaye anahitaji kupatikana kwa mbegu zilizokomaa sana.

tumia staili za ngono zenye muingilio mdogo; staili za zanye muingilio mdogo kama mwanamke kutangulia chini na mwanaume kuja juu hua na muingilio mdogo hivyo mbegu za mwanaume humwagwa juu juu sana na kusababisha zile za kiume kushindwa kusafiri na vizuri na kufa hivyo za mtoto wa kike kuwahi na kuleta mtoto wa kike.
kwa maelezo zaidi fungua hapa usome

SECRETS OF GOOD HEALTH

                                                               STAY ALIVE
                                           DR. KAEGAMYE HINYUYE MLONDO

                                                      0653095635/0769846183




FAHAMU CHANZO NA MATIBABU YA KUISHIWA NYWELE KICHWANI AU KIPARA[ALOPECIA]

                                                              

kuna vijana wengi ambao hawana hata miaka 40 lakini tayari wana vipara kwenye vichwa vyao na nywele hazioti tena. ni hali ambayo inakosesha raha kidogo na wengi wao huamua kunyoa nywele zote ili kipara ionekane ndio staili yake. wengine huvaa kufia, kuvaa wigi au kuficha na kifaa chochote cha urembo. tatizo hili husababishwa na vyanzo vikuu viinne.
mabadiliko ya homoni ndani ya mwili; binadamu ana homoni nyingi sana ndani ya mwili wake...kuna kiwango maalumu cha homoni ambacho kila binadamu anatakiwa awe nacho.kiwango cha homoni fulani kikizidi au kikipungua huleta shida katika mwili wa binadamu.
magonjwa fulani; kuna baadhi ya magonjwa ya ngozi kama fangasi, mabayo yakishambulia eneo la kichwa huweza kuleta kipara mara moja.
matumizi ya aina fulani ya dawa; dawa hasa zile zinazotumika kutibu kansa, yaani vidonge na mionzi hua na madhara ya kumaliza nywele za mwili mzima.
vipara vya urithi; kuna baadhi ya koo ambazo hupata vipara mapema sana katika ukuaji, hivyo ukiona ndugu zako wengi wana vipara katika umri mdogo basi achana nacho kwani hautafanikiwa kupona ila kama ni wewe peke yako ukoo mzima basi pambana mpaka upone.

vipimo vya kufanya ukienda hospitali;
vipimo vya damu; dokta atakupima damu kuangalia magonjwa ambayo yanaweza kusababisha nywele kuisha hasa upungufu wa homoni na magonjwa ya ngozi.
vipimo vingine; kuna vipimo vingine huweza kupimwa kuangalia kama nywele zenyewe ziko vizuri kiafya kwa kutumia darubini ya hospitali lakini bahati mbaya vingi havifanyiki hapa nchini kwetu.

matibabu;
siku zote matibabu hutegemea chanzo cha ugonjwa husika.. kama ni fangasi mgonjwa atapewa dawa husika, kama ni ugonjwa wa ngozi atapata dawa husika, kama ni sababu ya mionzi au dawa za kansa itabidi avumilie tu kwani hawezi kuacha matibabu ya kansa.

dawa za kutumia; kuna dawa kuu mbili ambazo hutumika kutibu tatizo hili yaani finasteride na minoxidil, bahati mbaya dawa hizi nchini kwetu hazipo kabisa.

upasuaji; kuna aina za upasuaji hufanyika kupandikiza nywele, ni ghrama sana na hazipatikani kwenye nchi maskini kama zetu.mcheza mpira maarufu duniani kwa jina la wayne rooney alifanyiwa upasuaji huu.

tiba mbadala;
kama chanzo hakionekani inaweza kua ni tatizo la homoni na lishe mbovu, mtu huyu hutibiwa kwa kupewa virutubisho vya kunywa na kupaka kwenye nywele ili kushtua homoni za ukuaji na kushtua mizizi ya nywele kitaalamu kama hair follicles.
virutubisho hivyo huweza kuleta maibu ndani ya miezi mitano mpaka mwaka mmoja kama picha inavyonyesha hapo chini.
                                                         


jinsi ya kuzuia hali hii;
  • kula chakula bora chenye virutubisho vyote.
  • usisuke nywele kwa kuzibana sana na misuko
  • chana nywele taratibu na usitumie nguvu sana.
kwa maelezo zaidi fungua hapa usome

SECRETS OF GOOD HEALTH


                                                                STAY ALIVE

                                         DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO

                                                    0653095635/0769846183



ZIFAHAMU FAIDA KUMI ZA MMEA WA ALOE VERA KWA BINADAMU...

     
                                                                    
mmea wa aloe vera ni mmoja ya mimea ambayo imejizoelea umaarufu miaka hii ya karibuni  baada ya kuonyesha kutibu na kuzuia aina mbalimbali za magonjwa, lakini pia kurefusha maisha na kupunguza makali ya magonjwa yasiyopona kama kisukari, presha, magonjwa ya moyo, pumu, kifafa, ukimwi na mengine mengi, lakini mmea huu ulikua ukitumika tangu miaka ya zamani sana na watu waliishi miaka mingi wakiwa na nguvu na akili kupitia mmea huu. kwa faida za mmea huu ni bora kumiliki hata bidhaa moja tu ambayo utakua unaitumia siku zote za maisha yako ili kupunguza uwezekano wa kupatwa na magonjwa hatarishi..kwa sasa kampuni ya forever living product ndio inaongoza kwa mauzo hayo duniani, ikiwa imetapakaa zaidi ya nchi 150.hapa tanzania ikiwa  imeuaza zaidi ya bilioni ishirini kwa mwaka jana tu  na kulipa kodi serikali zaidi ya bilioni tano za kitanzania, hii inaonyesha watanzania wameamka na wanatumia sana bidhaa hizi. lakini pia ni bidhaa ambazo kama daktari naweza kuzitetea kwani wagonjwa wangu wengi wamefaidika kwa matumizi yake. zifuatazo ni sababu 10 kwanini utumie bidhaa zitokazo na mmea huu..

umekubalika na wanasayansi  duniani; zaidi ya tafiti mia moja za kitaalamu zilizofanyika zimegundua kwamba mmea huu wa aloe vera ni moja chakula bora vya asili kwa mwili wa binadamu na hufanya mtu kuishi kwa afya tele akitumia kama moja ya vyakula vyake.kumbuka hizi sio dawa kama watu wanavyofikiri kwani hazina sumu na hata ukinywa zaidi hudhuriki na ni vema kutumia kama sehemu ya chakula cha maisha yako kwa matokeo mazuri na sio kama vidonge vya malaria.

ni kinga ya mwili: bidhaa za mmea huu hutoa kinga asilia kwa mwili wa binadamu, tafiti zinaonyesha kwamba wagonjwa wengi waathirika wa virusi vya ukimwi walifaidika sana baada ya kutumia bidhaa hizi na kuongeza kiasi cha CD4 count,  kwa wale ambao walikua na hali mbaya sana na kuwafanya waendelee kuishi maisha kama kawaida.

