Vijiti ni nini?
Hii ni moja ya njia ya uzazi wa mpango ambayo kipande kidogo
chembamba cha plastiki ambacho kinakua na homoni ya progesterone kinawekwa
ndani ya mkono wa juu.
Upasuaji mdogo usio na maumivu hufanyika kuweka vijiti
hivyo..
Aina za vijiti..
Kuna aina kuu mbili za vijiti ambazo ni.
·
Implanon:
Hii ni aina ya kijiti ambayo huwekwa moja
kwenye mkono na huzuia mimba kwa uhakika kwa mda wa miaka miatatu.
·
Jadelle:
Hii ni aina ya vijiti ambavyo huwekwa
viwili kwa wakati mmoja na huweza kuzuia mimba kwa mda wa miaka mitano.
Jinsi vijiti vinavyofanya kazi..
·
Huzuia mbegu kutoka kwenye ovari kushuka kwenye
mfuko wa uzazi kukutana na mbegu za kiume.
·
Huongeza utepe kwenye mlango wa uzazi kuzuia
mbegu za kiume kuingia kwenye mfuko wa uzazi..
Faida za kutumia vijiti kama uzazi wa mpango..
- · Huzuia kupungua kwa wingi wa damu{iron dificiency anaemia} kwasababu huzuia damu ya kila mwezi kutoka.
- · Haiharibu au kupunguza ubora wa maziwa.
- · Ni njia ya uhakika.
- · Inazuia mimba kwa miaka mingi.
- · Sio rahisi mtu mwingine kufahamu kama unatumia njia hiyo.
- ukitoa kijiti tu unaweza kubeba mimba kwa mda mfupi..
Madhara madogo madogo ya njia hiyo ya uzazi wa mpango.
- · Kubadilika kwa mfumo wa kutoka damu mwisho wa mwezi kama kutoka damu nyingi sana, matone ya damu au kukata kabisa kwa damu.
- · Maumivu ya tumbo na kichwa..
- · Maumivu ya matiti,
- · Kuongezeka uzito.
- · Kuongezeka au kuisha kabisa kabisa kwa chunusi.
Mwisho: hii ni moja ya njia bora zaidi za
uzazi wa mpango kwasababu haina usumbufu kabisa mpaka miaka mitatu au mitano
iishe lakini unaruhusiwa kuondoa kama ukihitaji mototo kabla mda uliopangwa
haujaisha.
Ukipata matatizo yeyote makubwa muone
daktari haraka..
STAY ALIVE
Je baada ya kutoa hivyo vijiti kabda ya 3yrs unaweza kupoteza hedhi na huna mimba? I mean ukawa haubleed tangu day utoe hiyo kijiti
JibuFutaMoza Masoud
Futaje hivi vijiti vina weza kusababisha kuvimaba kwa ngozi yani kama umepitiwa na mdudu na kwashwa?
JibuFutaNdan ya mdagan kijiti kinaanza kufanya kaz mwilin
JibuFutaAngel benard
Futakwanini kijiti huzuia kutoka damu ya mwezi
JibuFutaAsante kwa somo zuri mimi natumia njia ya vijiti na nimesoma kuwa njia hii inaweza kukupa chunusi na mimi nina tatizo hilo nimekuwa na chunusi nyingi tofauti na awali. Je kuna dawa ya kuweza kuondoa tatizo hili?
JibuFutaMimi tangu nimeweka sijisikii vizuri.kichwa kinauma.nakonda
JibuFutaMim ndio kwanza nimiweka yan ndio mara yang ya kwanza na leo ni siku ya 4 ..nmeanza kuskia kma tumbo kuuma.
