data:post.body HIZI NDIO HATUA NANE MUHIMU ZA UVAAJI WA KONDOMU YA KIUME... ~ SIRI ZA AFYA BORA...

Recent Posts

HIZI NDIO HATUA NANE MUHIMU ZA UVAAJI WA KONDOMU YA KIUME...

                                                                  



Najua wengi wenu mnahisi au mnadhani mnajua sana kutumia condom kuliko kawaida lakini leo naomba niwakumbushe kutumia zana hii na kuwaamsha ambao hawazitumii kabisa.
Pia natoa rai  kwamba condom inazuia magonjwa hatari na mimba ambazo hazikutarajiwa…

Hebu tuone condom ya kiume inavaliwa vipi..

  1. 1.       Hakikisha condom yako haijaisha mda wake wa matumizi yaani expire date, kwan condom iliopitwa na wakati hua inashuka kiwango na uwezo wa kukulinda unakua mdogo sana.
  1. 2.       Fungua taratibu condom yako kwa kuikata sehemu laini ya juu bila kutumia kucha au wembe  isije ikaipasuka.
  1. 3.       Toa condom yako na kwa umakini mkubwa jiandae kuivaa.
  1. 4.       Anza kuvaa condom kwa kuweka juu ya kichwa kisha bana chuchu ya condom ili kutoa hewa{kutofanya hivi ndio chanzo cha kupasuka kwa condom nyingi}  
  1. 5.       Kisha ivishe juu ya uume uliosimama na ujiandae kuivaa kwa njia ya kuivingirisha kwenda chini.   Ishushe condom mpaka chini kabisa ya uume tayari kwa tendo la ndo
  1. 6.       Sasa uko tayari kushiriki tendo la ndoa bila wasiwasi wowote.
  1. 7.       Ukishamaliza kutumia condom vua haraka kabla uume haujalala kisha weka vizuri na kutupa kwenye ndoo ya taka au choo cha shimo..
  1. 8.       Usitupe kwenye choo cha kuflash kama hicho kwani condom huweza kuziba mfumo wa kupitisha kinyesi. kwa maelezo zaidi soma hapa kusoma 

    SECRETS OF GOOD HEALTH


                                                    STAY ALIVE…

                                  MAWASILIANO    0653095635/0769846183

0 maoni:

Chapisha Maoni