hupambana na dalili za uzee; muanzilishi wa moja ya kampuni zinazofanya  kazi ya kuuza bidhaa hizi kwa kiasi kukubwa ulimwenguni ana umri wa miaka 80. binafsi nilipomuona nilifikiri labda ana miaka 50 au 60. amekua akitumia bidhaa hizi maisha yake yote nadhani yeye tu ni moja ya ushahidi kwamba bidhaa za aloe vera zinafanya uwe kijana kwa muda mrefu.

ni kinga na tiba kwa magonjwa ya meno;magonjwa ya kuoza na meno kutoka ni moja ya magonjwa yanayosumbua watu wengi duniani, lakini dawa za meno za mmea huu zimethibitisha kupambana na tatizo hili kwa asilimia kubwa sana.mdogo wangu anayenifuata alianza kutumia dawa za meno za kampuni hii baada ya kuhangaika sana kwa madaktari wa meno na ndio ilikua mwisho wa yeye kung'oa meno mpaka leo.

zinasaidia sana kupunguza uzito; virutubisho vingi vya aloe vera husaidia kuondoa sumu nyingi mwilini na  kuongeza kasi ya mwili kuchoma mafuta. hii humfanya mtumiaji ambaye anataka kupungua uzito kupungua kirahisi sana huku akifanya mazoezi rahisi kama ya kutembea tu.

hupa mwili nguvu, madini na vitamini; bidhaa za mmea huu zina madini na vitamini karibia zote muhimu kwa mwili wa binadamu, ambazo mtu akizikosa huweza kuugua magonjwa ya aina mbalimbali.mfano calcium, magnesium, sodium, iron, pottasium, chromium, magnesium, manganese, copper, zinc and vitamins A,B1,B2,B12,C,E folic acid na niacin.

husaidia mifumo yote ya mwili; mmea huu wa aloe vera husaidia mfumo wa damu, mfumo wa upumuaji, mfumo wa chakula, mfumo wa mkojo na kadhalika na kwa namna hii huufanya mwili kufanya kazi muda mrefu bila kuchoka lakini pia virutubisho vya kuongeza nguvu za kiume na kutibu tatizo la ugumba vya kampuni hii vimeleta mabadiliko makubwa kwenye sekta ya afya.

husaidia uponyaji; vitamin c nyingi iliyopo kwenye mmea huu husaidia kupona kwa vidonda, kuungua, michubuko, allergy na hali zingine nyingin ambazo hupata mwili wa binadamu.lakini pia matibabu ya shida za ngozi kama chunusi, harara, upele na kadhalika..

ubora wa hali ya juu; watengenezaji wa bidhaa hizi kupitia kampunia ya forever living wametengeneza bidhaa za mmea huu  kwa ubora wa hali ya juu na kufanya uaminike dunia nzima na nchi zote.

fursa za kibiashara; kampuni hii inayoongoza kwa mauzo, inatumia mfumo wa mtandao ambapo watumiaji huweza kuanza kuwauzia watumiaji wengine na kupata faida kuu mbili yaani faida ya kuuza virutubisho hivyo na faida ya kuingiza watu wapya kwenye biashara.. ambapo, walioingizwa kwenye biashara humfaidisha kwa asilimia kadhaa mtu aliyewaingiza na kwa maana hiyo miaka yote yule mtu wa juu atapata faida, hivyo watu wengi zaidi chini yako uliowaingiza ni faida zaidi kwako. hapa tanzania kuna watu ni matajiri sana na hawahitaji kufanya kazi tena sababu ya biashara hii.hii ni moja ya biashara za kisasa sana ambazo matajiri wakubwa sana duniani kama bill gait, wanashauri watu wazifanye kwani ni chanzo cha uhuru wa kifedha yaani ni biashara pekee ambayo ipo siku utaacha kufanya lakini unapata fedha na imewafaidisha watu wengi sana duniani ambao walikua masikini sana.
angalizo;kama umeamua kutumia bidhaa hizi kama mteja ni tumia bila wasiwasi wowote ila kama umeamua kuzitumiana  kama mtumiaji na  mjasiriamali, usisikilize watu walioshindwa  watakukatisha tamaa kabisa, ongea na waliofanikiwa. ni moja ya biashara rahisi na huanzwa na mtaji mdogo...zaidi ntakuashauri usome kitabu cha BUSINESS OF 21st CENTURY kilichoa ndikwa na tajiri wa kimarekani kwa jina la robert kiyosaki.kwa maelezo zaidi bonyeza maneno ya kijani hapo chini kusoma.
                                 tembelea blog yetu ya kingereza hapa www.vibesinc.ga
                                                                       
                                                     STAY ALIVE

                 DR. KALEGAMYE HINYUYE MLONDO 0653095635\0769846183
                                                              
karibu kwenye group la watsapp ambalo utakua unapata elimu mbalimbali za afya kama jna kuuliza swali lolote kwa kuchangia shilingi 5000 tu kwa mwezi za kitanzania..gharama hii hulipwa kwa mwaka yaani miezi 12]














UFAHAMU UGONJWA WA SIKOSELI NA MATIBABU YAKE.[SICKLE CELL ANAEMIA]

                                                                    

sickle cell ni nini?
huu ni ugonjwa wa kurithi wa kupungukiwa damu, ambapo mgonjwa hua hana damu ya kutosha kwa sababu ya seli zake za mwili sio imara kubeba hewa ya oksijeni kupeleka sehemu mbalimbali za mwili.
kwa hali ya kawaida seli za binadamu hua na umbo la kama yai na linalovutika kiasi kwamba huweza kupita kirahisi kwenye mishipa ya damu na seli hizo huishi siku 120 yaani miezi mitatu kisha hufa kupisha zingine lakini seli za mgonjwa wa sikoseli ni ngumu yaani zipo kama shepu ya  mwezi, huishi siku ishirini tu, na huweza kukwama kwenye mishipa ya damu na kuzuia damu kupita na hichi ndio chanzo kikuu cha matatizo.wagonjwa hawa husumbuliwa na mashambulio ya maumivu mara kwa mara sababu ya kukwama kwa seli hizo na kuzuia oksijeni kwenda sehemu za viungo vya mwili.