JibuFutaNatumia njia hiyo ya kijiti nikiwa nafanya tendon LA ndoa naumia sana toka niweke wakat kabla cjaweka nilikuwa nipo vzur
JibuFutaHata mm naumia sana wakati wa tendo naenda kukitoa mm
FutaDuuh nlijua ni mim tuu aisee
FutaMm baitumia hii njia na niko vizur tu. Labda kuongezeka uzito ingaw sidhani km imesababishwa na vijiti
JibuFutaMimi tangu niweke njiti nimekonda sana
JibuFutaMm nimeanza kutumia mwezi wa9 mwaka huu nableed mwezi mzima je nifanyeje
JibuFutaYaan nna mwez sas nableed matone Tu shid nn jmn
FutaAta mm pianableed tu
FutaHalafu nataka nifanye mazoezi maana nimenenepa Sana je sio tatizo, watu wananiambia nisifanye mazoezi vijiti havitaki shida, shida je nikweli?
JibuFutaAnatoli
FutaDoctor kimaro 0621507917 dawa za kupunguza uzito bila mazara zipo
FutaHatuoni majibu ya maswali yalioulizwa
JibuFutaMm natumia njiti Nina mwaka nayo Ila siku moja nilipigwa na stot kwenye mkon niliowek baada ya hapo nikaanza kupata kizunguzungu kichefuchef yan sometime sijiewi siko kwenye Ali yangu ya kawaid itakuwa ni Nini kisababishi kikuu
JibuFutamimi natumia tangu mwaka juzi mwezi wa 7 sijawahi kuona siku zangu ila kinachonishangaza kuna muda nikikaa nahisi kama vitu vinacheza tumboni shida inakuwa nini mkuu??
JibuFutaNina kijiti cha miaka mitano na kina miaka mitatu sasa ila huwa naskia vitu vinacheza tumbon na huwa napata hedh kwa mda mrefu had siku kumi
FutaNiliweka Cha miaka mitatu na Bado Kama miez miwili nitoe Sasa kwann huww nackia Kama vitu vinacheza tumbon
JibuFutaMm nimebakiza kama miezi saba nitoe ila naonadalili kama kunakitu tumboni alafu tumbo linanguruma mpaka nahisi ninamimba
FutaMke wangu anatumia njia ya kijiti likin Kuna sikubameamka tit limevimba pekeake upande wa kijiti alikoweka tatizo nn
JibuFutaFRANK
FutaKwa mwenye tatizo la mfumo wa uzazi wasiliana nami kwa namba 0621507917
JibuFutaToka nmeweka kijiti ni mwaka Sasa umeisha lkn sioni siku zangu na uke wangu unatoa majimaji na ikifika zile tarehe za kubrid natoka na uchafu mwingi so dam lkn nn shida
JibuFutaMimi nimetoa lakini nilivuka mwezi 1bila kutumika nilihisi labda Nina mimba lakini mwezi unofuata nimetumika na tumbo linauma
JibuFutaMimi niliweka njiti nimekaaiaka miwili nikatoa ila sahv nimeshindwa kubebe ujauzito ni nini shida
FutaMimi napata Sana maumivu ya tumbo na kichwa jamani ila vingine niko sawa
Futamwanamke akiweka kitanzi anatakiwa kuchukua muda gan mpaka kitanzi icho kuanza kufanya kazi
JibuFutaNaomba kuuliza kama ukitoanjiti ya miaka mitano alafu ikabaki Moja kwenye mwili unaweza kubeba mimba??
JibuFutaUzinzi tu ndo umewajaa 😂😂😂😂
JibuFutaJe vijiti vya uzazi wa mpango huweza kumuaath
JibuFutaMwanaume haathiriki kama mkewe anatumia vijiti vya uzazi wa mpango?
JibuFutaJe vijiti vinaweza kuwekwa sehemu nyingine mbali na kwenye mkono?
JibuFutaMh.naona hiz njia n kuziach tu maan Kil njia y uzazi ina madhara ten mkubwa tu
JibuFutaMimi mke wangu anasumbuliwa na kizungu Zungu
JibuFutaMimi natumia cha miaka mitano na kina miaka mitatu sasa ila napata hedh had siku kumi na kuna vitu nasikia vinacheza tumbon inasababishwa na nini
JibuFuta