chanzo cha ugonjwa huu ni nini?
ugonjwa huu husababishwa na kubadilika kwa mfumo wa mwili wa kutengeneza vimelea vya kutengeneza damu yaani haemoglobin. haemoglobin hii husababisha seli zinazotengenezwa kua na shepu ambayo sio ya kawaida.
ugonjwa huu hurithiwa kutoka kwa wazazi wote yaani baba na mama kitaalamu tunaita carriers.. mama na baba wanaweza kua hawana dalili yeyote  lakini wamebebea vimelea vya ugonjwa huo kwenye damu zao na kumzaa mtoto mgonjwa.
mgonjwa wa sickle cell akioa au akiolewa na mtu ambaye sio mgonjwa hawezi kuzaa wagonjwa ila atazaa watoto waliobeba vimelea hivyo. watoto wenye vimelea hivyo[carriers] wakioana wanaweza kuzaa mtoto mgonjwa.
mume na mke wagonjwa wakioana watazaa wagonjwa watupu hivyo ni vizuri kuliangalia hili kabla ya kuamua kuzaa.

dalili za ugonjwa huu ni zipi?
mgonjwa wa sikoseli haonyeshi dalili yeyote mpaka afikishe miezi minne ya umri tangu kuzaliwa na huanza na dalili zifuatazo.
kuishiwa damu; kama nilivyosema mwanzoni seli za sikoseli huishi sio zaidi ya siku ishirini hivyo vifo hivi vya seli  husababisha sehemu kubwa ya mwili kukosa hewa ya kutosha ya oksijeni na kusababishwa mwili kua na uchovu sana.
 maumivu makali ya mwili; kukwama kwa seli hizi ambazo shepu zake zimekaa vibaya huzuia damu nyingi kupita kwenda sehemu mbalimbali za mwili. sehemu hizo zikikosa hewa ya oksijeni na kusababisha maumivu makali sana. maumivu hayo hua ya jointi, kifua na tumbo mara nyingi.
kuvimba vidole; hali hii pia husababisha na kukwama kwa seli hizo za mgonjwa na kusababisha ukosefu wa oksijeni ya kutosha  kwenye vidole vya mikonoo hivyo vidole huvimba na kuuma sana.
kuchelewa kukua kwa watoto; ukosefu wa hewa ya kutosha kwenye mfumo wa damu huukosesha mwili vitamini na madini ya kutosha na hali hii husababisha kuchelewa kukua na kuchelewa kubalehe au kuvunja ungo.
kutoona vizuri: mishipa midogo ya damu ya kwenye macho huweza kuziba na kufanya uwezo wa kuona kua mdogo sana.

vipimo vinavyofanyika  kugundua ugonjwa huu.
kipimo cha damu; kipimo kidogo cha damu huchukuliwa na kupimwa na majibu hutolewa baada ya masaa 24. vipimo hivi ni rahisi na hupatikana karibia kwenye maabara zote nchini.
vipimo kipindi cha ujauzito; nchi zilizoendelea mtoto aliyeko tumboni huweza kugundulika kama ni mgonjwa au sio mgonjwa na mama kuamua kama anataka kuendelea na ujauzito au vipi.

matibabu ya sikoseli;
kubadilisha kwa vitoa damu ndani ya mifupa[bone marrow transplant] huweza kutibu ugonjwa huu kabisa lakini upasuaji huu ni mgumu sana, sio rahisi kumpata mtu atakayekutolea ambaye atafanana na wewe kwenye vipimo vitakavyotakiwa, lakini pia kuna hatari kubwa ya kupata madhara makubwa hadi kifo na upasuaji huu hufanyika nchi zilizoendelea kwa gharama kubwa sana.
hivyo  matibabu ya siko seli mara nyingi hulenga kupunguza makali ya ugonjwa mara nyingi ili kumfanya mgonjwa aishi maisha ya kawaida..dawa ambazo hutolewa ni kama zifuatazo.
folic acid; hivi ni virutubisho ambavyo hutolewa kuongeza damu kwa mgonjwa huu na dose hua ni kidonge kimoja yaani 5mg kila siku kwa maisha yake yote. hii kidogo ni virutubisho vya zamani kidogo na hutolewa sana kwani serikali hujaribu kubana matumizi.
 
 B12 PLUS and FOLIC ACID; hivi virutubisho vingine ambavyo ni bora kuliko folic acid peke yake kwani huachanganywa ni vitamini zingine ambazo pia ni maalumu kwa ajili  kuongeza damu. hii hapa ina folic acid na vitamin b12, imechanganywa pia na virutubisho vya aloe vela na watumiaji wa hii mara nyingi hua na damu nyingi na hua mashambulio machache ya ugonjwa huu[crisis] kwa mwaka.ni moja ya virutubisho vya kisasa sana.nb unatakiwa uchague moja kati ya hizi, huwezi kutumia zote.

dawa ya korokwini; dawa hii humezwa kila wiki na mgonjwa wa sikoseli kuzuia ugonjwa wa malaria. dozi hutegemea na uzito wa mgonjwa.
                                                                 
matibabu mengine; mgonjwa huyu huonyesha dalili hizo akipata ugonjwa mwingine kama malaria, UTI, na mengine mengi hivyo mgonjwa hutibiwa kama watu wengine akiwa na shida hizo japokua hushambuliwa mara kwa mara kuliko watu wengine. mara nyini mgonjwa huongezewa maji haraka akifikishwa hospitali ili kufanya seli hizi zipite kirahisi.

jinsi ya kuzuia mashambulio ya mara kwa mara kwa mgonjwa;
kunywa maji mengi: angalau glass nane kwa watu wazima kwani ukosefu wa maji mwilini huchangia kupata mashambulio ya maumivu mara kwa mara kwa wagonjwa.
epuka joto kali au baridi kali; hali hizo mbili huweza kubadilisha PH[ kiwango cha tindikali na nyongo} kupanda sana au kushuka sana na kusababisha shambulio la maumivu.
fanya mazoezi mara kwa mara: mazoezi huongeza mzunguko mzuri wa damu mwilini hivyo kufanya kinga ya mwili iwe vizuri.
usitumie dawa bila kuandikiwa na daktari; baadhi ya dawa zinazotumika kwenye maduka ya madawa kama ephedrine za mafua huweza kusababisha mishipa ya damu kubana sana[vasoconstriction] na kusababishwa kukwama kwa seli za mgonjwa ndani ya mishipa ya damu.
epuka kupanda ndege inayoruka angani sana;  kadri unavyozidi kupanda juu ndivyo hewa ya oksijeni inazidi kua kidogo hivyo unaweza kupata shambulio kwenye ndege.

madhara ya ugonjwa huu kama usipofuatilia matibabu vizuri;
upofu; mishipa ya damu inayosambaza damu kwenye macho huweza kuzibwa na seli hizo na kuharibu baadhi ya sehemu za macho na kuleta upofu kabisa.
kuharibika kwa viungo vya mwili: ukosaji wa damu kwenye viungo kama bandama, figo na maini huweza kusababisha kushindwa kazi ka viungo hivyo na kupelekea kifo.
kiharusi; kuziba kwa seli ndani ya mishipa ya damu ya kichwa huzababisha kupooza kwa upande mzima wa mwili kitaalamu kama kiharusi.
pressure ya ndani ya mapafu: hii hutokea mara nyingi kwa wagonjwa watu wazima huonyesha kwa dalili ya kushindwa kupumua, na kuishiwa nguvu. mara nyingi huua haraka.[pulmonary hypertension]
vidonda; baadhi ya sehemu za mwili kukosa damu huchangia kutokea kwa vidonda kitaalamu kama ulcer.
mwisho;hakuna mganga wa kienyeji anaweza kukutibu huu ugonjwa ukapona kabisa, usipoteze pesa zako huko kabisa...kama kuna mtu anadai anayo dawa basi ajitangaze apewe tuzo ya dunia.fuatilia masharti ya madaktari na utaishi maisha ya kawaida kama wengine.
                                 tembelea blog yetu ya kingereza hapa www.vibesinc.ga

                                                           STAY ALIVE

                   DR KALEGAMYE HINYUYE MLONDO 0653095635/0769846183

karibu kwenye group la watsapp ambalo utakua unapata elimu mbalimbali za afya kama jna kuuliza swali lolote kwa kuchangia shilingi 5000 tu kwa mwezi za kitanzania..gharama hii hulipwa kwa mwaka yaani miezi 12]











                            

HIVI NDIO VIPIMO 7 VYA KUPIMA HARAKA UNAPOGUNDUA WEWE NI MJAMZITO..

                                                                    
                                                                         
watu wengi hua wakipata ujauzito hukaa na mimba zao nyumbani huku wakidi wanasubirii zikue kidogo halafu waende kliniki kitu ambacho sio sahihi hata kidogo. kikawaida ukigundua tu una mimba hata kama ina wiki moja au mbili nenda kliniki ambapo utapimwa vipimo kadhaa muhimu ambavyo ni muhimu sana kwa ujauzito wako na lakini pia kuna baadhi ya magonjwa yasipogundulika basi yatasababisha mimba kutoka, mtoto kuzaliwa kabla ya muda, kuzaliwa mfu au kuzaliwa akiwa akiwa hana akili nzuri. hata kama ukiambiwa vipimo hivi havipo basi jitahidi ukavitafute hata hospitali binafsi kwa usalama wako.vipimo hivyo ni kama vifuatavyo.

wingi wa damu; hichi ni moja ya vipimo muhimu sana kwa wajawazito kwani upungufu wa damu kipindi hiki ni moja ya vyanzo vikuu vya kifo cha mama na mtoto.jipindi hiki mama damu yake haitakiwi ipungue chini ya 10g/dl na hutakiwa kutumia virutubisho vya kuongeza damu kama madini ya chuma, folic acid au mchanganyiko wa vyote kwa jina la haemovit.

virusi vya ukimwi; kuna watu wengi ambao ni waathirika wa virusi vya ukimwi lakini hawajui, kipindi hichi ni muhimu sana kujua afya wako kwani mimba inapunguza sana kinga ya mwili na kutafuna virutubisho kwenye mwili wa mama ili mtoto akue. hivyo ikifahamika wewe ni muathirika utapata faida kuu mbili; kwanza kupewa dawa za kuzuia maambukizi ya mtoto aliyeko tumboni na wewe pia kuishi vizuri pili uweze kuwalinda uwapendao.

kipimo cha malaria: unaweza kua unadharau huu ugonjwa lakini ni moja ya vyanzo vikuu vya kutoka mimba, ndio maana mama hupewa vidonge vya sp katika kipindi fulani cha ujauzito ili kujizuia na malaria. lakini pia malaria inawez a kuua mama na mtoto hivyo kutumia neti kipindi hki ni muhimu sana.

vipimo vya magonjwa ya zinaa; ugonjwa wa kaswende ni mmoja wa magonjwa hatari sana, dalili zake zinaweza zisiwe rahisi kujua lakini hutoa mimba sana. hivyo ni vizuri kupima kaswende na magonjwa mengine ya zinaa kama gonorea na herpes simplex virus ambayo huweza kuleta upofu kabisa kwa mtoto.

kipimo cha choo ndogo na kubwa; choo ndogo hupimwa ili kuangalia kama hakuna ugonjwa wowote wa njia ya mkojo kwani ugonjwa wa uti huweza kuleta uchungu na kutoa mimba lakini pia huwasumbua sana akina mama kipindi cha ujauzito. choo kubwa mara nyingi hupimwa kuangalia minyoo.baadhi ya minyoo hutumia damu kama chakula na inaweza kusababisha upungufu mkubwa wa damu mwilini.mfano hook worms..

mwisho; kuna maelekezo mengi na mahudhurio kadhaa mabayo mama hutakiwa ayafanye mpaka kipindi cha kujifungua, hivyo ni vema kwenda kliniki kama ulivyoelekezwa na kupokea chanjo zote muhimu na virutubisho muhimu ili kumpata mtoto mzima na mwenye afya.kwa maelezo zaidi soma hapa

SECRETS OF GOOD HEALTH


                                                        STAY ALIVE

                           DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO 0653095635/0769846183


KAMA UNASUMBULIWA AU UNA NDUGU YAKO ANASUMBULIWA SANA NA MAUMIVU MAKALI YA JOINTI NA MIFUPA SOMA HAPA.

                                                                   
 ugonjwa wa maungio au jointi za binadamu sasa hivi unasumbua watu wengi sana hasa wazee japokua hata baadhi ya vijana siku hizi wanasumbuliwa pia. kitaalamu husababishwa na aina kuu tatu za vyanzo kama ifuatavyo.

HAYA NDIO MADHARA KUMI NA TANO YA DAWA ZA MENO USIYOYAJUA.

                                                           
katika dunia hii ya viwanda na biashara kuna mambo mengi tunayatumia kwenye miili yetu kama mafuta ya kujipaka, mafuta ya kula,perfum, bodspray, vyakula  na kadhalika ambavyo vinatuathiri sana kiafya na kusababisha vifo vingi duniani. hivi majuzi marekani wametengeneza mahindi ya kupunguza uwezo wa kuzaa na wana mpango wa kuyaleta africa kama msaada wakati tatizo la kutozaa limeshakua kubwa huku africa. leo ntaongelea dawa za meno tunazotumia kila siku ili niionyeshe dunia madhara yake kwani pamoja na madhara makubwa ya kiafya yatokanayo na dawa hizo za meno hakuna anayeweza kupaza sauti kwani ataua bishara za watu. dawa zote za meno zimechanganywa na kitu kinaitwa floride isipokua dawa moja tu ya forever toothpaste ndio imewekewa vitu asili tu bila kemikali hizi.
   flouride ina madhara yafuatayo;
  • husababisha cancer za aina mbalimbali.
  • huharibu ubongo kwa mtoto ambaye yuko tumboni.
  • hupunguza homoni za uzazi
  • huleta matatizo ya jointi za mifupa.
  • hupunguza uelewa wa watoto darasani.
  • husababisha kusahau sana.
  • hupunguza kinga ya mwili
  • inapunguza uwezo wa kuzaa kwa mwanaume na mwanamke.
  • hupunguza urefu wa maisha.
  • husababisha figo kushindwa kazi
  • inaua seli za ubongo.
  • inapunguza uzalishaji wa damu.
  • inaharibu kuta za tumbo la chakula.
  • huweza kusababisha ugonjwa wa akili.
  • inaharibu fidhi za meno.
ushauri; dawa zote za meno zinaonya kwamba mtoto akiimeza kwa bahati mbaya au mtu mzima akimeza nyingi kwa bahati mbaya akimbizwe hospitali haraka. sisi wote tunafahamu kwamba watoto wote humeza dawa za meno wakiwa wanapiga mswaki lakini pia hata watu wazima huwezi kutema dawa yote, lazima kuna kidogo sana itabaki mdomoni ambayo utaimeza tu. ni dawa ya forever toothgel pekee ambayo unaruhusiwa kuimeza bila shida yeyote kwani ikimezwa ina uwezo wa kutibu shida zingine za ndani ya tumbo. hivyo tuache kukwepa kununua dawa bora ya elfu kumi na tano au ishirini huku tukiandaa mamilioni ya pesa ya kwenda kutibiwa hospitali baada ya kupata madhara hayo hapo juu. kwa maelezo zaidi soma hapa

SECRETS OF GOOD HEALTH


                                                   STAY ALIVE

          DR KALEGAMYE HINYUYE MLONDO 0653095635/0769846183

HIVI NDIVYO UNAVYOWEZA KUPUNGUA MPAKA KILO TISA KWA SIKU TISA TU KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO HIVI.

                                                                   
                                                   
hongera kwa kuingia kusoma makala hii kwani kwa mara ya kwanza kwenye maisha yako unaenda kusoma vitu ambavyo vinaenda kubadilisha maisha yako kabisa... yaani kama una kitambi au ni mnene anza kukiaga.
kwakweli uzito umezidi kua mzigo kwa watu wengi sana kwa sasa,  na wengi wao wameshakata tamaa kabisa baada ya kujaribu kila mbinu na kushindwa. wengine wanapungua na baada ya muda wanarudi katika hali yako yao ya zamani. kampuni ya forever living product ambayo hata madaktari wengi duniani wametokea kuiamini na kufanya nayo kazi sasa imezindua virutubisho kutoka kwenye mimea mbalimbali ya asili vinavyoweza kukupunguza uzito wa kilo tisa ndani ya siku tisa tu.

unaweza ukawa huamini lakini nimewashuhudia waliopungua na sasa wanaishi maisha safi kabisa wakiwa na uzito kidogo wa wao wa zamani bila hofu ya kunenepa tena. sasa wanaweza kwenda beach, kucheza mpira na kufurahia maisha kama watu wengine.

mchanganyiko;
mzigo wa clean 9 unakua na vitu vifuatavyo; juice ya aloe vera chupa tatu, forver lite au vanila chupa moja, vidonge vya forever garcinia plus 70, vidonge vya forever bee 100, t shirt moja na tepu ya kujipima.

jinsi inavyofanya kazi
virutubisho hivi huanza kwa kusafisha mfumo wa chakula na kuondoa sumu zote ambazo hubaki baada ya kula vyakula hasa vya mafuta mengi, sukari na kukaangwa sana kama chips, maandazi,chapati, sambusa na kadhalika kisha hupunguza hamu ya kula na kumfanya mtu ale kidogo na kuridhika  na pia huongeza kasi ya kuchoma mafuta mwilini  na huu ndio mwanzo wa maisha mapya ya bila kitambi na unene.

jinsi ya kutumia;
siku ya kwanza na ya pili.
hizi ni siku ambazo mwili utakua unasafishwa na kuondoa sumu au kemikali zozote zilizoganda ndani ya mwili wako na ukimaliza siku hizi mbili ukaenda kupima uzito utakua umeshapungua. kitu muhimu cha kuzingatia ni kwamba ndani ya siku hizi mbili utakua hautumii chakula chochote zaidi ya hizi bidhaa hivyo usijisahau ukaharibu mpango mzima.

  • asubuhi utakunywa vidonge viwili vya lishe vinaitwa garcinia[ ni kwenye kopo la maandishi ya blue imeandikwa garcinia kama umeshanunua product kwa msambazaji]
  • baada ya dakika ishirini utakunywa robo glass ya juice ya aloevera kwenye chupa la njano na hkikisha umeitikisa kwanza. kisha kunywa maji nusu lita na yasiwe ya baridi sana na ukiweza kunywa ya uvuguvugu.
  • baada ya hapo fanya mazoezi kwa dakika ishirini yaani inaweza kufanya usafi, kukimbia, kuruka kamba ni nzuri za na rahisi zaidi kwa mazingira yeyote. lakini hakikisha zoezi lolote utakalofanya likutoe jasho.
saa nne asubuhi
meza vidonge viwili vya bee pollen na maji robo tatu ya glass.

       mchana
  • vidonge viwili vya garcinia, dakika 20 baadae aloe vera robo glass na maji robo tatu ya glass kisha fungua kopo kubwa la kijivu kwa jina la forever lite ultra ndani yake kuna kijiko cha plastic. sasa changanya unga huo na glass ya maziwa yasiyo na mafuta au tumia maziwa ya soya kisha changanya unywe.kisha meza tena vidonge viwili vya bee polen.
wakati wa usiku
vidonge viwili vya garcinia plus na dakika 20 baadae unywe aloe vera robo glass na vidonge viwili vya bee pollen kisha wakati wa kwenda kulala kunywa aloe vera robo glass na maji robo tatu ya glass.

kumbuka; dosi hyo hapo juu ni ya siku ya kwanza na ya pili na siku hizo hutakiwi kula chochote zaidi ya
hivyo ninavyokuelekeza hapo juu.




siku ya tatu na ya hadi tisa;
hapa tayari mwili ushaanza kupokea mabadiliko na ukipima uzito utakuta umeshaanza kupungua, hapa unaweza kuaanza kula kidogo sio kama siku ya kwanza kama ntakavyoelekeza.

  • asubuhi ukiamka utakunywa vidonge viwili vya garcinia kisha dakika ishirini baadae utakunywa robo glass ya juisi ya alovera. hakikisha umeitikisa kwanza kisha maji robo tatu ya glass. kisha chukua vanila ultra changanya na glass moja ya maziwa ambayo hayana mafuta au maziwa ya soya na ukikosa kabisa tumia majia ya moto ila maziwa ni muhimu sana.
  • kama kawaida fanya mazoezi  kwa dakika ishirini kama nilivyoelekeza hapoa mwanzo mpaka utokwe jasho.
saa nne asubuhi
vidonge vinne vya bee poleni na maji robo tatu ya glass.

wakati wa mchana;
  • tumia vidonge viwili vya garcinia na baada ya dakika ishirini fungua kopo hilo la kijivu  lililoandikwa forever lite ultra ndani yake kuna kijiko cha plastic, chota unga uliopo humo kisha changanya na maziwa  yasiokua na mafuta au maziwa ya soya kisha koroga glass moja unywe.
  • kisha vidonge viwili vya bee pollen na maji robo tatu ya glass, hapa unaweza kula matunda kama tikiti maji, machungwa, apple na machenza lakini usile parachichi, ndizi au maembe.
wakati wa usiku;
akunywa aloe vera gel robo glass na maji robo tatu glass, garcinia vidonge viwili na dakika ishirini baadae ule chakula kidogo sana kama kipande cha samaki na wali au ugali kidogo sana kisha meza vidonge viwili vya bee pollen na wakati wa kwenda kulala tumia maji robo tatu ya glass tu.


mwisho; baada ya siku tisa kama umefuata maelekezo yote utakua umepungua kilo tisa, programu hii sio rahisi sana, usije ukaagiza virutubisho hivi kisha ukaanza kutumia huku ukijificha na kula vitu ambavyo hujaelekezwa kwani utakua unajidanganya mwenyewe, baada ya program hii maisha yako tunategemea yabadilike na utaanza kula kiafya yaani kutokula vyakula vingi sana ambavyo ni hatari kwa mwili wako. ni vizuri sana kutunza afya yako katika dunia hii ya sasa yenye vyakula vingi vilivyokaangwa na kemikali nyingi na kujifunza kula matunda, mbogamboga na protini kama samaki na dagaa huku ukila sukari na wanga kama ugali, viazi, mihogo, bidhaa zote za ngano kwa kiasi kidogo sana kwani ni moja ya vyanzo vikuu vya unene uliopitiliza. baada ya kupungua uzito huu wa kilo tisa kwa watu wengi wanakua wako vizuri ila kama wewe ni mnene sana na unataka uendelee kupungua kuna program inaweza kuendelea hapo kwanzia siku ya kumi mpaka thelathini inaitwa lifestyle 30 na utapungua zaidi. lakini pia bidhaa hizi zinaweza kua ni gharama kulingana na hali ya watanzania wengi lakini tunatakiwa kufahamu afya kwanza kisha mali zinafuata, kama unalimbikiza ujenge nyumba na na kununua gari ukiwa bado na kitambi na unene basi ugonjwa wa moyo utakuua kabla hujatimiza ndoto zako hivyo nakushauri uweke afya kwanza.lakini pia kama wewe ni mjasiriamali unaweza kutumia fursa hii kujiunga na kampuni ununue kwa bei ya chini na zingine uwauzie wapendwa wako na kisha utaendelea kupata bidhaa zaidi za kampuni hii nzuri na za ubora wa hali ya juu zilizothibitishwa na viwango vya ubora dunia nzima ikiwemo halal ya kiislam ambayo ni moja ya bodi ngumu sana kupata baraka zao duniani.

onyo; program hii ni marufuku kwa wagonjwa wa kisukari au itumike chini ya uangalizi mkubwa wa madaktari kitu ambacho hapa tanzania ni kigumu kwani wao wanatakiwa wapunguze uzito taratibu na wakitumia program hii kuna hatari ya kupata hali inaitwa ketoacidosis ambayo inaua haraka sana.
kwa maelezo zaidi soma hapa

SECRETS OF GOOD HEALTH

                                                                 STAY ALIVE

            DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO. MAWASILIANO 0653095635/0769846183







HAYO NDIO MAMBO KUMI YA SIRI AMBAYO HAYASEMWI KUHUSU JUISI ZA ALOE VERA.

                                                                           
                                               
Aloe vera sio mmea mpya masikioni mwa watu kwani umetumika kwa miaka mingi sasa kutibu magonjwa mbalimbali na kuzuia vifo vingi ambavyo vingesababishwa na magonjwa mbalimbali. huku kwetu afrika watu wanafikiri bidhaa zinazotokana na mmea huu adimu ni dawa tu kwa binadamu. lakini ni kosa kusema hivyo kwani dawa ni kitu ambacho ukitumia kinakutibu na kuacha baadhi ya sumu zake...lakini bidhaa za mmea huu ni virutubisho ambavyo vinakutibu na kukuzuia na magonjwa mbalimbali. kiufupi wenzetu huko nje wanatumia bidhaa hii kama sehemu ya chakula lakini sisi tunatumia tukiugua tu, huenda ni sababu ya ugumu wa maisha yetu lakini kama unaweza bidhaa hizi zisiishe ndani kwako.
leo naomba nikupe siri kumi kumi usizozijua za  juice hii inayotokana na mmea wa alo evera ikiwa imetengenezwa bila kuwekewa kemikali hata moja.

kuondoa sumu mwilini: kama umeshawahi kuona mmea wa aloe vera yale maji yake ya ndani  ni mazito kama mlenda hivi, kwa hiyo ukinywa juice yake haitoki haraka tumboni kama maji ya kawaida hivyo kutoka kwake taratibu kunaifanya inyonye sumu zilizoko kwenye mfumo wa chakula  na mfumo wa damu ili kutoka nazo nje na kukuacha mpya.

hupunguza uzito; kuondoa sumu mwilini ni sawa na kufuta baadhi ya faili kwenye computer iliyojaa kwani computer hiyo itaanza kufanya kazi kwa haraka sana, hivyohivyo kwenye mwili sumu zikitoka mwili hufanya kazi kwa haraka sana na kupunguza mafuta yaliokua yameuelemea.

hulainisha choo; mara nyingi watu hupata choo ngumu sana kwa sababu ya kula vyakula visivyo na maji ya kutosha kama nyama nyingi na wanga bila kula matunda hivyo juice hii hulainisha na kusafisha njia ya choo kubwa, hii itakusaidia kupata choo kilaini sana.

ni nzuri kwa wagonjwa wa kisukari; kama unasumbuliwa na ugonjwa wa kisukari juice ya aloe vera inasaidia sana kushusha sukari ya mwili na kukufanya uishi maisha safi sana.

matibabu ya magonjwa ya kinywa; utafiti unaonyesha juice hii huua bacteria wa mdomoni ambao huweza kusababisha magonjwa ya meno na ndio maana kuna dawa za meno zinatengenezwa kwa mmea huu.

hutibu magonjwa ya ngozi na chunusi; juice hii huupa mwili kiwango cha madini na vitamini za kutosha pia kuongeza maji mwilini, hii hulainisha ngozi yako na kukufanya ue na ngozi laini sana na yenye afya.

huongeza urefu wa nywele; kama unataka kua na nywele ndefu hasa kwa wasichana huu ni wakati wa kutumia juice hii kwani huweka mwili katika kiwango kizuri cha acid na base yaani ph na kusaidia ukuaji wa viungo vya mwili ikiwemo nywele zenye afya.

hupunguza cholestrol mwilini: utafiti unaonyesha beta sitisterol inayopatikana kwenye mmea huu inaweza kurudisha katika hali ya kawaida cholestrol nyingi inayokua imejaa mwilini, ambayo ni hatari sana na ndio chanzo kikuu vya magonjwa ya moyo.

inaongeza kinga ya mwili; juice hii inaondoa vimelea huru ndani ya mwili maarufu kama free radicals ambazo ni hatari kwa mwili kwani husababisha kansa. kimiminika hii kina vitamin e ambayo ni maalumu kwa kazi hiyo.

inatibu matatizo mbalimbali ya tumbo; kila mtu kwa wakati wake mwenyewe katika maisha hupata kiungulia, tumbo kusokota, kutapika ghafla, tumbo kuunguruma na kadhalika. juice hii hutuliza mihangaiko hiyo na husaidia sana katika kutibu madonda ya tumbo.

                                           jinsi ya kutumia;
mimina nusu glass ya juice hii ikiwa kawaida au baridi  na unywe mara mbili kwa siku yaani asubuhi na jioni na moyo wako utakushukuru.

mwisho; juice hii unaweza ukanywa zaidi ya kiasi kilichotajwa kama una uwezo mkubwa wa kua na juice nyingi  zaidi lakini kiasi kilichotajwa hapo ndio cha chini kabisa kwa siku ili kiweze kukusaidia, lakini pia kama wewe ni mjasiriamali unaweza kujiunga na kampuni ukazipata nyingi kwa bei ya chini na kua msambazaji wa kampuni kwa kuwauzia watu wengine wawe na afya bora kama wewe. kampuni itakulipa kwa kuuza na kuingiza watu wapya kama wewe kwenye biashara yake.
kwa maelezo zaidi soma hapa

SECRETS OF GOOD HEALTH

                                                       STAY ALIVE

                                 DR.KALEGAMYE HINYUYE MLONDO.0653095635/0769846183






HAYA NDIO MAAJABU YA VIRUTUBISHO VYA MULTI MACA KWENYE KUTIBU TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA UZAZI KWA WANAWAKE NA WANAUME.

                                                                 
ukisoma historia ya dunia, miaka 2000 iliyopita huko nchi ya peru ya marekani ya kusini, wanawake na wanaume walikua wakitumia mzizi huu kwa matibabu mbalimbali ya kibinadamu kama kuishiwa nguvu za kiume na kuwezesha wanawake kuzaa mpaka miaka zaidi ya arobaini bila shida. lakini pia kuwasaidia walioshindwa kuzaa sababu ya shida ya uzazi..

baada ya miaka mingi wataalamu wakaifanyia utafiti tena na kugundua mmea huu unafanya kazi kweli ya kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia zote na kutibu tatizo la ugumba liletwalo na matatizo mbalimbali, na njia pekee kuufikisha dunia nzima ni kuweka kwa mfumo wa kopo na tembe  ili isiweze kuharibika... leo hii virutubisho hivi muhimu viko tele nchini kwetu na kwa bei rahisi tu.

mwanzoni niliwahi kusema dawa ya kutibu nguvu za kiume duniani haipo... ni chakula tu na kuishi maisha bora ndio suluhisho pekee na msimamo wangu haukubadilika, nilipoona virutubisho hivi nikasoma mchanganyiko wake kwa makini sana na niliwasifu sana waliotuletea afrika kwani asilimia kubwa ya virutubisho hivyo hata huku afrika hakuna kabisa na hakuna kemikali hata moja kwenye mchanganyiko wake.

kukamilisha utafiti wangu nilimpa rafiki yangu mmoja wa kiume akajaribu na akaipenda sana na akanipigia  simu kwamba anataka nyingine ahifadhi kwani imemfanyia maajabu, lakini pia kuna dada yangu alikua na shida ya uzazi akiwa na umri wa miaka 35 bila mtoto alikua amekata tamaa kabisa baada ya kupima kila kitu na kuambiwa yuko sawa hospitalini, yeye na mume wake walipotumia virutubisho hivyo hawakumaliza wiki sita tayari mke alikua mjamzito.

virutubisho hivi vinafanya kazi vipi?
umri unavyozidi kwenda na mawazo yanapokua mengi , mwili unapunguza kasi ya kutengeneza homoni za binadamu na hii huleta uchovu, kunenepa, usingizi sana au kukosa usingizi, kuchoka, hisia za joto na baridi ndani ya muda mfupi kitaalamu kama hot flushes hivyo virutubisho hivi vikitumika hutoa taarifa kwenye ubongo kwamba utengenezaji wa homoni hizi uanze upya vizuri.

mchanganyiko wa virutubisho vilivyomo ndani ya virutubisho hivyo.
mzizi wa maca; mzizi huu huleta nguvu za mwili, huondoa uchovu, huondoa mgandamizo wa mawazo na hurutubisha uwezo wa  uzazi kwa wote mwanamke na mwanaume.
tunda la tribulus terestris; tunda hili huongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa jinsia zote kwa kushtua homoni za adrogens kwenye ubongo.
mzizi wa muira puama; hupunguza kiasi cha lehemu mwilini yaani cholestrol. wataalamu hivi karibuni wamegundua inazuia kansa ya ngozi na kansa ya kansa ya tezi dume.
magamba ya miti ya cuaba; magamba haya hufanya kazi ya kusaidia sana mfumo wa fahamu.
l -arginine; hii ni aina ya protini inayoleta misuli  yenye nguvu  na mifupa migumu, pia huleta nguvu za mwili, stamina na kuongeza hamu ya tendo la ndoa.
tunda la saw palmetto; ni nzuri kwa ovari za mwanamke na tezi dume, lakini pia huzuia kipara cha uzeeni kwa wanawake na wanaume.
pygeum africana; hili ni gamba la mti linalotibu tezi dume iliyovimba.
coenzyme q 10; hii ni enzyme ambayo inatengeneza sana nguvu za mwili, imehusishwa na kusaidia kuishi maisha marefu, kushusha presha, ugonjwa wa moyo, kutibu maumivu ya kichwa na matibabu ya kansa.
soya; hii huweka sawa homoni za kiume na kuzuia dalili za uzee.

matumizi ya dawa hii kwa wanawake;
dawa hii hutumika sana tatizo la mvurugano wa homoni kwa wanawake ambao mara nyingi huleta maumivu ya tumbo, chunusi, hali ya joto kali na baridi kali wakati mmoja, hasira za mara kwa mara na mgandamizo wa mawazo hivyo kirutubisho hiki huamrisha mwili kutoa kiwango sahihi cha homoni.

kwa wanandoa au wachumba wanaotafuta mtoto virutubisho hivi hufanya kazi vizuri wakiitumia wote na sio kwamba inaongeza nguvu za kiume na mbegu tu ila inapambana na matatizo ya uzazi yanayoweza kuzuia mimba kama uvimbe wa ovari na kadhaliaka.

jinsi ya kutumia;
kopo moja lina tembe sitini za rangi ya chocolate  hivyo humezwa mbili kila siku kama chakula na maji mengi na matokeo yake huonekana ndani ya muda mfupi sana.

upatikanaji;
 kuna baadhi ya mikoa sio rahisi kuvipata kabisa virutubisho hivyo lakini kwa dar es laam vipo na ukihitaji unaweza kupata kwa wasambazaji maalumu na ukatumiwa mkoani sio maduka ya madawa au wasiliana na sisi tukuelekeze.

mwisho; dunia sasa hivi imejazwa na dawa nyingi kali na zenye sumu ambazo kama madhara yake yangetajwa hadharani wagonjwa wetu wangekataa kumeza dawa.  hivyo ni vizuri kumeza dawa za hospitali kama unaumwa kweli na unapoandikiwa na daktari tu, lakini pia ni vizuri kutumia sana virutubisho vya asili ili kujikinga na magonjwa mengine nyemelezi.lakini pia kama wewe ni mjasiriamali unaweza ukajiunga na kampuni hii  ukauziwa kwa bei ya chini ili uwasambazie na wengine uwapendao wenye matatizo kama haya. kampuni itakulipa kwa mauzo yako na kuongeza wasambazaji wapya kwenye biashara hii.
kwa maelezo zaidi soma hapa

SECRETS OF GOOD HEALTH

                                                       STAY ALIVE

                          DR KALEGAMYE HINYUYE MLONDO 0653095635\0769846183[tuma meseji tafadhari]


JINSI YA KUNG'ARISHA MENO YAKO YAWE MEUPE ZAIDI UKIWA NYUMBANI TU.

                                                                       
meno ni afya, mtu ambaye ana meno mabavu kikawaida hua hana afya nzuri na huteseka sana hasa wakati anapopata maumivu makali ya meno. lakini pia meno ni moja ya sehemu za mwili za urembo kwani mtu mwenye meno meupe sana hupendeza akitabasamu kuliko mwenye meno yenye unjano kwa mbali. kila mtu anatamani kua na meno meupe sana lakini kuna sababu mbalimbali zinazuia watu kufikia malengo hayo. leo tutaona jinsi ya kufanya meno yawe meupe sana, lakini siongelei meno ya watu wa arusha, moshi na manyara mabayo yameunguzwa na madini fulani hapana yale hayatibiwi kwa njia hii na hata ukisema uyatibu kwa njia yake yanapungua upana wake na kua rahisi kuvunjika muda wowote. naongelea meno ya watu wa kawaida ambao utotoni kama kawaida ya watu wote yalikua meupe lakini kwa sasa yamebadilika rangi.

vitu vinavyohitajika,
  • hydrogen peroxide mouth wash[inapatikana kwenye maduka ya madawa]
  • maji masafi.[nunua ya dukani]
  • mswaki
  • dawa ya meno nzuri.
jinsi ya kufanya.
  • nunua chupa ya hydrogen peroxide mouth wash, kisha changanya kiasi na maji masafi kwa uwiano sawa. yaani ile chupa ya dawa kama mils 100 hivyo changanya na mils 100 za maji.
  • baada ya mchanganyiko huo weka mdomoni kiasi cha mils 30[sawa na vijiko vitatu vya kulia chakula]. sukutua mdomoni kwa dakika moja kisha utahisi povu linatokea mdomoni hapo utajua dawa infanya kazi kwani kikemia dawa hiyo ikikutana na bacteria wamdomoni inatengeneza povu.
  • tema mchanganyiko wa mdomoni kisha safisha na maji ya kawaida tu baada ya hapo piga mswaki sio chini ya dakika tano ukisugua sehemu zote za meno yaani ya mbele ya nyuma na katikati, watu wengi hupiga mswaki dakika moja tu kitu ambacho ni makosa.
  • tumia dawa hii kila siku asubuhi tu mpaka utakapoona umeridhika na matokeo na hakuna madhara yeyote ya kutumia dawa hii.
njia nyingine ukishindwa hiyo hapo ya dawa; nunua dawa ya meno ya forever living toothpaste na iwe dawa yako kila siku maishani mwako na utaona mabadiliko kwani hung'arisha meno, huleta harufu nzuri mdomoni, huzuia kuoza meno na ni dawa bora kwa sasa kuliko dawa zote za meno zinazotangazwa dunia nzima kwani haina kemikali hata kidogo. na kama wewe ni mjasiriamali hii ni fursa kubwa, unaweza ukajiunga na kampuni ili uuzie wengine unaowapenda wawe kama wewe na kupata bidhaa zingine bora za kampuni hii ambayo mwaka jana iliongoza kwa mapato makubwa katika biashara za mtandao duniani.

mambo muhimu ya kuzingatia..
epuka kutumia vyakula vinavyoyapa rangi meno yako;  yaani kama soda, chai, red wine, kahawa na kuvuta sigara. unaweza kutumia soya kuweka kwenye chai badala ya majani ya chai.

piga mswaki mara mbili kwa siku; piga mswaki asubuhi na jioni baada  ya chakula na sio kabla ya chakula kama watu wengi wanavyofanya. kulala bila kupiga mswaki husababisha vyakula vilivyoko mdomoni kushambuliwa na bacteria usiku  na matokeo yake mtu hutoa harufu kali asubuhi. watu wanaopiga mswaki usiku hua hawanuki mdomo asubuhi.

kula vyakula vya asili; matunda kama karoti, maepo, machungwa, na kadhalika husaidia meno sana kutoa mabaki ya uchafu kuliko kula nyama kia siku ambazo huacha mabaki kwenye meno. vyakula vyote vyenye sukari nyingi kama keki, pipi, ice cream,chocolate, biskuti na kadhalika sio vizuri kuvitumia kwani ni hatari sana kwa afya ya meno na rangi ya meno yako.

toa uchafu katikati ya meno; kuna kamba nyembamba sana maalumu kwa meno, hutumika kitaalamu kutoa uchafu wa meno, hizo ni nzuri sana kuliko hizi toothpick zinazotumika na watu wengi.

onana na daktari wa meno; kawaida hautakiwi kwenda hospitali wakati unaumwa meno tu, ila unatakiwa uende umuone daktari wa meno angalau mara nne kwa mwaka ili aweze kugundua tatizo lolote la meno lililoanza bila wewe kufahamu, hivyo usisubiri ukose usingizi nduio uende hospitali.
 tembelea blog yetu ya kingereza hapa www.vibesinc.ga
                                                                                
                                                               STAY ALIVE

        DR. KALEGAMYE HINYUYE MLONDO    MAWASILIANO 0653095635/0769846183